Recent content by dudubayaa

  1. dudubayaa

    Special thread: Kwa waombaji wote wa mikopo 2017/2018 (HESLB)

    Subiri mkuu...baada ya muda watakupa number za kutumia kwenye malipo Sent using Jamii Forums mobile app
  2. dudubayaa

    Vigezo vya waombaji mikopo Bodi ya Mikopo

    Watoto wa madiwani wetu hawa wa 'unga unga mwana' kama nawaona vile Sent using Jamii Forums mobile app
  3. dudubayaa

    Sokoine University Of Agriculture Special Thread

    Shukrani mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. dudubayaa

    Sokoine University Of Agriculture Special Thread

    Habari za muda huu wakuu......ninamsaidia mdogo wangu kufanya applications za vyuo ikiwemo SUA. Kuna mahala wameandika kwamba natakiwa ku'upload cheti cha form 4(kipo) na cha form 6 (havijatoka bado)..... Msaada nifanyaje au ni'submit hivo hivo bila ku'upload cheti cha form 6 Natanguliza...
  5. dudubayaa

    Kutoka Tanga: Rais Magufuli awapatanisha Clouds Media Group na Paul Makonda

    Uadui sio mzuri..... Kafanya vizuri sana Sent using Jamii Forums mobile app
  6. dudubayaa

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. dudubayaa

    Nikifika mwisho lazima haja kubwa itoke

    Mtafute yule mjomba ako uliyekuwa unalala nae kipindi ukiwa mdogo....anaweza kuwa alichezea 'muscles' za hayo maeneo Sio Kwa Ubaya Lakini Sent using Jamii Forums mobile app
  8. dudubayaa

    Fiaza Ally anataka aanze kupiga picha za utupu

    [emoji85] [emoji85] [emoji85] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. dudubayaa

    Sokoine University Of Agriculture Special Thread

    Shukrani mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. dudubayaa

    Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

    Nimeelewa sana[emoji122] [emoji122] Sent using Jamii Forums mobile app
  11. dudubayaa

    Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

    Mkuu wa majeshi mzee Mabeyo naishi nae mtaa mmoja huku Tabata segerea tangu akiwa mnadhimu mkuu wa jeshi na hata muda mfupi uliopita nilikuwa na mke wake kwenye jumuiya(Mama Mabeyo).... Akiwa anakuja huku kitaa kutokea town (kupitia njia ya tabata segerea kwenda kinyerezi) ankuwa na escort ya...
  12. dudubayaa

    Sokoine University Of Agriculture Special Thread

    Wataalam wa SUA....nina mdogo wangu ana ufaulu wa "D " mbili za biology na geography.... Naomba ushauri aombe kozi gani hapo SUA? Nakaribisha ushauri na maoni Sent using Jamii Forums mobile app
  13. dudubayaa

    Mwenye data hizi za ufaulu A-level 2017 tujuzane.

    One...3-9 Two...10-12 Three...13-17 Four...18-19 Zilizobaki mpaka 21 ni zero Sent using Jamii Forums mobile app
  14. dudubayaa

    Prof. Ndalichako toa tamko la kufuta malipo ya udahili kwa wanafunzi kusoma Elimu ya Juu

    Tunaumia sana sisi watoto kutoka familia zenye kipato cha kati na chini....nimetumia elf75 mpaka sasa kuomba vyuo vitatu kitu ambacho kwa yule ambaye yupo kijijini sio rahisi ku afford kulipa fedha zote hizo....Serikali inabidi iliangalie upya swala hili kwakweli Sent using Jamii Forums mobile app
  15. dudubayaa

    Vyuo na programu zilivyozuiliwa kudahili wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2017/18

    Daah mwaka huu....tutakipata Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom