Recent content by Dreamchaserthedon

  1. Dreamchaserthedon

    Korea Kaskazini yalipua Ubalozi wa pamoja waliokua nao na Korea Kusini, mwendo wa kumwaga mboga na unga

    Hivi mnaosema NK ni taifa masikini mshawai kufika huko NK? Na ni masikini mkilinganisha na taifa gani au umasikini wao hupo je? wa Tanzania kwa kuongea tupo vizur oooo wananchi wake wanateseka wanakufa njaa, , na sisi je?
  2. Dreamchaserthedon

    Ngoma mpya ya King Kiba (So Hot) ni hot kweli kweli

    Kiba apendi show off bhn ndo maana anatoa ngoma za kawaida tu
  3. Dreamchaserthedon

    Kijana yupi kati ya hawa ana sifa za kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano?

    Inaonekana Tanzania hakuna vijana kabisa
  4. Dreamchaserthedon

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu siyo kwamba nimetafunwa kimasihara hapa ila mikeka yako mmmmmmh kijana wng
  5. Dreamchaserthedon

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kazi ningum asikwambie mtu.
  6. Dreamchaserthedon

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kifuta chasho km sh ngap mkuu?
  7. Dreamchaserthedon

    Kwa wahenga tu: Kwanini watu wengi wenye roho nzuri huwa na maisha magumu au ya kawaida tu?

    Mkuu nijambo lililowazi kabisa, kwamba Baraka siyo sababu ya mafanikio ya mtu au watu mojakwamoja, bali kujituma na kujiongeza kwa mtu. kwa mfano unaweza ukawa unawasaidia wengine na wewe huku unajiongeza kwa kuongeza vyanzo vya kipato chako. Sasa tatizo liko wapi nikwamba unakuta mtu...
  8. Dreamchaserthedon

    Kwa wahenga tu: Kwanini watu wengi wenye roho nzuri huwa na maisha magumu au ya kawaida tu?

    Mimi ninachoona ni Baba ake na jamaa kuwasaidia ndugu zake wakafanikiwa kuliko yeye[emoji23] (WIVU) Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Dreamchaserthedon

    Kwa wahenga tu: Kwanini watu wengi wenye roho nzuri huwa na maisha magumu au ya kawaida tu?

    Mkuu huu mfano wako unaonyesha kabisa unavyowachukia hao uliowaita ndugu zako Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Dreamchaserthedon

    Kwa wahenga tu: Kwanini watu wengi wenye roho nzuri huwa na maisha magumu au ya kawaida tu?

    Nimeona mfano huo kwa baba yangu. Tangu tukiwa wadogo ndugu wengi walikuwa wakija pale nyumbani na kusaidiwa hadi ada za shule kwa wale waliokua wanasoma. Sasa imepita miaka mingi maisha yake ni yaleyale, wale waliosaidiwa wengi wapo kimya tena baadhi wako ulaya lakini hata kupiga simu kutoa...
  11. Dreamchaserthedon

    Diamond hajui, anakwama hapa tu

    Mkuu ww si shabiki wa muziki tena unadai umwelewi Diamond kivip ss? Utamwelewaje wakat ww si shabiki wa muziki? Halafu kwa mifano ulioitoa unaonekana ww ni muimba kwaya. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Dreamchaserthedon

    Sheria itungwe, kutopiga kura iwe ni kosa la jinai

    Cheo kinatafutwa, kaza mwendo (kusifia) mkuu mwisho wa siku uenda ukapata hicho unachokitafuta. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom