Fanya hivi ukihisi umeambukizwa virusi vya Corona (COVID 19)

drbinagi

Member
May 12, 2013
14
26
Mimi ni daktari bingwa wa magonjwa ya ndani na pia ni mkufunzi wa kitaifa wa magonjwa ya mlipuko ikiwapo COVID. Na nimekuwa nikitibu wagonjwa wengi wa COVID toka huu ugonjwa uje nchini kwetu na ningependa kuwapa ushauri ufuatao.

Naamini unafahamu dalili za ugonjwa huu kwakuwa zimetangazwa sana, labda nikuongezee zingine chache kama kuharisha, kichwa kuuma, mwili kuchoka, viungo kuuma kupoteza ladha na kupoteza uwezo wa kuhisi harufu.

Sasa ukiwa unajihisi umepata maambukizi fanya yafuatayo. Hii inawahusu wale ambao dalili zao sio kali sana, yaani mild illness au hata hawana dalili kabisa. Watu wenye dalili kali waende hospitali tafadhali!
Basi fanya yafuatayo:
  1. Fanya mazoezi ya viungo: mazoezi yatakusaidia kuboresha mfumo wako wa kinga, kuimarisha afya yako na kuboresha uwezo wa mapafu na upumuaji wako kwa ujumla. Fanya kwa dk 30 - 40/siku
  2. Kula vyakula vyenye mchanganyiko ulio kamili. Yaani protini, mafuta, wanga, vitamins, n.k. Unahitaji rutuba zote ili kutengeneza seli mpya za kinga ya mwili. Kunywa maji lita 3-4 kama hauna tatizo lingine la kiafya ambalo linakuzuia usinywe maji mengi.
  3. Tumia multivitamins: kwakuwa wengi wetu hatuna muda au nafasi ya kupata virutubisho vyote kama mwili unavyohitaji basi unaweza kutumia vidonge vya multivitamins. Weka msisitizo katika vitamins zifuatazo: C, D, B, A na madini kama ya Zinc. Virutubisho hivyo vitakusaidia kuujengea mwili uwezo wa kujikinga/kupona.
  4. Kula antibiotics kama kinga: haswa kama una dalili za awali za kifua. Tumia Amoxiclav 625mg BD 5/7 (Altenatively: Tumia Azithromycin)
  5. Tumia Paracetamol (1g TDS 5/7). Hii pia tumia kama una dalili za awali za kifua, homa, ambazo sio kali.
  6. Tumia dawa za kikohozi m.f. Cetirizine, Antihistamines, Cough syrups.
  7. Epuka baridi katika mapafu, mf. AC au feni ambayo inakupiga moja kwa moja kifuani.
  8. Epuka kujifungia sana ndani, yaani hakikisha mwili unapata hewa safi inayozunguka. Good ventilation. Kwahiyo toka nje mara kwa mara upumue hewa safi na kupigwa na jua.
  9. Pima na utibu magonjwa haya: Malaria, UTI, Sukari, Figo, Presha, n.k. Magonjwa kama haya huwa na tabia ya kuzidi au kukuletea shida zaidi iwapo pia una maambukizi ya virusi vya korona. Kwahiyo hakikisha unapimwa na kutumia dawa sahihi mapema.
  10. Dalili zikizidi kuwa mbaya tafadhali fika hospitali kwani kuna dawa ambazo inabidi tukupatie na vipimo vya ziada vya kufanya.
 
Mkuu dawa zote ulizo zitaj atumie mgonjwa wa maradhi ya Corona Virus kwani ana mwili wa chuma?Si zitamdhuru hayo madawa ya kizungu yana sumu ndani yake? Side effects Sikubaliani na huo ushauri wako. Kama ni wewe Doctor Mngojee mgonjwa aje kwako hospitali umpe hizıo dawa ulizo zitaja kisha tuone je atapona maradhi ya Corona Virus?
 
Mkuu dawa zote ulizo zitaj atumie mgonjwa wa maradhi ya Corona Virus kwani ana mwili wa chuma?Si zitamdhuru hayo madawa ya kizungu yana sumu ndani yake? Side effects Sikubaliani na huo ushauri wako. Kama ni wewe Doctor Mngojee mgonjwa aje kwako hospitali umpe hizıo dawa ulizo zitaja kishatuone je atapona maradhi ya Corona Virus?
Uko sahihi kuogopa hivyo, na mimi mwenyewe sipendi madawa meengi.
Lakini hizo dawa nilizoweka kwa hizo dozi, hazina matatizo yeyote, kwa zilishapimwa na kufanyiwa utafiti kwa miaka mingi. Pili, kwa lugha za mtaani waganga wengi wa jadi hisema kwamba dawa za hospitali zina madhara, ila hii ni general statement ya watu wasiojua. N8 sawa na kusema watoto wa matajiri hawana akili.

