American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 902
- 1,535
- Thread starter
- #41
mdudu ndo nini mzeeMkuu huwa unatumiaga mdudu a. k. a Noah?
mdudu ndo nini mzeeMkuu huwa unatumiaga mdudu a. k. a Noah?
Ulishapona?Mm niliwaipata tatizo kama hilo LA kusikia vitu vinatembea mm mwilini nikaemba muhimbili ilikuwa shida si mchezo wakaanza kuniuliza bangi unavuta ngapi na kunichalenji una A.K.A jina gani mm sikuwa mpuuzi nikalazimisha vipimo kwa nguvu mana ukiwasikiliza watakuandikia na kukupa madawa jinsi wanavyo hisi wao na kukupotezea muda bure
True true trueUkitaka kujua kuwa madaktari wa kibongo ni "desa oriented",ugua magonjwa ambayo siyo common kwenye jamii.
Ni wababaishaji mno ndiyo maana waganga wa kienyeji wanasoko kubwa.
Ni sehemu zote isipokuwa mgongoni na kichwaniTatizo geni ,kitu kinachoweza kutembea kayika mshipa w damu si ni damu tu,sasa pengine una blood clots,
yaani damu yako hugana vibonge ,lakini tena ungeweza kupata stroke kama ni vibonge vya damu,
au pengine unahisi viko kwenye mishipa wakati viko kwenye nyama,yaani tissue.
Hujasema inatokea sehemu zipi,mikononi,mgogoni,miguuni au kifuani?
Ulipona wenyewe ila uliniachia madhara kidogo kwenye macho yalipungua uwezo wa kuona nilipimwa vipimo kadha wa kadha ikawa bilabila hadi nimepona mwenyewe tuUlishapona?
NakupendaIt was just a joke bro [emoji23]
HahahahaHiyo inaitwa. WITHDRAWAL SYMPTOMS. Yaani ulitumia madawa ya kulevya halafu ukaacha ghafla. Lazima upate hilo tatizo na ndio maana wengi wanashindwa kuacha. Nakupongeza kwa kuacha japo nahisi sababu ni kwamba buzi limekata kamba na kutokomea kusikojulikana baada ya kuona hujatulia
Pole sanaUlipona wenyewe ila uliniachia madhara kidogo kwenye macho yalipungua uwezo wa kuona nilipimwa vipimo kadha wa kadha ikawa bilabila hadi nimepona mwenyewe tu
kitimoto ndugumdudu ndo nini mzee
Mambo mengine bwana, mwenzio yuko serious anataka asaidiwe lakini unaleta utani, kwani usinge comment ungepungukiwa nini?
Haikuwa lazima kucomment ujinga, na wala sio lazima mimi na we we tucomment kama hatuna cha maana, lakini pia sio vizuri kuacha kusema pale mtu anapo koseaMkuu asingecomment wew ungepata wap la kuongea sas ?? Hapo ndo ujue maana ya Eco - system
Kunasiku nilisikiliza redio nikamsikia mtumishi wa Mungu anafundisha kuwa nibdalili ya nguvu za giza nilifunga siku tatu na maombi vikapotea hadi leoUlitoaje sasa?
[emoji28][emoji28]unanihitaji...hunitaki?Aaaiii another sleepless night,
mimi nakuhitaji.
Nakuhitaji means nakutaka na bila wewe things will just nat be fine.[emoji28][emoji28]unanihitaji...hunitaki?
[emoji4]i feel butterflies kwa my tummy....and am blushing at the same time...ngoja nsiendelee....usijepata sleepless night[emoji40]Nakuhitaji means nakutaka na bila wewe things will just nat be fine.
Your too precious to just be wanted ..... I need u.
Daah usingizi usha nitoka tena
Wooouw!! If am just dreaming this then i dont want to wake up.[emoji4]i feel butterflies kwa my tummy....and am blushing at the same time...ngoja nsiendelee....usijepata sleepless night[emoji40]
Jaribu uende kupima hospitali huenda uanyo minyoo kama huna minyoo utakuwa unao uchawi mwilini mwako . kama uanyo minyoo kula nyanya tia na unga wa pilipli mtama kijiko 1 kidogo ndani ya nyanya mbichi ule asubuhi na jioni kw amuda wa siku 5 kamaniminyoo yote itakufa kama hujapona nitafute nikutibu maradhi yako. Ukihitaji matibabu toka kwangu Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169Nimekuwa na tatizo hili kwa muda sasa
kila nikiwa mahari nimekaa au nimelala, ghafla nakuwa nahisi kama mdudu ananitembea sehemu fulani ya mwili! nikitizama naona ni kwenye mshipa wa damu, kitu kinatembea ndani ya mshipa wa damu kisha kinatulia!
inakuwa inanitokea sehemu mbalimbali za mwili kasoro kichwani! Wataalamu naombeni msaada hili jambo linanikera mno!