Recent content by DUBULIHASA

  1. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Sakata la Dudubaya: Je Serikali inaunga mkono ushoga?

    Napinga kwa nguvu zote
  2. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Sakata la Dudubaya: Je Serikali inaunga mkono ushoga?

    Pale kwenye kashimo ndo pa kupalinda zaidi mkuu
  3. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    "Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki dunia" Kwenye hii title, maneno manne "mume", "wa" "Hafidh" na "Ameir" yangeondolewa ingekua ni unyama ududu kabisa...
  4. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania FT: Gaborone United 1-1 Young Africans SC | CAFCL-1st Leg | Botswana National Stadium | 05-09-2026

    Yanga wamekalia rungu... umesogezwa mkia pembeni limechomekwa rungu.
  5. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Man city ameshinda moja but Man u ananacheza kesho.. Manchester yupi unamsema?
  6. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi hawa betpawa mbona kama wanachelewesha kuweka hela wakati mkeka umetiki
  7. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania FREE MIN MEE

    Jamaa anagawa likes mpaka inasikitisha sana..
  8. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Mimi niko tofauti kidogo, mtu kama Nchimbi, Polepole sina msaada watajua wenyewe... kila nikiwa na energy flani ya huruma naipeleka kwa Tundu Lissu, Mdude... mtu unakaa unamhurumia Humphrey Polepole aliyejikaanga na mafuta yake mwenyewe..
  9. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Hivi Nchimbi hana watoto, kaka, dada, mabinamu, na ndugu wengine wa karibu?

    Mama Samia simpendi ila the way anavyonifinyia hao wapumbav wenzie wa Ccm mpaka najisikia raha...
  10. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Hivi Nchimbi hana watoto, kaka, dada, mabinamu, na ndugu wengine wa karibu?

    Shetani akiwaua shetani wenzake inatakiwa iwe furaha kwetu, wananchi tushaanza usenge wa kuwahurumia akina Polepole sijui Nchimbi... Kesho Samia akipata matatizo kama haya nae tutaanza tena kumuhurumia na yeye.. Huruma sio malezi
  11. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Hivi Nchimbi hana watoto, kaka, dada, mabinamu, na ndugu wengine wa karibu?

    Mkuu yaani mi nashangaa hata wanaopoteza energy ya kumuhurumia Nchimbi as if kwamba alikua ni mwanaharakati, wamfinye tu mi sina msaada nae..
  12. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Hivi Nchimbi hana watoto, kaka, dada, mabinamu, na ndugu wengine wa karibu?

    Mkuu muda utaongea hata hao akina Makonda, Mwigulu kuna siku watakuja kuingia kwenye kumi na nane za Samia.. Muda ni mwalimu mzuri hapa nahesabu list Mpango, Tulia Akson, Humphrey Polepole, Emmanuel Nchimbi, Job Ndugai, Kassim Majaliwa.. Kwenye miaka mitano ana wastani wa kula vichwa vikubwa...
  13. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Hivi Nchimbi hana watoto, kaka, dada, mabinamu, na ndugu wengine wa karibu?

    Acha watoane pumbuh watajua wenyewe
  14. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Sheba Igangu anataka Balozi Mkubwa aliwe kichwa kama yule mdogo, wanamlazimisha atume ujumbe kule kuwa aliwaingiza chaka!

    Mkuu yaani ni kama utani, maviongozi yapo tu hakuna kazi yoyote yanafanya yao yanawaza kuiba tu... kuna mdau mmoja alisema Mwigulu Nchemba kuwa waziri mkuu haamini anaona kama ni prank flani hivi..
  15. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Sheba Igangu anataka Balozi Mkubwa aliwe kichwa kama yule mdogo, wanamlazimisha atume ujumbe kule kuwa aliwaingiza chaka!

    Leo niwafungulie code wanangu...hapo kuna majina matatu ila idea nzima utaiunda mwenyewe... Bashe, Nchimbi na Polepole..
Back
Top Bottom