Ni lugha tu za kujipa moyo lakini hazina ukweli. Ukweli ni kwamba, dawa yeyote ikizidishwa dozi ina madhara hata iwe ya kienyeji. Hata chakula ukizidisha kiasi kina madhara. Na ukweli mwingine ni kwamba si dawa zote zenye madhara kwa binadamu kwa dozi ya kawaida, mf. Dawa za kansa zina madhara kwako, hata ukipewa dozi ndogo.

Lakini Paracetamol haina madhara ukitumia dozi sahihi. Kwahiyo, usitishe tu watu bwana kwa maneno ya mtaani yasio na utafiti... soma uelewe kidogo.
 
Uko sahihi kuogopa hivyo, na mimi mwenyewe sipendi madawa meengi.
Lakini hizo dawa nilizoweka kwa hizo dozi, hazina matatizo yeyote, kwa zilishapimwa na kufanyiwa utafiti kwa miaka mingi. Pili, kwa lugha za mtaani waganga wengi wa jadi hisema kwamba dawa za hospitali zina madhara, ila hii ni general statement ya watu wasiojua. N8 sawa na kusema watoto wa matajiri hawana akili.

Ni lugha tu za kujipa moyo lakini hazina ukweli. Ukweli ni kwamba, dawa yeyote ikizidishwa dozi ina madhara hata iwe ya kienyeji. Hata chakula ukizidisha kiasi kina madhara. Na ukweli mwingine ni kwamba si dawa zote zenye madhara kwa binadamu kwa dozi ya kawaida, mf. Dawa za kansa zina madhara kwako, hata ukipewa dozi ndogo.

Lakini Paracetamol haina madhara ukitumia dozi sahihi. Kwahiyo, usitishe tu watu bwana kwa maneno ya mtaani yasio na utafiti... soma uelewe kidogo.
Wewe Waongopee watu kuwa Dawa za kizungu hazina madhara aka Side effects. umesema kuwa Paracetamol haina Madhara soma haya hapa baadhi ya Madhara ya kutumia Paracetamol

Paracetamol side effects

Get emergency medical help if you have any of these signs of an allergic reaction to paracetamol: hives; difficulty breathing; swelling of your face, lips, tongue, or throat. Stop using this medication and call your doctor at once if you have a serious side effect such as:

  • low fever with nausea, stomach pain, and loss of appetite;
  • dark urine, clay-colored stools; or
  • jaundice (yellowing of the skin or eyes).
This is not a complete list of paracetamol side effects and others may occur. Call your doctor for medical advice about side effects. You may report side effects to FDA at 1-800-FDA-1088.

Paracetamol Side Effects


  • Managing Side Effects
Note: This document contains side effect information about acetaminophen. Some of the dosage forms listed on this page may not apply to the brand name Paracetamol.


For the Consumer
Applies to acetaminophen: capsule, capsule liquid filled, elixir, liquid, powder, solution, suppository, suspension, syrup, tablet, tablet chewable, tablet disintegrating, tablet extended release

Other dosage forms:

  • intravenous solution
Side effects requiring immediate medical attention
Along with its needed effects, acetaminophen (the active ingredient contained in Paracetamol) may cause some unwanted effects. Although not all of these side effects may occur, if they do occur they may need medical attention.

Check with your doctor immediately if any of the following side effects occur while taking acetaminophen:

Rare

  • Bloody or black, tarry stools
  • bloody or cloudy urine
  • fever with or without chills (not present before treatment and not caused by the condition being treated)
  • pain in the lower back and/or side (severe and/or sharp)
  • pinpoint red spots on the skin
  • skin rash, hives, or itching
  • sore throat (not present before treatment and not caused by the condition being treated)
  • sores, ulcers, or white spots on the lips or in the mouth
  • sudden decrease in the amount of urine
  • unusual bleeding or bruising
  • unusual tiredness or weakness
  • yellow eyes or skin
Get emergency help immediately if any of the following symptoms of overdose occur while taking acetaminophen:

Symptoms of overdose


  • Diarrhea
  • increased sweating
  • loss of appetite
  • nausea or vomiting
  • stomach cramps or pain
  • swelling, pain, or tenderness in the upper abdomen or stomach area

Paracetamol Side Effects: Common, Severe, Long Term - Drugs.com
 
Madhara ya kutumia kwa muda mrefu vidonge vya paracetamol au panadol tujihadhari

Side Effects of Long Term Paracetamol or Panadol Use


PANADOL.jpg



Use with caution in

* Decreased kidney function.

