Recent content by Duniatunapita man

  1. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kusaga mahindi na kuuza unga

    Habari wadau. Nahitaji kuwa na mashine ya kusaga sembe mkoani Ruvuma kisha niwe nasafirisha na kuuza maeneo ya Tunduru, Masasi hadi Mtwara. Naomba mwenye uzoefu anipatie. Ruvuma nimeishi ila Tunduru kuelekea Mtwara si mwenyeji
  2. D

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kama Wabunge wanalipwa kwa mkupuo mafao yote, basi NSSF irejeshe Fao la Kujitoa, utaratibu wa sasa unatuumiza wengi

    Hao watu kwenye kukata wapo vizuri ila linapokuja suala la kutoa fedha ni kizungumkuti. Sasa wanawapangiaje watu Matumizi. Mtu ameacha kazi anataka fedha ili ajiajiri wao wanazuia. 😭😭
  3. D

    JamiiForums Tanzania Nilichoshuhudia Kariakoo leo kimenifurahisha mno

    Haiwezekani kuwaacha lazima wazongwezongwe Hadi wajifiche huko,. Ikiwezezekana wapigwe maweee!!! Mwenyezimungu anusuru vizazi vyetu na atuepushe na mitihani kama hiyo
  4. D

    JamiiForums Tanzania Polepole, Sio kila blunder wakati wa utawala wa Magufuli wakalaumiwa mtandao; hii ni kufanya watu ni wajinga na vilaza

    Kiufupi Kila mtu anachaguo lake, Yani polepole chaguo lake ni magufuri "japo wengine Hadi kesho hawataki hata kumsikia". Na wengine chaguo lao ni Samia nao huwaambii kitu. Kwahyo sioni jipya Kwa polepole na mwisho wa siku atarudi tena ndani ya CCM na maisha yataendelea. Wanasiasa ndivyo walivyo
  5. D

    JamiiForums Tanzania Polepole, Sio kila blunder wakati wa utawala wa Magufuli wakalaumiwa mtandao; hii ni kufanya watu ni wajinga na vilaza

    Au alitaka abaki ktk nyadhifa za wafanyao mamuzi ila nafasi hiyo hakupewa,. hivyo ni kama vile wasemavyo "mwaga mboga, namwaga ugali". Hana jipya bali anajifariji tuuu. Au anataka utawala umfikirie Kwa kumpa kipande Cha keki Kwa bahati mbaya hawamjali Kwa chochote bas anabaki kuuunganisha story...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa afya naombeni msaada

    Ni kweli, wengine hawana hulka ya Kuandika au kukoment Kila jambo
  7. D

    JamiiForums Tanzania Mzunguko wa hewa huwa sio mzuri ndani ya Bus zenye viyoyozi (AC), bora kufungua vioo tu

    Ni kweli, Yani unakaa ndani ya bas Hadi unakosa utulivu maana hewa ni nzito af wanasisitiza kufunga vioo.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Nimemkataza mke wangu kwenda kwenye Marathon

    Ni sahihi
  9. D

    JamiiForums Tanzania Nimemkataza mke wangu kwenda kwenye Marathon

    Haifai kabisa hii, maana anaenda kuwatamanisha marijali na kubaki salama ni nadra.
  10. D

    JamiiForums Tanzania Dar kumeongezeka sherehe za wakina dada kuwaalika mashoga

    Mwenyezimungu atunusuru na anusuru vizazi vyetu. Dunia imefika pabaya
  11. D

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa yangu nimemkopesha laki tano week iliyopita, akasema angenilipa jumatatu ya week hii,ila mpaka sasa hajanilipa

    Mtu wa heshima, anakuja Kwa adabu zote. Ila ukimkopesha ndio mazima. Inasikitisha sana. Ni muhimu kukopesha Kwa kiasi. Vinginevyo ni matatizo tuu
  12. D

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Quran ni rahisi kukikariri

    🤣🤣🤣
Back
Top Bottom