Ameniambia uo mchoro bado haujapitishwa na mkurugenzi wa halmashauri. Na iyo open space anaweza akaamisha kwa mwingine. Nyumba ndio naifanyia finishing
Mimi naomba kuuliza ma surveyor. Kuna eneo langu nilitaka kulipima na nimwashajenga. Ila baada ya kuchukua vipimo linaonyesha lipo kwenye OPEN SPACE. Niliongea na surveyor akanambia kuliondoa kwenye open space inawezekana ila ni gharama kubwa. Je ilo swala linawezekana?
kuna jamaa yangu amenipa elfu themanini nikahesabu vizuri pesa ipo sawa. Kufika sehemu kukupara bia mbili nikahesabu nikahesabu nikakuta nina elfu sitini na tano. Sasa nashangaa ile kumi na tano imeenda wapi? Iyo baa nilipo sijapanda gata gari ni karibu na home
kama ulifanya tarehe 15 wenzako waliitwa training jana na juzi na wakapewa mikataba yao siku iyo iyo. Ila naisi hawatarudisha mikataba pesa wanayolipwa ni ndogo mno. Just imagine una bachelor yako ulipwe 140,000 hapo mpaka ufikishe wateja 40. chini ya hapo unalipwa 50,000 kwa mwezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.