* Decreased liver function.

Ukitumia Vidonge hivyo yaani Paracetamol au Panadol kwa muda mrefu basi ukae ukijuwa unaharibu Figo lako na Ini lako kupunguwa kufanya kazi vizuri Tujihadhari kutumia kwa wingi hivyo vidonge.
Madhara ya kutumia kwa muda mrefu vidonge vya paracetamol au panadol tujihadhari
 
Wewe Waongopee watu kuwa Dawa za kizungu hazina madhara aka Side effects. umesema kuwa Paracetamol haina Madhara soma haya hapa baadhi ya Madhara ya kutumia Paracetamol

Paracetamol side effects

Get emergency medical help if you have any of these signs of an allergic reaction to paracetamol: hives; difficulty breathing; swelling of your face, lips, tongue, or throat. Stop using this medication and call your doctor at once if you have a serious side effect such as:

  • low fever with nausea, stomach pain, and loss of appetite;
  • dark urine, clay-colored stools; or
  • jaundice (yellowing of the skin or eyes).
This is not a complete list of paracetamol side effects and others may occur. Call your doctor for medical advice about side effects. You may report side effects to FDA at 1-800-FDA-1088.

Paracetamol Side Effects


  • Managing Side Effects
Note: This document contains side effect information about acetaminophen. Some of the dosage forms listed on this page may not apply to the brand name Paracetamol.


For the Consumer
Applies to acetaminophen: capsule, capsule liquid filled, elixir, liquid, powder, solution, suppository, suspension, syrup, tablet, tablet chewable, tablet disintegrating, tablet extended release

Other dosage forms:

  • intravenous solution
Side effects requiring immediate medical attention
Along with its needed effects, acetaminophen (the active ingredient contained in Paracetamol) may cause some unwanted effects. Although not all of these side effects may occur, if they do occur they may need medical attention.

Check with your doctor immediately if any of the following side effects occur while taking acetaminophen:

Rare

  • Bloody or black, tarry stools
  • bloody or cloudy urine
  • fever with or without chills (not present before treatment and not caused by the condition being treated)
  • pain in the lower back and/or side (severe and/or sharp)
  • pinpoint red spots on the skin
  • skin rash, hives, or itching
  • sore throat (not present before treatment and not caused by the condition being treated)
  • sores, ulcers, or white spots on the lips or in the mouth
  • sudden decrease in the amount of urine
  • unusual bleeding or bruising
  • unusual tiredness or weakness
  • yellow eyes or skin
Get emergency help immediately if any of the following symptoms of overdose occur while taking acetaminophen:

Symptoms of overdose


  • Diarrhea
  • increased sweating
  • loss of appetite
  • nausea or vomiting
  • stomach cramps or pain
  • swelling, pain, or tenderness in the upper abdomen or stomach area

Paracetamol Side Effects: Common, Severe, Long Term - Drugs.com
Aaah... nilidhani unajua chochote kumbe una-google tu. Basi bwana
 
Aaah... nilidhani unajua chochote kumbe una-google tu. Basi bwana


FAHAMU KUHUSU MADHARA YA MATUMIZI YA DAWA YA PANADOL

Watu wengi wana mtizamo kuwa dawa zinazouzwa katika maduka ya dawa baridi na maduka ya kawaida ya vyakula, yaani zile ambazo hazihitaji agizo la daktari ( over-the-counter (OTC) drugs ) ni salama.
Ukweli ni kwamba hali haiko hivyo kabisa. Nyingi ya dawa zilizoko katika kundi hili huko nyuma zilikuwa ni miongoni mwa zile zilizosimamiwa na kuratibiwa kwa karibu, huku zikitolewa tu kwa agizo la daktari.

Pamoja na kuondolewa katika kundi la dawa zinazohitaji kutolewa kwa agizo la daktari, bado dawa za OTC ni kemikali ambazo mara nyingi haziondoi kiini cha tatizo ulilonalo, na zinaweza kukupelekea kupata madhara makubwa, ikiwa ni pamoja na kifo.

Mfano mmoja wapo ni dawa ya panadol, ambayo pia hujulikana kama paracetamol, acetaminophen, tyenol, nakdhalika.
Panadol ni dawa maarufu kweli kweli. Ni dawa maarufu hasa kutokana na uwezo wake wa kutuliza maumivu na pia kushusha homa haraka.

Watu wengi hunywa panadol bila ya kujiuliza chochote kuhusu usalama wake. Kupitia kwa wazazi na walezi wao, watoto wengi sana pia ni wabugiaji wa dawa hii.

