Habarini wapendwa.
Nina kiwanja maeneo ya vikawe wilaya ya kibaha chenye ukubwa wa sqm 686 na ramani ya jengo nishachorewa na architecture yenye chumba master, sebule, choo public na baraza ya mbele na nyuma sasa wadau nauliza taratibu za kupata kibali cha ujenzi zikoje na gharama zake...
Hebu nipe kwanza umri wa baba yako mzazi halafu nilinganishe na bakhresa na ikiwa baba yako ni mkubwa au yupo sawa na bakhresa nadhani ingependeza kumuuliza dingi yako kwanini bakhresa tajiri na yeye yupo yupo tu wakati wanalingana au kamzidi umri bakhresa
Mashabiki wenzangu wa yanga kama tunaweza kwenda airport kuwapokea wapinzani wanaokuja kucheza na simba kwa bashasha zote tunashindwaje kwa umoja wetu kwenda kuuzima moto unaoteketeza kiwanda cha bosi wetu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.