Wakuu habarini za Mida,
Nahitaji msaada kwa wale wataalamu wa kuchoma nyama ya mbuzi huwa inakua lain na yenye ladha. Naombeni tupeane maujuzi jinsi ya kuchoma na aina ya viungo vya kutumia.
Nilijaribu kuchoma majuzi ikawa ngumu kama nini[emoji1787][emoji1787]
Habari za Muda Wana JF
Kama Kichwa Kinavojieleza, kumekuwa na mjadala hususani kwa Vijana kuhusu suala la ujenzi, hali inayopelekea wengine kutafuta Pesa kwa njia zisizofaa hususani waajiriwa
Wengi wanatamani kufikia maisha fulani kwa haraka baada tu ya kuajiriwa. Utakuta kijana kaajiriwa si...
kyagata,
Ni kwel kabisa mkuu, naona tuna case zinanzofanana. Kwa upande wangu mm huwa navutiwa sana na mwanamke lakin kabla sijampata, ila cha ajab nikishampata ile hamu huwa inaisha yoote namuona tu kawaida hata ham ya kukaa nae huwa inapotea kabisa
sijui nina tatizo gani aisee,yani nina...
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavojieleza, naomba mwenye ujuzi anisaidie jinsi ya kuconnect bluetooth via STAR X smart tv.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.