Recent content by DUBULIHASA

  1. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania The class is big but English is the problem. Kocha wa Yanga amewachana live waandishi wetu, wana maswali lakini hawamuulizi.

    What's your game plan coach? You opponent seems to be very tough... tuviingereza twa namna hii wamekariri sana.
  2. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Hii battle ni kama ile Ya Tupak Shakur VS Notorious Big, au ya Messi vs Ronaldo
  3. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Kwa muda mrefu hapa Jf hapajatokea battle kama yenu 😅🤣😂
  4. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Uzi huu unachekesha, kuna kundi moja wanaona anaetembea na wake za watu adhabu yake ni kifiro tu. Kundi la pili linaona hata mtu atembee na mke wa mtu kifiro haifai maana ni tendo la kijinga na la udhalilishaji sana... Ni full battle nabaki nacheka tu.
  5. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Hii ya kutOmba mwanaume nyuma inafikirisha sana, yaani hata kudidisha sijui nadindishaje, anyway sijui may be sina nguvu za kiume kama wenzangu
  6. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Mawardat ww kama mtoto wa kiislamu neno "dushe" hukutakiwa hata kulijua, seriously 😅🤣😂
  7. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Makabila ambayo bora uwe single

    Bila kututaja wanyakyusa hawaridhiki kabisa, just imagine amemaliza uzi kwa ku-conclude neno "na wanyakyusa " ili roho yake ifurahi...
  8. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Leo ndio siku ambayo Ibrahim Doumbia anaenda kusimika ufalme wake wa soka duniani

    Msimu huu Simba tuko vizuri sana, yanga mtazoa sana Mavy
  9. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Head to head za hivi karibuni yanga ni vibonde wetu.. Mechi ya kwanza ya ligi tuliwakula refarii akawaokoa, mechi ya pili ya ligi tuliwakula tena but tukafanya uzembe goli mbili wakarudisha na wakashangilia draw na sisi utafikiri wamebeba champions league... Tukakutana tena Muungano tukawakula...
  10. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Hivi ni show time au short time?

    Maneno hayana uhusiano na ngono lakini watu wamekimbilia kuwaza ngono... vijana hawa wana mchango mdogo sana kwenye maendeleo ya nchi 😅🤣😂
  11. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya chatgpt, Gemin na meta AI nani anatoa taarifa za kweli?

    Mi nampenda ChatGPT ingawa sometimes anaweza akawa na jibu la direct lakini still akakuzungusha na maelezo mengi, atakupa jibu mpaka umbane sana... Kuna kipindi niliamua nimuulize ChatGPT "Kati ya Ronaldo na Messi nani ni Mchezaji bora zaidi yaani GOAT?" Akajibu, "Huo ni mjadala mpana sana...
  12. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Mimi kama shabiki wa Simba kilichonikera ni kwamba viongozi wetu hawako professional, unamtambulishaje mchezaji ambae hujamalizana nae yeye personally pamoja na timu yake..... Seleman Mwalimu kwenda yanga hata hainisumbui maana mchezaji mwenyewe hana output yoyote ya maana ni kuruka ruka tu pale...
  13. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Ben Pol: Ukikutana na mazingira haya kwa mtu unayetaka kuanzisha nae mahusiano, ni bora uwe single

    Mwanamke ukimwambia tu "mambo", utasikia poa, baby mwenzako nina shida ya hela, gasi imeisha, house girl kameza Condom, mara baba kalazwa amemeza micrometer screw gauge... kwenye hii generation mapenzi ni project inayowaingizia wanawake pesa nyingi sana.
  14. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kata (CCM) ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua mkewe

    Hawa kataa ndoa goli zote tatu wamefunga kwa kisigino..
Back
Top Bottom