Recent content by DUMEGUY

  1. DUMEGUY

    Mwenye kujua Wasafirishaji mizigo kwa anga kutoka UK to Tanzania?

    Habari, mwenye kujua kampuni kongwe inayohusika na usafirishaji mizigo kutoka Uk ilionunuliwa kupitia ebay au amazon ama duka lolote, nitashukuru kwa msaada
  2. DUMEGUY

    Nitapata wapi Internet cafe yenye speed kwa Dar?

    Habari, nipo dar na nilikua nahitaji huduma ya internet , kwenye internet cafe ila iwe na speed nzuri na mazingira yawe mazuri.. 20mbps to 100mbps. Asante
  3. DUMEGUY

    Ivi azamtv offer ya kisimbuzi kipya ipo?

    Mambo vipi wakuu, nahitaji kujua kitu. Ivi ile offer ulikua ukinunua kisimbuzi kipya unapewa mwezi mzima bure amna ama?, Nauliza ivyo maana nimenunua kipya leo kuwasha naona free local chanel Cha antena 99k
  4. DUMEGUY

    Je Oneplus 7t Pro 5g inasupport mitandao ya bongo?

    Nimejaribu vyote ila still haisaifii
  5. DUMEGUY

    Je Oneplus 7t Pro 5g inasupport mitandao ya bongo?

    Habari za saizi, Naitaji kujua Oneplus 7t pro 5g Mclaren edition inasapoti mitandao ya bongo? Nimeuliza hili swali baada ya kuchukua simu unlocked from USA ilikua Tmobile . Msaada
  6. DUMEGUY

    Naomba kufahamishwa jinsi ya kutrack simu ilioibiwa

    Habari za muda huu, Nauliza kama inawezekana kutrack simu iliyoibiwa kwa kutumia Serial Number pekee maana simu ni network lock, iphone 11 Kibaya zaidi ilikua haina icloud ndani, nauliza kwa anaejua kama inawezekana labda kama akikonect tu wifi nimuone alipo
  7. DUMEGUY

    Simu ya infinix inajaa chaji kwa dakika 10

    Kampuni ya infinix wamemtumia Concept phone 2021 unbox therapy na kuizungumzia pia kushangazwa kwa kujaa chaji kutoka 0 hadi 100 ndani ya dakika 10 tu.
  8. DUMEGUY

    With iOS15 you will never lose your iPhone/iPad

    Good news ni kwamba iphone 6s itasapoti ios15
  9. DUMEGUY

    With iOS15 you will never lose your iPhone/iPad

    With iOS 15, your iPhone is still traceable through the Find My network even when the device is powered off. It seems that with iOS 15, the phone is not really fully ‘powered off’, it stays in a low-power state and acts like an AirTag, allowing any nearby iOS device to pick up the Bluetooth...
  10. DUMEGUY

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari: Bei elekezi ya Data itaanzia Shs 2-9 kwa MB 1 kuanzia Aprili 02, 2021

    Hao ni Vodacom wanakula 29tshs per 1mb, vipi kuhusu mitandao mingine kwa sasa
  11. DUMEGUY

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    51DF197 goma inplay hilo changamka.
Back
Top Bottom