Anaongea vitu vya ajabu kwa hiyo mitaala ya cambrige ilikua ni nchi zote ambazo zipo chini ya jumuiya ya madola zote na hapa kwetu ambayo ilikua inafanya vizuri sana ni umbwe ya moshi ambayo ilishawahi kushika namba2 katika nchi za jumuiya ya madola,ukienda pale umbwe hata leo utaikuta ile...
Hiyo ni defensive mechanism,ebu angalia matokeo ya CPA single seat wazanzibar wangapi usipende ropoka na hizo data za uongo,nimesoma nao wengi sana wapo ambao walikimbia bara kwa kufeli walipoenda zanzibar ndio wakaongoza kwa ujumla unaongea vitu ambavyo havina fact cjui hata umesomea wapi wewe...
Acheni kuweka vitu vya kutunga,Rwanda ni nani kwanza,tupe source of information,wewe kama critical thinker huwezi andika vitu ambavyo havina ushaidi,shame on you.
Aongee hazarani cyo kwa mafumbo kama aha jeuri atangaze vita,kwanza kama umefika rwanda ni ka nchi kakipumbavu kabisa cyo hata kakutupotezea muda,Membe aliongea wazi kabisa kama kukanusha wangekanusha ndani ya mkutano cyo kusemea nje,tena ni wapumbavu kabisa,hata kama wanataka vita yeye ndio...
Naona mtoa mada unadanganya watu J.F.Kennedy kafariki dunia november 23 mwaka 1963 sasa sijui serikali yake ilihusika vipi,tusiwe tunapenda ongea vitu vya kutunga.
Kwanza hata ma prof walio wengi ukiuatilia kwa makini utagundua wanakariri tu.Wapo wachache wanatambulika kimataifa kwa kazi zao kama Prof Shivji,prof mbele na wengineo.
Safi sana habari ni ndefu ila imeeleweka na ni ukweli mtupu,kuna mijitu humu haina akili kabisa sijui wanafikiria kwa kutumia makalio manake kila kitu wao nikupinga tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.