Shukrani Za dhati ziende kwenu ndugu zangu wana Jf , I love Jf, I love you wana Jf Na mungu awabariki sana
NB
Kwa wale ndugu zang ambao bado hawazijui blood group zao basi ni vyema kulifanyia kazi swala hilo Na kuwaza kutambua blood group yako. Siku njema jaman
Habari Za kutwa ndugu wana Jf, naomba kufahamu juu ya hili swala mpenz wangu ana AB+ namimi Nina 0+
Je, hapa kuna tatizo lolote katika safari ya kutafuta mtoto
Habary za kutwa wanajamvi poleni kwa mapambano ya kutafuta ushindi,
Ana baada ya kusabahiana wandugu naomba kufahamu kwa hii n nini? Pembeni ya kibofu kunakua kama kuna uvimbe ulio na maji ndani mwake ukiuminya unatoweka. Je ni ugonjwa na kama ni ugonjwa basi ni ugonjwa gani ? Na tiba yake ni...
Mkuu ninemuona mwl Angelo anaipublish hii kitu sana ,
So weka maelezo ya kutosha ya kuweza kumshawishi kuiihitaji sababu maelezo uliyotumia ni dhaifu sana
Naomba kuwasilisha [emoji124][emoji124][emoji124]
Kwema wana Jf
Naomba kufahamishwa Kama kuna apps au ni kwanjia gani taweza kujua mabadiliko ya fedha za kigeni bei za kuuzwa na kuuza kila siku katika simu yangu. Naomb mnifahamishe wandugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.