Recent content by DUBULIHASA

  1. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mkubwa sana usije ukakutana tena uso kwa uso na watu uliosoma nao secondary

    Dah 2007 niko form five, nimepita sana maeneo ya Sangu.. Nimepiga sana Tuition kwa Caps maeneo karibu na Meta Secondary, siju siku hizi yupo huyo Caps... Nimepiga sana Tuition maeneo ya Makubi... Miaka inakimbia sana, yaani ni kama juzi tu.
  2. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    Hahahaha mkuu umenikumbusha kitu, pia wakati tunajaza hizo form za sehemu tunazotaka kwenda kufanya kazi pia ukiwa unajaza walikua wanakwambia "ukimaliza kujaza hapa pia zile form pale pembeni ni za polisi/Jeshi la wananchi kama unapenda mambo ya jeshi unaweza pia kwenda kujaza, ila sio lazima...
  3. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    Nakumbuka siku tumemaliza pepa ya mwisho mlangoni pale kuna watu special walitupa form tunajaza sehemu tunazoenda kufanya kazi.. Yaani ilikua kama sasa hivi watoto wanavyomaliza form four wanachagua shule za kwenda kusoma A level.
  4. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Wafanya usaili waliofanikiwa kupita "Written" na "Practical" wakashindwa "Oral" wasaidiwe kwa namna nyingine

    Mkuu kweli nyakati zinabadilika sana, nakumbuka enzi mimi nasoma nilikua najiuliza kichwani "sijui serikali itanipeleka mkoa gani? Wakinipeleka kijijini siendi, mimi nataka kufanya kazi mjini so nitaenda zangu private"... Sikuwahi kufikiria kama mambo yatabadilika kama ilivyo sasa.
  5. DUBULIHASA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nipo Dar: Nitajuaje huyu demu sio Chura au ni Chura

    Mkuu wanawake asilimia 99.9 ni malaya,... michosho sana.
  6. DUBULIHASA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Sitaki ule mshangazi, nakitaka kile kicharii nadhan kibunge cha viti maalum.
  7. DUBULIHASA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Mi sipendi pisi za kimaskini... Siku nikimpata mtoto wa Mama Samia nitat@mba mpaka nimpe mimba nimuoe... yaani hicho kitombo mpaka nitalazwa pale Makandana.
  8. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Je, Samia Suluhu hajui kuzima MIC za Urusi? Putin ainglia kati kumsaidia

    Mkuu nimejaribu kufikiria tu maana siasa ina mambo mengi sana... hii dunia ina siri nyingi sana, kuna mambo yanafanyika huwa tunalaumu lakini mengine huenda yako nje ya uwezo wake.
  9. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Je, Samia Suluhu hajui kuzima MIC za Urusi? Putin ainglia kati kumsaidia

    Huyu mama asingekua Mwanasiasa inaonekana angekua mtu mmoja innocent sana... japo simpendi ninavyomuona ni system tu imebadilisha but naturally anaonekana hana roho mbaya kihivyo... cheki hyo sura yake japo mm sio mungu nimefikiria mara mbili.
  10. DUBULIHASA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: Leo nimetua mzigo mzito wa mahusiano

    Hivi yule jamaa alikua anaitwa Chizi Maarifa aliendaga wapi? Kuna kipindi story za namna hii msimuliaji anasimulia na hamalizi story yake anasuasua kwa kuleta vipande vifupi vifupi, utamsikia chizi maarifa amemtag msimuliaji na kumwandikia ujumbe kwa maandishi ya herufi kubwa "NIMELETEWA...
  11. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Tukio gani ulishawahi kufanya ukahakikisha umemfundisha mtu adabu?

    We Kume..r nn... mbona shobo sana we malay..er
  12. DUBULIHASA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hapa shida inaweza kuwa nini?

    Kwa hizi akili za wanawake unakaa unaganda nae muda mrefu amekua mama ako!
  13. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Tukio gani ulishawahi kufanya ukahakikisha umemfundisha mtu adabu?

    Upo kimya mkuu, unajikuta we ni Yesu au sio! Upo kimya mkuu, unajikuta we ni Yesu au sio! 🤣😂
  14. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Tukio gani ulishawahi kufanya ukahakikisha umemfundisha mtu adabu?

    We jamaa bangi zinakusumbua unafanananisha Udsm na Udom kweli, kwanza mi wakati nasoma hiyo takataka unayoiita Udom haikuwepo.
  15. DUBULIHASA

    JamiiForums Tanzania Tukio gani ulishawahi kufanya ukahakikisha umemfundisha mtu adabu?

    Kombi gani tena mkuu, huyo binti nimesoma nae form one mpaka form four na tulikua tunaishi mtaa mmoja japo sio majirani... Ndugu zake nawafahamu nao wananifahamu japo hatuna ule ukaribu.
Back
Top Bottom