Recent content by DUBULIHASA

  1. DUBULIHASA

    Mo Dewj asema atazungumza na Wana Simba Instagram ili Wafanye usajili wa kishindo

    Leta Haaland, Leta Mbappe, Leta Vinicious Junior, Leta Rodri, Leta De Bruyne....mbona simple tu dios lazima uwe kocha kujua wachezaji wazuri.... Haya Mlete na Pep Guadiola
  2. DUBULIHASA

    Askofu Malasusa anavuruga KKKT; namwona kama anaingiza dola kwenye kanisa badala ya kuingiza dini

    Dayosisi ya konde,,, Dayosisi ya ngumi bila shaka Tukuyu moja hiyo....
  3. DUBULIHASA

    Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

    Hizo nywele we nyoa para tu maana style ya kiduku itapita....
  4. DUBULIHASA

    Robertinho apost wimbo wa Yanga ukurasa wake wa Instagram

    Dah hapo tukuyu ni hatari, mvua inaweza pga wiki nzima non stop
  5. DUBULIHASA

    Robertinho apost wimbo wa Yanga ukurasa wake wa Instagram

    We yanga wasalimie hapo Tukuyu
  6. DUBULIHASA

    Prof. Noam Chomsky asema kuwa Wayahudi wa Ashkenazi hawana uhusiano wowote na kizazi cha Ibrahim bali wanatokana na falme ya Khazar

    Mkuu kwa sisi tuliosoma Linguistics Noam Chomsky ni jina maarufu kuliko majina yote, nikisikia jina Chomsky ni km wana ccm wakisikia jina Mama Samia...
  7. DUBULIHASA

    Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Kweli mkuu, Sasa mtu km mama samia akitukanwa yeye anapata hasara gani mbona anakula mema ya nchi... Hv mtu km mama Samia tukisema tubadilishane maisha mm niende ikulu nikatukanwe yeye achukue maisha yangu atakubali!!!! Watu mbona wanakuza sana mambo, mbona mama samia amefanya maisha yetu...
  8. DUBULIHASA

    Mwanza: Peter auawa kisa kumwangiana maji kwenye "birthday"

    Bob achana na mm... we ndo umenichokoza...
  9. DUBULIHASA

    ITIFAKI: Ni nani Mkubwa kati ya Waziri Mkuu na Spika wa Bunge?

    Wakikujibu usisahau pia kuwauliza kipindi cha Magufuli Makonda na Makamu wa rais nani alikua ni boss, halafu pia uwaulize kati ya waziri mkuu na katibu mwenezi wa ccm nani ni boss wa mwenzie... Halafu pia waulize job description ya chawa...
  10. DUBULIHASA

    Mwanza: Peter auawa kisa kumwangiana maji kwenye "birthday"

    We pisi kali ntakuja ku-shoot na wewe video km ile ya akina Aslay ili upunguze pgo za kindezi...
  11. DUBULIHASA

    Wabongo watengeneza mtandao mpya wa kijamii unaoitwa "Be From BetaTQ" wenye kufanana na Instagram

    Mi sitaki huo ujinga sio unaenda kujiunga huko mara unakuta mwashambwa ni content controller mara cjui ni platinum member,,, yaani mi niende huko nikawe mnyonge no thank you!!!
  12. DUBULIHASA

    Dkt. Nchimbi, walikutumia kumpiga majungu Makonda aondolewe CCM Taifa. Je, unajua hata nafasi yako haipo salama?

    Nikiona mtu anamu admire makonda nafsi huwa inaniambia pumbavu lingine hili hapa...
  13. DUBULIHASA

    Mtumishi unayepokea mshahara 1.5m kwa mwezi unapanga na unamiliki usafiri wa gari, hawezi kutoboa maisha utastaafu unatumikishwa tu

    Mshahara wa mil 1.5 kwa mwezi si bora nikae zangu home na wife nijue sina kazi..
Back
Top Bottom