Gazeti la mwananchi la majuzi/au juzi(sikumbuki vema) limeandika kwamba nusu ya wanaume nchini wana ugumba....ni utafiti wa daktari bingwa...nadhani ndo nukuu ya bibie FaizaFoxy.
Mimi nawaheshimu sana wachagga,ni watu wanafanana na wa Asia katika kujitambua,ku enzi utamaduni wao,hardworking, determination,focused.Huwa nawatania kwa kuwaita wachina wa Tanzania.Pia huwa nasema kama wangepata busti kwenye viwanda vyao vidogovidgo tusingekuwa tuna import vitu kama vile viatu...
Watanzania kwa ujumla wake hatujitambui,hatujui sisi ni nani,tunatofautiana vipi na watu wengine,tuna malengo gani,na tuyaendee vipi malengo yetu kwa mujibu wa uhalisia wetu.
Even identical twins are not exactly the same,the same applies: asili yetu,nchi yetu,historia yetu,..haifanani na...
Hakuna mapovu,ni katika kutangaza biashara,lazima ukweze bidhaa zako ili ionekane ina thamani.
Tukija kwenye ubora wa bidhaa hizi za brands kubwakubwa/international,kampuni husika huwa inahakikisha ubora kabla hata haijakaguliwa na wengine,kwa sababu ushindani ni mkubwa,ikikutwa TOSHIBA,iPad...
Wanalazimisha SOPA na PIPA ili ku censor info kama hizi, infact anti-piracy policy inshaanza kufanya kazi,itafika kipindi some one will be sued for having such news clips/materials hence no evidence.There's un-controllable increase in number of people getting to know the truth.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.