Bungeni: Swali la Mh. Silinde juu ya kushushwa GPA kwa Diploma kujiunga Chuo Kikuu

kALEnga kidamali

JF-Expert Member
Nov 19, 2015
542
733
Hakika swali juu ya kubadilika kwa vigezo vya kujiunga chuo kikuu baada ya ma badiliko ya kutoka GPA ya 3.5 hadi 3.0 limenifanya niwe makini sana kujua majibu ya serikali.

Lakini majibu ni kwamba waliweka GPA ya 3.5 kutokana na ufaulu kuwa mkubwa lakin baada ya kuwakosa wakaona washushe vigezo hadi 3.0.

Swali langu..
Hapa swala ni ubora wa elimu au idadi ya wanafunzi wanaotakiwa vyuoni?

Na kwa sababu watu walisha kata tamaa na wakajikuta hata pesa walizojiandaa kwa ajili ya masomo walishafanyia mambo mengine, je ni lini sasa serikali itaacha kuleta mikanganyiko ya aina hii kwa watu wake?
 
Hakika swali juu ya kubadilika kwa vigezo vya kujiunga chuo kikuu baada ya ma badiliko ya kutoka GPA ya 3.5 hadi 3.0 limenifanya niwe makini sana kujua majibu ya serikali.

Lakini majibu ni kwamba waliweka GPA ya 3.5 kutokana na ufaulu kuwa mkubwa lakin baada ya kuwakosa wakaona washushe vigezo hadi 3.0.

Swali langu..
Hapa swala ni ubora wa elimu au idadi ya wanafunzi wanaotakiwa vyuoni?

Na kwa sababu watu walisha kata tamaa na wakajikuta hata pesa walizojiandaa kwa ajili ya masomo walishafanyia mambo mengine, je ni lini sasa serikali itaacha kuleta mikanganyiko ya aina hii kwa watu wake?


Inabaidi ujue kuwa GPA ya 3.0 sio ndogo kihivyo ni ya mtu ambaye amefikisha wastani wa B katika masomo yote wakati ile waliyoweka ya 3.5 ni ya mtu mwenye wastani wa B+
 
Kwa kuwa wabongo wengi walifeli Math, hata kutafuta GPA ni janga! Kila kozi GPA yake ina vigezo vyake ndugu zangu, yapo masomo ambayo yana points nyingi zaidi ya masomo mengine na hivyo mchango wake ni mkubwa kwenye calculation ya GPA.
Maoni yangu! Tusijadili sana elimu ya juu wakati msingi wa elimu hiyo haueleweki. Bora yafanyike marekebisho kwenye elimu ya msingi, watoto wetu wajue mambo ya msingi ambayo yatawasaidia kwenye elimu ya juu. Mfano kwenye elimu ya msingi:-
1. ni wapi kunafundishwa maadili ya Mtanzania,
2. ni wapi kunafundishwa maadili ya nyumbani
3. ni wapi kunafundishwa kujali muda
4. ni wapi kunafundishwa umuhimu wa kuweka akiba.
Ukienda kwenye makabila mbali mbali kulikuwa kunafundishwa maadili / mila na destuli za kabila hilo awali. Hiyo ndo elimu ya msingi. Sasa kitaifa ni lazima tuwe na elimu ya msingi ya kitaifa itakayotufanya popote tuendako kujulikana kama watanzania. Wapo watanzania ambao wakiwa nje ya nchi hata siku moja huwezi kumsikia anasema mimi ni Mtanzania - labda akipatwa na shida.
 
Inabaidi ujue kuwa GPA ya 3.0 sio ndogo kihivyo ni ya mtu ambaye amefikisha wastani wa B katika masomo yote wakati ile waliyoweka ya 3.5 ni ya mtu mwenye wastani wa B+
Nina wasiwasi na ww ndg juu ya uwezo wako wa kufikiri.. ..sas umejibu swal au umeleta mada nyingine hpo.. ....kwan kuna mtu hjui kwmba gpa y 3 ni kubwa ??

Ishu kma walitambua ni kubwa kwann waliweka 3.5. . Wamepoteza malengo ya watanzania wengi kwa kukurupuka kwnye maamuzi yao.

Angalia wadogo zetu form six wamepotezewa malengo yao kutokana na siasa za watu wchache ktk elimu yetu yaani mtu amekerwa na mke au mme wake hsira zake zinaishia kwa watanzania

But binafsi kwa majibu hyo ni ishu ya biashara wameona vyuo vyao vimebaki wazi so wanataka kuvijaza.. ...hvi vilio vya watanzania wasio na htia ktk nchi yao Mungu atalipa.



Asante.
 
Hakika swali juu ya kubadilika kwa vigezo vya kujiunga chuo kikuu baada ya ma badiliko ya kutoka GPA ya 3.5 hadi 3.0 limenifanya niwe makini sana kujua majibu ya serikali.

Lakini majibu ni kwamba waliweka GPA ya 3.5 kutokana na ufaulu kuwa mkubwa lakin baada ya kuwakosa wakaona washushe vigezo hadi 3.0.

Swali langu..
Hapa swala ni ubora wa elimu au idadi ya wanafunzi wanaotakiwa vyuoni?

Na kwa sababu watu walisha kata tamaa na wakajikuta hata pesa walizojiandaa kwa ajili ya masomo walishafanyia mambo mengine, je ni lini sasa serikali itaacha kuleta mikanganyiko ya aina hii kwa watu wake?
Mkuu huu ni utaratibu mpya au wameshusha tu kwa sasa ili wapate wanafunzi kwenye hivo vyuo?
 
Mkuu huu ni utaratibu mpya au wameshusha tu kwa sasa ili wapate wanafunzi kwenye hivo vyuo?
Nimeshindwa kujua kama ndo utakuwa utaratibu mpya au ni kwa mwaka huu tu na baadae wataendelea na utaratibu wa awali..
1474018796941.jpg
 
Wonder's shall never end...wanasema GPA za 3:5 wakati wanafunz wenye huo ufaulu hakuna ...Tz bado Sana kwenye decision making
 
Yani siwaelewi wanatangaza second round lakini hapohapo hawajatoa first selection ya waliochagua degree, jamani hivi hawana washauri??
Yan washanifanya mtumwa mda wrote npo katika net na pesa ndo hivyo dah inaboa
 
Yani siwaelewi wanatangaza second round lakini hapohapo hawajatoa first selection ya waliochagua degree, jamani hivi hawana washauri??
Yan washanifanya mtumwa mda wrote npo katika net na pesa ndo hivyo dah inaboa
Vumilia tu mkuu hii ndio #tanzagiza_yetu
 
Nina wasiwasi na ww ndg juu ya uwezo wako wa kufikiri.. ..sas umejibu swal au umeleta mada nyingine hpo.. ....kwan kuna mtu hjui kwmba gpa y 3 ni kubwa ??

Ishu kma walitambua ni kubwa kwann waliweka 3.5. . Wamepoteza malengo ya watanzania wengi kwa kukurupuka kwnye maamuzi yao.

Angalia wadogo zetu form six wamepotezewa malengo yao kutokana na siasa za watu wchache ktk elimu yetu yaani mtu amekerwa na mke au mme wake hsira zake zinaishia kwa watanzania

But binafsi kwa majibu hyo ni ishu ya biashara wameona vyuo vyao vimebaki wazi so wanataka kuvijaza.. ...hvi vilio vya watanzania wasio na htia ktk nchi yao Mungu atalipa.



Asante.
Wamepoteza malengi kabisa mtu kapata three ya 14 alafu kasoma ECA kasoma masomo 5 yote kapata DEEEE na kaandikiwa principal zote izo leo amepata pont 3 ajaenda pia wa pcb pgm ndo wapo wengi wenye point 3
 
Hata washushe hivo viwango mpaka GPA 2.5 siapply tena, hela niliokuwa nimeandaa kusomea chuo nimefungulia biashara, hela yangu hawapati tena, maswala ya chuo sihitaji tena, baadae ukimaliza chuo unajikuta unakosa ajira tena na mtaji huna, TCU washawishini wengine Mimi hamnipati, Najua mmefanya hivo baada ya kuona vipato vyenu vimepungua na vyuo kukosa wanafunzi, poleni sana mazee, Mimi hapana, kuna ambao wapi huku mitaani hawajasoma na wanapiga pesa kama kawaida
 
Hii Serikali wanakurupuka sana... Walidhani GPA ya 3.5 kila chuo inapatikana kiurahisi... Kila mtu ana kichwa chake huwezi kuweka gpa ya 3.5 ni kubwa sana especialy kwa chuo kama IFM
 
Back
Top Bottom