Napenda video zake zinafurahisha. Ni actual original videos Ila maneno sio original yaliyozungumzwa kwenye tukio. ni sauti na maneno ambayo yanapandikizwa kwa kuangalia matendo na midomo ya mzungumzaji kisha wanareplace neno original na neno lingine linaloendana na tendo na midomo inavyoenda...
Sijawahi kupenda superhero movies, niliyoangalia ni Amazing spiderman na Spiderman homecoming basi
Umesema kuwa Tom Holland ni Free mason?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeuliza kwa niaba yangu. Utajuaje sasa huenda pia nina ukwasi au nataka nijiandae kisaiklojia
So inamaana hawa wanashughulika na nyumba za kawaida. Okay.
Huwezi kuacha kuishi Leo kwa kuhofia kesho usiyoijua.
Marriage is overrated in Africa/Tanzania. Sound like a big deal huh! Yeah
Bora talaka kuliko kuishi kwenye toxic relationship ili mradi uonekane umeoa/olewa( hii ni kubwa sana Africa sababu ya ignorance)
Jitu kuuubwaa limemaliza chuo bado...
Yanapingana kutokana na akili zetu zilipokomea. Ila mi nimejikaza nikatafsiri kuwa ' akikunyang'anya kalamu yako chukua ya kwake kisha mnunulie chai mpe na maji ya kuoga' hapo hujawa rude, umekuwa fair.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.