Jamani wana jf, nimekuwa na wakati mgumu wa kutambua ni mwanamke yupi anaweza kuwa bora katika maisha yangu ya ndoa yajayo.
kwanza nina sifa saba za wanawake saba niliokutana nao kwa lengo la kuanzisha maisha ya ndoa lakini wote niliwashindwa kwa kuwa kila mmoja alikuwa na tabia ya aina yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.