Hii ni kutokana na wazazi/walezi wao kuamini kuwa kila mtoto anapolia basi mtoto ana maumivu, na au kila anapopata homa basi kuna ulazima wa kuishusha homa hiyo.

Kwa kiasi kikubwa tabia hii imejengwa na madaktari na wafamasia ambao nao hutoa dawa hii kwa wagonjwa bila kuzingatia usalama wake, na hivyo bila kutoa ushauri wowote kana kwamba dawa hizi ni salama kama maziwa!

Hatuna miundo mbinu ya kubaini idadi ya watu wanaoudhuriwa na matumizi haya ya kiholela ya panadol, lakini kwa kuangalia takwimu za nchi nyingine, bila shaka watu hao watakuwa ni wengi sana.

Nchini Marekani utumiaji uliopindukia wa panadol (overdose) umetambuliwa kuwa ndio sababu kuu ya simu zinazopigwa kuomba msaada katika vituo vya udhibiti wa sumu (Poison Control Centers) nchini humo, kila mwaka.

Panadol pia inatuhumiwa kuwa kila mwaka inasababisha kiasi cha watu zaidi ya 56,000 kupatiwa matibabu ya dharura, watu 2,600 kulazwa hospitalini, na kiasi cha watu 458 kupoteza maisha, katika taifa hilo. Sababu ya madhara haya inatajwa

kuwa ni kushindwa kwa kiwango cha juu kwa ini kufanya kazi.
Taasisi ya chakula na dawa ya Marekani (US Food and Drug Administration (FDA)) mnamo mwaka 2009 ilitoa maelekezo kuwa vifungashio vya dawa hii viwekewe onyo kuhusu uwezekano wa dawa hii kuharibu ini la mtumiaji.

Hatua hii ilikuja miaka 32 baada ya jopo la wataalamu kutoa ushauri kwa FDA kuwa onyo hili lilikuwa ni suala la ‘lazima’!

Katika hatua nyingine, kwa nia ya kupunguza madhara, mnamo tarehe 14 Januari, 2014 FDA ilitoa kauli iliyokuwa ikiwahimiza wataalamu wa afya kuacha kuandika maagizo ya dawa

(prescriptions) kwa dawa mchanganyiko ambazo miongoni mwake kulikuwa na vidonge (au vimiminika) vilivyokuwa na kiambata cha panadol kilichokuwa kikifikia kiasi cha miligramu 325.

Ni vizuri kuzingatia kuwa baadhi ya dawa za maumivu zinazotolewa kwa maagizo ya daktari kama vile Vicodin na Percocet, pia zina kiambata cha panadol na kwa hivyo hazipaswi kuchanganywa na dawa zingine zenye kiambata hiki.

UTUMIAJI WA PANADOL WAKATI WA UJA UZITO UNAWEZA KUCHOCHEA UGONJWA WA UTUKUTU MKUBWA KWA WATOTO

(Attention Deficit Hyperactivity Disorder –ADHD)
Hivi sasa kuna kundi la watafiti ambao wanahoji matumizi ya panadol kwa kina mama wajawazito.

Hoja yao ni kwamba matumizi ya dawa hii katika kipindi cha ujauzito yanaweza kusababisha mtoto atakayezaliwa kuwa na tabia ya utukutu uliokithiri.

Matokeo ya utafiti yaliyochapishwa katika jarida la JAMA Pediatrics, yanaonyesha kuwa panadol ni kitibua homoni ( hormone disruptor), na uwepo wa homoni usio wa kawaida mwilini wakati wa ujauzito unaweza kuathiri maendeleo ya kukua kwa ubongo wa mtoto anayeendelea kubadilika na kukua tumboni.

Utafiti huu ambao ulijumuisha takwimu zilizohusisha zaidi ya kina mama na watoto 64,000 kutoka katika kituo cha Taifa cha Kujifungulia cha Denmark (Danish National Birth Cohort), ulionyesha kuwa zaidi ya 50% ya wanawake waliohusishwa walitoa taarifa za kutumia panadol wakati wakiwa waja wazito.

Utumiaji huu wa panadol kwa wanawake hao olionyesha matokeo yafuatayo:

• Ongezeko la 30% la hatari ya mtoto kukumbwa na ADHD katika miaka saba ya kwanza ya maisha yake.
• Ongezeko la 37% la hatari ya mtoto kukumbwa na ugonjwa wa hyperkinetic disorder (HKD), ambao ni aina ya ADHD iliyopindukia mipaka.

