Recent content by drbinagi

  1. D

    Paka wa Schrödinger

    Asante sana kwa shule. Ila bado sijaelewa msingi wa experiment ya Schrodinger's Cat, haswa kwa paka na maisha halisi ukiacha katika quantum mechanics
  2. D

    Fanya hivi ukihisi umeambukizwa virusi vya Corona (COVID 19)

    Aaah... nilidhani unajua chochote kumbe una-google tu. Basi bwana
  3. D

    Fanya hivi ukihisi umeambukizwa virusi vya Corona (COVID 19)

    Uko sahihi kuogopa hivyo, na mimi mwenyewe sipendi madawa meengi. Lakini hizo dawa nilizoweka kwa hizo dozi, hazina matatizo yeyote, kwa zilishapimwa na kufanyiwa utafiti kwa miaka mingi. Pili, kwa lugha za mtaani waganga wengi wa jadi hisema kwamba dawa za hospitali zina madhara, ila hii ni...
  4. D

    Fanya hivi ukihisi umeambukizwa virusi vya Corona (COVID 19)

    Mimi ni daktari bingwa wa magonjwa ya ndani na pia ni mkufunzi wa kitaifa wa magonjwa ya mlipuko ikiwapo COVID. Na nimekuwa nikitibu wagonjwa wengi wa COVID toka huu ugonjwa uje nchini kwetu na ningependa kuwapa ushauri ufuatao. Naamini unafahamu dalili za ugonjwa huu kwakuwa zimetangazwa sana...
  5. D

    Binadamu anapokufa ni lazima atoe kinyesi , mkojo, mbegu za kiume ama za kike

    Ulichoandika ni uongo mtupu. Nimeshuhudia watu wakifa wengi katika taaluma yangu na sijawahi kuona mtu akitoa manii au mkojo au vyote ulivyoandika hapo. Kutoka uchafu kama kinyesi n.k. inategemea na aina au sababu ya kifo. M.f. mtu akifa huku amekandamizwa au kuumizwa eneo la chizi la ubongo...
  6. D

    Napata wapi mbwa wenye mikia mifupi

    Hao sio Rotties boss, hao ni Doberman[emoji4]
  7. D

    Napata wapi mbwa wenye mikia mifupi

    Wanaitwa Doberman Pinscher. Huwa na mikia mirefu lakini inakatwa kwa sababu za fashion tu au muonekano lakini wataalam wengi wanapinga kwani haina faida.
  8. D

    Sakata la Dangote: Kama ni kuondoka na aondoke tuu

    Kuna muda ukifika tuwe tunakubali kuwa tumechemka. Cement ndio nyenzo muhimu ya ujenzi. Tunataka watu wajenge viwanda halafu tunaua kiwanda cha cement cha bei nafuu. Halafu na kwavile hatupendi kujishusha tunajifanya eti "sizitaki mbichi hizi". Baada ya Dangote kuondoka mtasema mengi sana...
  9. D

    Sakata la Dangote: Kama ni kuondoka na aondoke tuu

    Aidha umetumwa kutetea ujinga kwa sababu za kisiasa au ni kweli una upeo mdogo. Kabla ya hiko kiwanda bei ya cement ilikuwa shilingi ngapi mtaani? Unajua Dangote alitaka kuuza sh5000 lakini akazuiliwa... Hao watanzania 1000 wanaolipwa 120000, walikuwa wanalipwa shilingi ngapi kabla ya kiwanda...
  10. D

    Ujue ugonjwa wa Kichocho (Bilharzia); Chanzo, dalili na tiba

    Kwa haraka una dalili kama za UTI lakini inaweza ikawa inepanda juu kusababisha Cystitis (maambukizi katika kibofu). Japokuwa pia kuna magonjwa mengine zaidi ya hayo yanayoweza kuleta hali kama hiyo pia including Cancer, lakini tusiombee hayo. Unahitaji kwenda hospitali kubwa iliyo karibu yako...
  11. D

    Kumekucha, kwa taabu sana hatimaye nimeacha punyeto

    Medically, usipofanya masterbation for 40 days huku unakula vizuri na kufanya mazoezi unakuwa umepona kabisa madhara yote uliyojitengenezea. 40 days guys! Sio nyingi sana.
  12. D

    Nyerere na fitna za Upemba na Uunguja

    Mwandishi wa hii makala una upeo mdogo sana. Pole sana. Nakushauri utumie upeo finyu ilio nao katika kuwasaidia wazanzibari kufanya kazi na bidii katika elimu ili kuondokana na umasikini walionao badala ya kusukuma lawama zote kwa Mzee wetu ambaye tunamjua na kumuheshimu.
Back
Top Bottom