"Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki dunia"
Kwenye hii title, maneno manne "mume", "wa" "Hafidh" na "Ameir" yangeondolewa ingekua ni unyama ududu kabisa...
Mimi niko tofauti kidogo, mtu kama Nchimbi, Polepole sina msaada watajua wenyewe... kila nikiwa na energy flani ya huruma naipeleka kwa Tundu Lissu, Mdude... mtu unakaa unamhurumia Humphrey Polepole aliyejikaanga na mafuta yake mwenyewe..
Shetani akiwaua shetani wenzake inatakiwa iwe furaha kwetu, wananchi tushaanza usenge wa kuwahurumia akina Polepole sijui Nchimbi... Kesho Samia akipata matatizo kama haya nae tutaanza tena kumuhurumia na yeye.. Huruma sio malezi
Mkuu muda utaongea hata hao akina Makonda, Mwigulu kuna siku watakuja kuingia kwenye kumi na nane za Samia.. Muda ni mwalimu mzuri hapa nahesabu list Mpango, Tulia Akson, Humphrey Polepole, Emmanuel Nchimbi, Job Ndugai, Kassim Majaliwa.. Kwenye miaka mitano ana wastani wa kula vichwa vikubwa...
Mkuu yaani ni kama utani, maviongozi yapo tu hakuna kazi yoyote yanafanya yao yanawaza kuiba tu... kuna mdau mmoja alisema Mwigulu Nchemba kuwa waziri mkuu haamini anaona kama ni prank flani hivi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.