Uzi huu unachekesha, kuna kundi moja wanaona anaetembea na wake za watu adhabu yake ni kifiro tu. Kundi la pili linaona hata mtu atembee na mke wa mtu kifiro haifai maana ni tendo la kijinga na la udhalilishaji sana... Ni full battle nabaki nacheka tu.
Head to head za hivi karibuni yanga ni vibonde wetu.. Mechi ya kwanza ya ligi tuliwakula refarii akawaokoa, mechi ya pili ya ligi tuliwakula tena but tukafanya uzembe goli mbili wakarudisha na wakashangilia draw na sisi utafikiri wamebeba champions league... Tukakutana tena Muungano tukawakula...
Mi nampenda ChatGPT ingawa sometimes anaweza akawa na jibu la direct lakini still akakuzungusha na maelezo mengi, atakupa jibu mpaka umbane sana...
Kuna kipindi niliamua nimuulize ChatGPT "Kati ya Ronaldo na Messi nani ni Mchezaji bora zaidi yaani GOAT?"
Akajibu, "Huo ni mjadala mpana sana...
Mimi kama shabiki wa Simba kilichonikera ni kwamba viongozi wetu hawako professional, unamtambulishaje mchezaji ambae hujamalizana nae yeye personally pamoja na timu yake..... Seleman Mwalimu kwenda yanga hata hainisumbui maana mchezaji mwenyewe hana output yoyote ya maana ni kuruka ruka tu pale...
Mwanamke ukimwambia tu "mambo", utasikia poa, baby mwenzako nina shida ya hela, gasi imeisha, house girl kameza Condom, mara baba kalazwa amemeza micrometer screw gauge... kwenye hii generation mapenzi ni project inayowaingizia wanawake pesa nyingi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.