Recent content by Duke

  1. D

    JamiiForums Tanzania Sitta amjibu Sumaye kuhusu mabehewa mabovu

    Una uhakika na unachosema. Hauoni unaleta ubaguzi wa kikabila. Na je hao wote waliozungumza ni wachaga?
  2. D

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa awapiga bao CHADEMA, walitarajia achukue fomu ili akatwe kama Lowassa kule CCM

    Wachagga wametokea wapi. Dhambi ya ubaguzi kwa ukabila au udini ni mbaya sana
  3. D

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji trekta

    Hahahaha.. Msaidie tractor mkuu
  4. D

    JamiiForums Tanzania NIKOLA TESLA: Kwa nini watu kama hawa dunia ni nadra kuwapata?

    Ila jamaa alikuwa anatamani kutumia muda mwingi sana kufanya ugunduzi na kutaka kazi yake isaidie watu wengi. Unajua kabla ya project ya niagara falls ya kuzalisha umeme, kulikuwa na vita vikali sana kati ya dc na ac ipi itumike kwa umeme wa majumbani. Upande wa thomas edison ambao ni dc...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Boys 'Sold Like Commodities' in Afghanistan...

    Some traditions needs to end
  6. D

    JamiiForums Tanzania NIKOLA TESLA: Kwa nini watu kama hawa dunia ni nadra kuwapata?

    Jamaa alifanikisha westinghouse Electric kuwa juu kwa uvumbuzi wake. Shida ni hakuweka hatimiliki kwa hyo ikawa ngumu kupata malipo kutokana na kazi yake. Mwengine ni Mkemia Charles Goodyear naye pia alikufa maskini na ugunduzi wake tunautumia kwenye matairi yetu ya magari.
  7. D

    JamiiForums Tanzania Gari ya nyonya damu kwa waliosoma miaka ya 90

    hahaha.. Kipindi hko kelele nyingi darasani halafu kimya kikipita kidogo mnahisi shetani kapita katikati yenu
  8. D

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Mchungaji Hezekiah Mwakisu wa Boko KKKT afariki

    Mungu ailaze mahali pema roho yake
  9. D

    JamiiForums Tanzania Serikali iwamulike hawa manabii

    Neno la Mungu lazima litimie, kila kitu kiko wazi kwenye biblia
Back
Top Bottom