Ungekua unajua namna hiyo pesa wanavyolipa, wanamlipa nani na sisi kama taifa tunapata ngapi usingesema maneno hayo
Watalii wote ambao ni high class wanalipia safari zao kupitia wakala wa utalii nchini kwao wanakotokea na hao wakala wanatuma pesa ambayo inatosha kufanyia oparesheni tu, kama...
Watu wengi wameshindwa kuyaelewa madai ya madereva, wanataka ajira zao zirasimoshwe kama ajira zingine, ajira zenye uhakika sio unatoka lubumbashi unafika tunduma tajiri anakuambia acha gari yangu hapo hapo funguo mpe fulani, pia kibwa kuliko serikali ikusanye kodi kwao kwakia serikalo haijawai...
Mwambie aombe chati ya sumatra kwa konda acheki na time table aone....yawezekana amezoea baiskel huyo...alafu kwanini hakuripoti kwa trafic officer pale Iringa? Anyway amwambie aripoti kwa trafiki wa mzani mikimi
kwa faida yao wenyewe. Unamaanisha nani mmiliki wa basi au? Anayepata ajali ni msafiri mmiliki hapati hasara kumbuka, sema tuwe tayari na ongezeko la nauli tusiwe wakali maana ghalama za uendeshaji zitakua zimepanda, hakuna biashara ya hasara
Umekerupuka, only in Tanzania kila mtu ni mtaalamu, sasa mmiliki wa gari anahusikaje na ajari....ajari ya majinja iliyo sababishwa na shimo barabarani anafungwa nani na fain analipa nani? Ajali ikisababishwa na tair kupasuka au matatizo ya kiufundi kama brek, tair road end n.k nani atafungwa, au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.