Recent content by Dudu Baya

  1. D

    JamiiForums Tanzania Feisal penalty/fidia ya kutokutumikia mkataba inamsubiria

    ...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Feitoto akwama tena TFF, arudishwa Yanga

    ...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya tuwe na Rais wa JMT, Rais wa Zanzibar na Makamu wa kwanza wa Rais, Waziri mkuu na Makamu wa pili wa Rais!

    Huu muungano uzae nchi mpya moja, siyo mbili. Awepo Rais mmoja wa JMT. Zanzibar iwe na mkuu wa mkoa. Bunge nalo liwe moja tu.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Mbunge: Kwanini mwananchi akileta TV Bara kutoka Zanzibar analipia kodi wakati nchi ni moja?

    Kero ni Mzanzibari, kisiwa chenye idadi ya watu milioni 1, kuongoza Bara kwenye watu millioni 60. Tuanzie hapo kwanza.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alidhibiti ukatwaji wa umeme au mazingira yalimbeba?

    Jamani huyu Rahisi wa sasa amerithi kiti anachokikalia kikatiba. Hilo halikwepeki. Mapungufu mnayoyaona kwake sasa ajibiwe kwenye kura ya uchaguzi 2025.
  6. D

    JamiiForums Tanzania Maridhiano ya CHADEMA na CCM ni batili kwakuwa sio jumuishi

    Tutajie vipengele vya haya maridhiano mkuu tafadhali.
  7. D

    JamiiForums Tanzania Katuni ya Masoud Kipanya inamaanisha nini?

    Hapo vipi?
  8. D

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia yaikopesha Tanzania Tsh. Trilioni 1.2 za Miradi ya Maji na Afya

    Swali langu ni dogo tu; je, hii mikopo huwa inaidhinishwa na Bunge au Cabinet kabla ya kuomba au ni utashi wa Rais/Waziri wa Fedha? Budget yake kwenye matumizi na marejesho inajulikana kabla ya kuombwa?
  9. D

    JamiiForums Tanzania Inashangaza kuona Naibu Waziri anaeshutumiwa kuwaamuru askari wa uhifadhi wawaachie ng'ombe waliokamatwa bonde la Ihefu bado yupo ofisini

    Huyo mhariri angerahisisha kazi kwa kumtaja jina huyo naibu waziri mtuhumiwa. Bila hivyo yatabaki kuwa majungu na ukoko.
  10. D

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anaweza kuvunja Baraza la Mawaziri

    Yako wapi sasa utabiri wako?
  11. D

    JamiiForums Tanzania Askofu wa Katoliki Jimbo la Bukoba atetea uwepo wa kiti cha Rais Kanisani

    Ujuha [emoji706]
  12. D

    JamiiForums Tanzania Waziri Ummy Mwalimu, waeleze wananchi kwamba ugonjwa uliogundulika Lindi ni rahisi zaidi kusambazwa na mbwa pia

    Wewe umejuaje uhusika wa mbwa? Ni Mhehe?
  13. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Siasa za Afrika na maajabu ya Martha Karua

    Si kweli, ni Mkristu.
  14. D

    JamiiForums Tanzania Picha kali ya Mwezi wa 4 hii hapa

    SAHIHISHO: Hapo ni kwenye makazi (nyumbani) kwa Balozi, na siyo ofisi za Ubalozi wa Marekani.
Back
Top Bottom