Recent content by Dukani

  1. Dukani

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Ila kila lenye mwanzo lina mwisho,mungu ainayeishi atasimama na watanzania siku moja dhidi wadhalimu na mafisadi wa nchi hii,,wanachi hatuna uhuru wa kijieleza wala kuchagua viongozi tunaowata,ccm pumbavu zenu mlaaniwe.
  2. Dukani

    Wakuu nifanye hatua zipi kufikisha magoli matano?

    Kwa aliki hizi ccm itatawa milele,wenzako wanawaza kuwekeza na kusevu wewe unawaza ngono,,,dalili ya wewe kufa maskini
  3. Dukani

    Watanzania kwa Umoja wao waidharau Tume ya Uchaguzi, Waamua kutopiga Kura

    Utatiki kwasababu una maslahi yako binafsi,,,njaa zitakuua mkuu
  4. Dukani

    Sunda, tajiri wa madini pale Mererani yuko wapi siku hizi?

    Umenikumbusha maisha ya uchimbaji miaka hiyo,,sunda nafikiri atakuwepo ila kachoka siyo kama zamani,,,wapi wakina chusa,machuru, na wengine wengi,,nyama choma getin
  5. Dukani

    Vyama pandikizi vyashindwa kumjibu Humphrey Polepole

    Machawa mpo kazini,,,ila one day yes
  6. Dukani

    Unaanzaje na unamalizaje katika tendo la ndoa?

    Nasema ccm itatawala milele kwa akili hizi.
  7. Dukani

    Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

    Mungu ameweka changomoto ili tumjue na kuamini uwepo wake.
  8. Dukani

    Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

    Pumzi uliyonayo inatosha kudhibitisha uwepo wa mungu kaka.
  9. Dukani

    Mtu unapata wapi ujasiri wa kuzaa mtoto wakati unajua wewe ni fukara, maskini choka mbaya, hohe-hahe?

    Upo sahihi ila umekosea kusema mungu hayupo,,,futa kauli yako
  10. Dukani

    Siridhiki kimapenzi, naomba ushauri

    Acha umalaya wewe
  11. Dukani

    Fursa ya Biashara/uwekezaji Katika Utengenezaji wa Pombe Kali

    Mtoa mada hajielewi kabisa,swala hapa ni mtaji.aseme anahitaji kiasi gani.
Back
Top Bottom