Recent content by dungadunga

  1. D

    Kupimisha Kiwanja na kupata offer...

    Ameniambia uo mchoro bado haujapitishwa na mkurugenzi wa halmashauri. Na iyo open space anaweza akaamisha kwa mwingine. Nyumba ndio naifanyia finishing
  2. D

    Kupimisha Kiwanja na kupata offer...

    Mimi naomba kuuliza ma surveyor. Kuna eneo langu nilitaka kulipima na nimwashajenga. Ila baada ya kuchukua vipimo linaonyesha lipo kwenye OPEN SPACE. Niliongea na surveyor akanambia kuliondoa kwenye open space inawezekana ila ni gharama kubwa. Je ilo swala linawezekana?
  3. D

    Uliza swali lolote kuhusu chuo cha MUCCOBS hapa ujibiwe

    wewe ulisoma stream gani hapo muccobs ?
  4. D

    Tetesi kuhusu chuma ulete

    hamna zilikuwa kwenye Wallet zingedondoka zote
  5. D

    Tetesi kuhusu chuma ulete

    Acheni nizimalizie huku baa zote zimeshaingia mkosi
  6. D

    Tetesi kuhusu chuma ulete

    wewe kama unakiu uje nikununulie.
  7. D

    Tetesi kuhusu chuma ulete

    Nimeamua nizimalizie hapa zote aisee. Nimebakiza elfu tano tu. Tena nimeificha kwenye soski nauli ya kunirudisha home
  8. D

    Tetesi kuhusu chuma ulete

    Sijapigwa ndugu yangu nilipoingia kabla sijaagiza bia mhudumu akadai pesa kuhesabu ndio nikaona majanga
  9. D

    Tetesi kuhusu chuma ulete

    kuna jamaa yangu amenipa elfu themanini nikahesabu vizuri pesa ipo sawa. Kufika sehemu kukupara bia mbili nikahesabu nikahesabu nikakuta nina elfu sitini na tano. Sasa nashangaa ile kumi na tano imeenda wapi? Iyo baa nilipo sijapanda gata gari ni karibu na home
  10. D

    Sh ngapi ada OUT

    Na mimi naomba kuuliza ada ya masters apo ni Tsh ngapi ?
  11. D

    Tuishitaki TPB Bank kwenye tume ya ajira

    kama ulifanya tarehe 15 wenzako waliitwa training jana na juzi na wakapewa mikataba yao siku iyo iyo. Ila naisi hawatarudisha mikataba pesa wanayolipwa ni ndogo mno. Just imagine una bachelor yako ulipwe 140,000 hapo mpaka ufikishe wateja 40. chini ya hapo unalipwa 50,000 kwa mwezi.
  12. D

    Tuishitaki TPB Bank kwenye tume ya ajira

    Wenzenu jumatatu ndio wanaamza kazi. Training walipiga jana
Back
Top Bottom