Huu ni mtandao wa simu ambao ulikuwa uanze kufanya kazi Tanzania tangu mwaka 2010.walijenga minara kwenye miji mikuu na baadhi ya highways hapa TZ! HQ ya hii kampuni ilikuwa pale Jirani na Heineken house mikocheni kama unatokea mjini kuna jengo hapo ambalo kwa sasa linafanyiwa ukarabati na...
Mpaka aombe msamaha kwa press conference tena airushe live tv na redio zote kwa masaa matatu! Pili kwa hiyo conference afanye live performance ya single atakayokuwa ameitunga specifically kwa ajili ya kuomba msamaha! Habari ndo hiyo!
Nape amesema kuwa kuna mchezo mchafu unaofanywa na chadema wa kutengeneza kadi feki za CCM na kuzigawa kwa watu wao then wana wakamba wakarudishe kuonyesha umma kuwa wamehama CCM! Namwomba kwa unywnyekevu mkubwa awaeleze watz je hawa viongozi wa CCM Arusha nao wamepewa kadi feki na chadema? Hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.