Dah 2007 niko form five, nimepita sana maeneo ya Sangu.. Nimepiga sana Tuition kwa Caps maeneo karibu na Meta Secondary, siju siku hizi yupo huyo Caps... Nimepiga sana Tuition maeneo ya Makubi... Miaka inakimbia sana, yaani ni kama juzi tu.
Hahahaha mkuu umenikumbusha kitu, pia wakati tunajaza hizo form za sehemu tunazotaka kwenda kufanya kazi pia ukiwa unajaza walikua wanakwambia "ukimaliza kujaza hapa pia zile form pale pembeni ni za polisi/Jeshi la wananchi kama unapenda mambo ya jeshi unaweza pia kwenda kujaza, ila sio lazima...
Nakumbuka siku tumemaliza pepa ya mwisho mlangoni pale kuna watu special walitupa form tunajaza sehemu tunazoenda kufanya kazi.. Yaani ilikua kama sasa hivi watoto wanavyomaliza form four wanachagua shule za kwenda kusoma A level.
Mkuu kweli nyakati zinabadilika sana, nakumbuka enzi mimi nasoma nilikua najiuliza kichwani "sijui serikali itanipeleka mkoa gani? Wakinipeleka kijijini siendi, mimi nataka kufanya kazi mjini so nitaenda zangu private"... Sikuwahi kufikiria kama mambo yatabadilika kama ilivyo sasa.
Mi sipendi pisi za kimaskini... Siku nikimpata mtoto wa Mama Samia nitat@mba mpaka nimpe mimba nimuoe... yaani hicho kitombo mpaka nitalazwa pale Makandana.
Mkuu nimejaribu kufikiria tu maana siasa ina mambo mengi sana... hii dunia ina siri nyingi sana, kuna mambo yanafanyika huwa tunalaumu lakini mengine huenda yako nje ya uwezo wake.
Huyu mama asingekua Mwanasiasa inaonekana angekua mtu mmoja innocent sana... japo simpendi ninavyomuona ni system tu imebadilisha but naturally anaonekana hana roho mbaya kihivyo... cheki hyo sura yake japo mm sio mungu nimefikiria mara mbili.
Hivi yule jamaa alikua anaitwa Chizi Maarifa aliendaga wapi? Kuna kipindi story za namna hii msimuliaji anasimulia na hamalizi story yake anasuasua kwa kuleta vipande vifupi vifupi, utamsikia chizi maarifa amemtag msimuliaji na kumwandikia ujumbe kwa maandishi ya herufi kubwa
"NIMELETEWA...
Kombi gani tena mkuu, huyo binti nimesoma nae form one mpaka form four na tulikua tunaishi mtaa mmoja japo sio majirani... Ndugu zake nawafahamu nao wananifahamu japo hatuna ule ukaribu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.