Recent content by dudunyama

  1. dudunyama

    Wapi naweza pata Jiko la Moto Poa kwa Dar es Salaam?

    Wadau hivi majiko haya ya mafuta ya taa maarufu kama stove yanapatikana sasa? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. dudunyama

    Ku-trace lacation ya numba ya simu

    Mzee inabid uwe na vifaa/program maalum ambavyo vinauwezo wa kufanya hiyo kazi, na kumiliki vifaa ivyo lazima uwe na kibali toka serikali maana vinahusiana na usiri na usalama wa mawasiliano. Ukikutwa navyo hapo kazi unayo. Telecom Company taasi za ulinzi zinaweza kufanya hiyo kitu. No One Ever...
  3. dudunyama

    Vijana Oeni, Mkitaka Mke wa Mauzo Mtasubili Sana.

    Aaah! mi nitao demu kama huyu!!!? Napigapiga tu, ndo maneno yenu, sh*@nzi Vijana wengi (hasa wale wenye elimu ya juu) mnajifanya mna uchambuzi mwingi wa mwanamke wa kuoa, na hasa mwonekano, mnataka kuoa mwanamke mkali sana, acheni ujinga vinginevyo mtasubiri sana. Acha kucomplicate mzee...
  4. dudunyama

    Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    [emoji848] Posible mzee, maana si rahisi miezi yote ya mimba awe kimya then uambiwe mtoto ana miezi 3, kimuhemuhe cha hawa viumbe wakiwa na mimba yako si cha mchezo. Hapo anataka kukuangushia jumba bovu.
  5. dudunyama

    Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    [emoji848]Inawezekana mzee, maana kwa jinsi walivyo hawa viumbe miezi yote husiambiwe juu ya mimba yako then unakuja kuambiwa mtoto wa miezi 3 hiyo haiwezekani.
  6. dudunyama

    Hapa nimebambikizwa au nimeibiwa mtoto?

    Hapo uenda kuna baharia alikabidhiwa hiyo mimba mapema sana na akawa anaifund ila baada ya mtoto kuzaliwa baharia akaona siyo chata yake then akaruka, hapo ndo bibie akaona baharia gani mwingine wa karibu mzee baba ukaingia katika list. Hatari sana[emoji16][emoji16]
  7. dudunyama

    Wenye rafiki mwenye kujaliana na kusaidiana kuliko ndugu tupe uliyonayo.

    Damu nzito kuliko maji ni msemo ambao tumekuwa tukiutumia ukitafsiriwa kuwa ndugu yako ni mwenye kukujali zaidi kuliko mtu baki. Katika maisha yetu kuna mazingira ambayo hayaobey huu msemo, kuna marafiki/jamaa ambao ni wenye kujali shida na matatizo yako hata zaidi ya ndugu/baadhi ya ndugu wa...
  8. dudunyama

    Naishi naye ndio, Lakini...

    Dah! Mzee unazingua, miaka 3 unaendelea kutafuna tu, we bariki ndoa tu achana na huyo mchumba sugu
  9. dudunyama

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mzee baba fanya nipate ngoma ya mtani jirani Sent using Jamii Forums mobile app
  10. dudunyama

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mzee baba fanya nipate ngoma ya mtani jirani Sent using Jamii Forums mobile app
  11. dudunyama

    Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of "Separation of Powers" Nothing, Just a Myth!

    "DPP, huyu ana mamlaka ya kuingilia kesi yoyote, mahakama yoyote, na ikiwa katika hatua yoyote kabla hukumu na kuifuta!, "nolle" bila kutoa maelezo yoyote wala sababu zozote, na uamuzi wa DPP ni wa mwisho, hauwezi kuhojiwa na mamlaka yoyote" Pascal na Wadau Hii imekaaje Naomba ufafanuzi, DPP...
  12. dudunyama

    Robo Fainali ACL: Simba boresheni Safu ya Ulinzi.

    Hakika, hapa slogan ya kila mtu ashinde kwao itafail kama unapigwa goli nyingi away Sent using Jamii Forums mobile app
  13. dudunyama

    Robo Fainali ACL: Simba boresheni Safu ya Ulinzi.

    Habari Wadau. Kwanza nitoe pongezi nzito kwa Simba SC na Tanzania kwa ujumla kufuatia kufuzu hatua ya robo fainali Africa Champions League, maana hatua hii inaitangaza Club na Taifa. Kumalizika kwa hatua ya Makundi kunaonesha kuwa Simba ndio yenye uwiano mdogo zaidi wa idadi ya magoli ya...
  14. dudunyama

    Tetesi: Je, Bati za Msouth zina Changamoto ya Kuvuja?

    Sawa mdau Sent using Jamii Forums mobile app
  15. dudunyama

    Tetesi: Je, Bati za Msouth zina Changamoto ya Kuvuja?

    Duh! Sikuwa nafahamu kuwa kuna misumari yake, na uenda hii ndo ikawa sababu pindi inapotumika misumari sio Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom