Kitendo cha kubadili ajira inabidi uache kwanza ulipo sasa,ila ninavyojua utapanda cheo,km ulikua afisa kilimo ngazi ya tarafa/kata unaweza kwenda wilayan/mkoa au ukawa afisa kilimo ngazi ya wilaya
Ninavyojua kisheria ndio uruhusiwa ila km uwezo wa kusoma unao cheti kinapokelewa,hicho cha BBA ukimaliza wakabizi watakipokea na hapo ile miaka 3 kisheria itakua teyali utaenda master
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.