Huyo ni limbukeni. We tumia gari tu akileta tena ujinga ng'oa kifaa muhimu ukakifiche mahali na kumuwekea kile feki halafu gari ikikaa sana unaenda kukitafuta na kumwambia umeamua kumnununlia hicho kifaa ili gari isije oza. Kama atanunua mwenyewe kile unakiuza halafu gari endelea kuliendesha...
Ushauri wa kipumbavu sana. Kwani hawa si mke na mume? Si mwili mmoja? Acheni kuwafanya watu kama vile ni majirani wakati ni mwili mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala usijali. Subiri watoto wanarudi shule. Umwambie huna hela tena ukomae uone kama atakubali mashoga zake wanaojua kwamba ana hela waone watoto wakikaa nyumbani. Mbona atalipa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaani kwenu umekosa mpaka uje hapa ambapo hujui hata sura ya mtu? We kweli umedoda hata huko unakofanya kazi, unakopanga, uliosoma nao, waliokuwa wanakutangulia vidato kote huko umekosa? Hili ni balaa kubwa. Huna mashangazi, ma mdogo au jamaa wengine wakakuunganisha na vijana wanaowajua...
Kwani aliyetengeneza hiyo daladala akaipa siti 22-26 hakujua? Acha tamaa katika kipindi hiki kigumu. Serikali inatafuta namna ya kupunguza maambukizi we unafikiria mambo ya mapato? Je hujasikia nchi zilizosimamisha kila kitu na watu wote wako quarantined?
Watanzania tuacha ujinga. We unadhani...
Dunian humu wanawake ni binadamu wa hovyo. Yale ma activists tunayasikia yakiwasemea wale waliovunjwa mikono na askari magereza tu. Ya hovyo sana. Mwenzao aliyeua utadhani alikuwa na haki. Yamenyamaza. Wapumbavu sana sijwahi kuona. Halafu yanakuwa mstari wa mbele makanisani eti kumuomba Mungu...
Wanaharibu mazao sana. Maafisa wa maliasili walikuja eti wanajifanya kutoa elimu na wakisema eti hairuhusiwi kuua tembo na wanadai familia itakayopoteza mtu kwa kudhuriwa na tembo basi itafidiwa Tsh 1millioni. Hivi badala ya kutafuta njia ya kuwarudisha mbugani mnakuja na maneno ya kitoto hivyo...
Nianze kwa kuwasalimu.
Kuna tembo ambao wanaozunguka katika kijiji vya Wami Luhindo kitongoji Majichumvi na vingine wilaya ya Mvomero. Wanaharibu mazao ya watu na wanaweza kuumiza wananchi. Afisa maliasili mpo tu mnaridhika watu wafe au namna gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii si nchi ya wahuni. Ndo maana vijana wanaharibika. Unakuta kivulana kinasoma Chuo Kikuu lakini kinavaa kihuni. Halafi sisi waajiri tukienda vyuoni kujionea hatuoni wa maana. Mwisho kulalamika hakuna ajira, akuajiri nani wakati unavaa kata K. Ujinga mtupu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.