Recent content by Dudukwe

  1. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz️ ni mwizi wa nyota za wasanii wenzake?

    Waafrica tuna safari ndefu sana
  2. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania Airtel 5G Router 40,000 tu

    Vipi ufanisi wake? Maana kuna nazoona zinalalamikiwa au ni zile ndogo
  3. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania KERO Vitisho vya C na Supp Vyatawala Kwa baadhi ya lecturers MoCU

    Inaonekana huyu ni mwanafunzi wa DIPLOMA, that's why anashindwa ku-Copy mazingira. Pia Lecturers huwa sio waalimu professionally.
  4. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania KERO Vitisho vya C na Supp Vyatawala Kwa baadhi ya lecturers MoCU

    Chuoni huwezi kutishiwa bakora 😅
  5. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania KERO Vitisho vya C na Supp Vyatawala Kwa baadhi ya lecturers MoCU

    Itakuwa we huingiagi darasani au husomi! Hayo ni mambo ya kawaida, ukitaka kubembelezwa lbd ukasome KIU, TIA na MWALIMU NYERERE ila vyuo vingine vyote ni kukaza.
  6. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi – Wakala wa mauzo (FULL-TIME)

    😅
  7. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli: Kwa Tanzania, ni vigumu kupata mkoa uliobarikiwa kama Mbeya

    Ntakuachia kaka🙌
  8. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza computer na kuuza spare

    Shilling ngap kutengeneza Socket ya HP Dragonfly
  9. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli: Kwa Tanzania, ni vigumu kupata mkoa uliobarikiwa kama Mbeya

    Mbona kama Namjua huyo pendo
  10. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania Nauza ream paper bei 50,000 kwa katoni, quality ya Double A 100%

    Vipi bei za mondi?
  11. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania Access Bank PR/Loan Officer wenu apelekwe training bila malipo kuanzia Jumatatu!

    Wanacompete na kila Bayport na Fanikiwa
  12. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali imesema tuongezwe mishahara lakini Fanikiwa Microfinance inatuongezea 'target ya kufikisha'

    Sometimes unawastahi tu! Unashangaa unapigiwa simu asubuhi-asubuhi unadhani mchongo kumbe ni Fanikiwa microfinance 😂
  13. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali imesema tuongezwe mishahara lakini Fanikiwa Microfinance inatuongezea 'target ya kufikisha'

    Hawa jamaa washanitumia meseji kama 200 hivi kwa namba ngeni! Sjui wanatuchukuliaje, riba yenyewe 42% kama sikosei
  14. Dudukwe

    JamiiForums Tanzania KERO Ewe mfanyakazi, usije kurogwa kukopa mkopo wa "Nipe Boost" wa Bayport, utajuta!

    Kuna hawa wanaitwa FANIKIWA MICROFINANCE kila siku wanakutumia meseji kwa namba mpya! Sjui wanatoaga wapi namba
Back
Top Bottom