Pole na kuumizwa kwasababu kila binadam ana kipimo cha majarbu katk dunia hii jitahid kuvuka ayooo kwani mbele itakua furaha kwakoo maumivu n yetu tangu kipnd Adam na hawa walipo hasi jitahd na utampata akupendaye,kwa dhat kabisa mbona Sarah alizaa mtoto wake akiwa mzee wa kutoweza beba mimbaaa...
Hoooo poolee sana muhimu n kumkwepa kutokana na vkwazo vyake atachoka tuu lkn ukiwa sitak nataka utalala nae tuu lakn siunajua dunia ya sasa tumia akili kumkwepa akiwa na magonjwa aka kuambukza au mumewe akijua si utakua mashakani sana take care ayo ndo majaribu ya kuyapita na sio bahatiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.