Habari zenu wakuu wa jamiiforums,
Samahani, mdada nilikutana nae maeneo ya Mbezi Louis nilimsimamisha na kusalimiana nae kisha nikachukua namba zake nikawa nawasiliana nae, alinikalibisha niende kwenye ofisi yake ambae anafanya kazi, ye ni mjasilimali anajihusisha na kuuza mayai kwa trays, ni...