ndio ni kwel mkuu
nimetamani sn kujifunza kwa wataalam (mafundi) basic kwan nataka kuwa fundi kabisa kweny pikipiki naona kwa upande wangu sio vizur kuanza mwenyw bora nipate uzoefu kidogo
ndio alafu siko vizur pia ss kama vijana tunapambana tu
kwa ss nimeona niwekeze kweny ujuzi sn kuliko...
wakuu bado naomba msaada wenu nataka kuanza safar yangu hii
naomba sn kwa yoyote nipate fursa hyo naahidi kuto kumwangusha kwan mm ni mwaminifu
nitakubali kulipa hata kitu kidogo niwezeshwe naombeni sn msaada wenu
Nawasalimia kwa jina la jamuhuri kazi iendele
Kwa kifupi naomba kufikisha ombi langu kwenu wakuu.
Mimi kama kijana natamani sana kujifunza ufundi hasa wa pikipiki na vingine pia kwan ufundi ni hazina kubwa sana kwa mtu kwan hatujue leo wala kesho yetu. Ombi langu kwenu kama nitapata...
Kubwa naona watu wanaroho mbaya kutokana na wao kufanyiwa hyo yan hawakupata kirahisi au chuki moyoni labda alifanyiwa hyo na wengine ni hulka na choyo binafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.