Utafiti pia ulibaini kuwa kiwango cha madhara kilitegemeana na dozi. Kadri mama mjamzito alivyotumia panadol kwa wingi wakati wa ujauzito ndivyo jinsi ambavyo uwezekano wa mtoto kukumbwa na magonjwa yenye uhusiano na ADHD ulivyoongezeka.

Aidha kwa mujibu wa utafiti huu watoto wa wanawake ambao walitumia panadol kwa majuma 20 au zaidi wakati wa ujauzito walikuwa na kiwango karibu mara mbili cha hatari ya kukutwa na ugonjwa wa HKD.

MADHARA MENGINE YA KIAFYA YANAYOHUSISHWA NA MATUMIZI YA PANADOL

Ukiondoa uharibifu wa ini, panadol pia imehusishwa na madhara mengine ya hatari kama uharibifu wa figo pale inaponywewa na pombe, saratani za damu, madhara yanayopelekea ngozi kukumbwa na magonjwa kadhaa kama Stevens-Johnson Syndrome (SJS), toxic epidermal necrolysis (TENS), na acute generalized exanthematous pustulosis (AGEP), na kuzuia chanjo zisifanye kazi vizuri pale vinapotumiwa pamoja..

KUDHIBITI MAUMIVU
Kwa kuwa watumiaji wengi wa panadol, hasa kwa watu wazima, hufanya hivyo kwa nia ya kupambana na maumivu, ni muhimu wakajifunza mbinu salama na mbadala za kuondoa hayo maumivu.
 
Mimi nahisi nilipata corona maana nilianza kuhisi kifuani Kuna ubaridi fulani sio wa kawaida na vimafua

Fasta nikaanza kula malimao na nikawa nazurura maporini ambako hakuna watu.nilikaa mbali na watu kabisa .

Baada ya wiki nikawa fresh tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ikitokea bahati mbaya umeshikwa na Maradhi ya Corona tumia njia hii hapa.


formula hii;

å Lita 1 ya maji ya moto.
å Kitunguu saumu punje 10 hadi 15.
å Malimao 2.
å Kitunguu maji kikubwa 1.
å Tangawizi size ya kidole gumba 4.
å Pilipili kichaa 5.

Changanya kwa kutumia blender kwa dakika 4 hadi 5. Kisha iache ipoe na uanze kuitumia

#DOZI NI VIJIKO VIWILI(2) VYA CHAKULA KILA BAADA YA MASAA SITA# TUMIA SIKU 7 AU SIKU 15 UMEPONA NA VIRUSI VYA CORONA VITAKUFA.
 
Ikitokea bahati mbaya umeshikwa na Maradhi ya Corona tumia njia hii hapa.


formula hii;

å Lita 1 ya maji ya moto.
å Kitunguu saumu punje 10 hadi 15.
å Malimao 2.
å Kitunguu maji kikubwa 1.
å Tangawizi size ya kidole gumba 4.
å Pilipili kichaa 5.

Changanya kwa kutumia blender kwa dakika 4 hadi 5. Kisha iache ipoe na uanze kuitumia

#DOZI NI VIJIKO VIWILI(2) VYA CHAKULA KILA BAADA YA MASAA SITA# TUMIA SIKU 7 AU SIKU 15 UMEPONA NA VIRUSI VYA CORONA VITAKUFA.
Shukrani dokta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikitokea bahati mbaya umeshikwa na Maradhi ya Corona tumia njia hii hapa.


formula hii;

å Lita 1 ya maji ya moto.
å Kitunguu saumu punje 10 hadi 15.
å Malimao 2.
å Kitunguu maji kikubwa 1.
å Tangawizi size ya kidole gumba 4.
å Pilipili kichaa 5.

Changanya kwa kutumia blender kwa dakika 4 hadi 5. Kisha iache ipoe na uanze kuitumia

#DOZI NI VIJIKO VIWILI(2) VYA CHAKULA KILA BAADA YA MASAA SITA# TUMIA SIKU 7 AU SIKU 15 UMEPONA NA VIRUSI VYA CORONA VITAKUFA.
Kama dawa ipo basi watoto wetu wafungue shule sasa, au hiyo pilipili kichaa kwa watoto ni tatizo jingine?
 
Kama dawa ipo basi watoto wetu wafungue shule sasa, au hiyo pilipili kichaa kwa watoto ni tatizo jingine?
hiyo dawa si kwa ajili ya watoto kwani wagonjwa ni watoto au watu wazima? Suala la kufunguwa shule ni suala la Serikali itakapo amuwa kufunguwa watafunguwa tu shule hazitafungwa maishani yote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom