Recent content by Drake Jr

  1. Drake Jr

    HESLB mwogopeni Mungu. Ku-apply 87,100, mkopo 77,100

    Hivi hii Nchi awa viongozi mliowachagua huwa wanakurupuka sana, kutupelekesha kama mabwege sana. Uyo sijui Ndalichako kwanza hajielewi huo uProfesa nna wasiwasi atakuwa kaiba kama wanavoiba kura maana upeo wake wa kufikiri ni mdogo sana. Sasa anadai eti wanafunzi wakipewa boom wanakunywa pombe...
  2. Drake Jr

    Aliyetolewa macho yawezekana yeye ndiye mkosaji

    Hata kama lakini haikuwa guarantee ya kumtoboa macho...
  3. Drake Jr

    Nina bamia nahofia labda siwaridhishi wanawake

    Alafu ushaiita bamia inakuwaje uiite mashine tena!? Mashine huwa inafanya kazi effectively bila kukosea. Ila kuna dawa mdogo wangu za kuongeza icho kibamia ila be ready incase of side effects....,
  4. Drake Jr

    ITV bana, Gavana anaeleza hali ya Uchumi wa nchi anapewa dak. 1, Mbowe anaeleza UKUTA, dakika 4

    Ukuta ni Muhimu maana Amani ya nchi ni muhimu zaidi kwa 1000000000% zaidi ya huo Uchumi wao.
  5. Drake Jr

    Tukumbushane vipindi na tamthilia maarufu za kwenye TV za kipindi hicho. Mnakumbuka wapi?

    The Bold and the Beautifull naikumbuka sana hii
  6. Drake Jr

    Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

    Watu wafanye kazi yeye amewapa ajira!? Au amewapa mikopo wafanye izo biashara...
  7. Drake Jr

    Bungeni: Swali la Mh. Silinde juu ya kushushwa GPA kwa Diploma kujiunga Chuo Kikuu

    Hii Serikali wanakurupuka sana... Walidhani GPA ya 3.5 kila chuo inapatikana kiurahisi... Kila mtu ana kichwa chake huwezi kuweka gpa ya 3.5 ni kubwa sana especialy kwa chuo kama IFM
Back
Top Bottom