Leta Haaland, Leta Mbappe, Leta Vinicious Junior, Leta Rodri, Leta De Bruyne....mbona simple tu dios lazima uwe kocha kujua wachezaji wazuri.... Haya Mlete na Pep Guadiola
Mkuu kwa sisi tuliosoma Linguistics Noam Chomsky ni jina maarufu kuliko majina yote, nikisikia jina Chomsky ni km wana ccm wakisikia jina Mama Samia...
Kweli mkuu, Sasa mtu km mama samia akitukanwa yeye anapata hasara gani mbona anakula mema ya nchi... Hv mtu km mama Samia tukisema tubadilishane maisha mm niende ikulu nikatukanwe yeye achukue maisha yangu atakubali!!!!
Watu mbona wanakuza sana mambo, mbona mama samia amefanya maisha yetu...
Wakikujibu usisahau pia kuwauliza kipindi cha Magufuli Makonda na Makamu wa rais nani alikua ni boss, halafu pia uwaulize kati ya waziri mkuu na katibu mwenezi wa ccm nani ni boss wa mwenzie... Halafu pia waulize job description ya chawa...
Mi sitaki huo ujinga sio unaenda kujiunga huko mara unakuta mwashambwa ni content controller mara cjui ni platinum member,,, yaani mi niende huko nikawe mnyonge no thank you!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.