Hizi sarakasi za Usaili kwa watu wanaohangaika kutafuta buku buku za kula mtaani hata hazina maana. Do you expect mtu ujichange nauli toka Kigoma kwenda DSM kusailiwa alafu uambulie kulamba vumbi itakupa depression kiasi gani? Watu walishazoea do or die kwa sababu ndo mfumo waliojiandaa nao...
Wee badoooo, hebu kazungukie huko Chang'ombe, Area A alafu urudi kujisahihisha. Mabinti wa Kirangi wanagawa sana *nyuchi zao hapo. Ukipanda daladala za Chang'ombe shuka Stendi ya Zamani(Gwasa), alafu tembea hadi Karachi ukiona vitoto vidogo vinavouza papa uje kuandika uzi mwingine tena.
Wakuu, habarini za muda huu! Kwanza niwape pole na majukumu yenu kabla sijaeleza kilichonidubwisha kuandika uzi huu.
Hakuna maisha magumu kama kukaa jobless au kuwa na kazi za kubangaiza mtaani. Sasa leo kuna rafiki yangu wa muda kidogo kanipigia simu kunahitajika Afisa Mikopo(Loan Officer)...
Na hizi story za wanganga hujaziskia kama zinasaidia watu. Jaribu na huko unaweza ukatoboa bcoz nia yako ni UTAJIRI. Kwahiyo unavofocus kufika angle fulani jaribu njia tofauti tofauti yaani Focus on your dream no matter njia ni nzuri au mbaya.
USHAURI: Tafuta amani kwanza ndo utafanikiwa, acha...
Hapo kwenye “Mwanamke wako” yaani wangu, mbona nalala tu hakuna shida. Sasa hayo mengine unawaza yanini wakati unajua ni vigumu kutambua kama ww ni Main Man au Sideman. Chamsingi toa huduma tu sio kwenda kunyandua na kupangusa ‘madako’. Ila tu nikwambie usilale kwa MWANAMKE, lala kwa MWANAMKE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.