Uliza swali lolote kuhusu chuo cha MUCCOBS hapa ujibiwe

Uliza swali lolote kuhusu chuo cha MUCCOBS hapa ujibiwe

Harhombo

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2013
Posts
216
Reaction score
57
Nimehitimu chuo cha Ushirika ( MUCCoBS) mwaka 2012 BAF na sasa ni mwajiriwa wa Serikali.

Niulize swali lolote nitakujibu na kama kuna waliosoma MUCCoBS tutasaidiana kujibu maswali yenu.

Karibuni
 
eti Muccobs nusu ya wanafunzi ni waathirika wa vvu.aka watoto wa mama kikwete
 
Kaka hebu tupe michanganuo ya degree programs za hapo na markets pliability zake huku uraiani, ili vijana wakifanya selection wasije kujilaumu....
 
Kaka hebu tupe michanganuo ya degree programs za hapo na markets pliability zake huku uraiani, ili vijana wakifanya selection wasije kujilaumu....

Pale kuna BAF,PROCUREMENT & SUPPLY MANAGEMENT, COMMUNITY DEVELOPMENT, CMA,HR na nyingine nyingi.Ukisoma pale hutajutia maana walimu wanapishana milangoni na pia wana sera nzuri sana kwa presentation ili kuwaandaa vijana kwenye soko la ajira.
 
Nimehitimu chuo cha Ushirika ( MUCCoBS) mwaka 2012 BAF na sasa ni mwajiriwa wa Serikali.

Niulize swali lolote nitakujibu na kama kuna waliosoma MUCCoBS tutasaidiana kujibu maswali yenu.

Karibuni

Ni BA-AF na sio BAF
 
samahani ningependa kujua je muccobs wana admission lettres na kama wanazo mtu aliyechaguliwa anapataje
 
Back
Top Bottom