Nina bamia nahofia labda siwaridhishi wanawake

Nina bamia nahofia labda siwaridhishi wanawake

uvumi huu ulioko huku ndo yamewaletea watu matatizo kwa sababu kibamia sifa yake kama huna matatizo unarudia hata mara kumi na unasugua sana na hukaa mda mrefu na demu anajiachia na hawazi kumia hata kwa mkao wowote tena atafurahi san tofauti wale wenye mzigo mkubwa sana anakuwa na stress kwamba leo ananitoa kizazi huyu
 
Tafuta mwenye size ndogo mwenzako hapo mtaendana sawa, hofu ondoa kabisa ndugu
 
nina miaka mitatu(3) sija sex....hata ivyo nina mashine ndongo...ivyo nakuwa naogopa niki sex na mschina naweza nisimlizishe...nifanyaje wadau...maana umri unaenda na nataman sana kuwa na GF...ila shida ndio hiyo.....naomba ushauli wenu tafadhari.....
That ideology is eating you up"
Unasakological problem " unasearch for being perfect".....you want to b perfectionist!!..... Kwan unafikir wote waliooa au wenye wanawake wanabungara??
 
We jamaa ufai unazani MUNGU ni mjinga kukuumba hivyo Kuna mwanamke special kwa ajili yako believe me.
MUNGU ni mwema.
Jiamini acha ushamba kuanzia sasa.
asante mkuu..ndio maana nikaomba ushauli wenu...
 
Unajishtukia bure tu,kuna wanawake wengine wanajishtukia kama wewe kwa kuwa na uke mdogo.
Tafuta mwanamke mwenye mbunye ndogo ili mwende sawa.
sasa nitamjuaje huyo mwanamke mwenye mbunye ndogo....???
 
Tatzo si bamia ila "Umejiaminisha kuwa una kibamia" pia hata ukiwa na kibamia pia unaweza "piga kazi" na "ukaeleweka tu"..

Kama hiyo '81 ni mwaka wako wa kuzaliwa bro.! Jitahidi uwahi maana umeshachelewa..!!
asante mkuu..91...ndio nimezaliwa...na natamani sana kuwa na GF...ila tatizo ndio hilo...
 
Alafu ushaiita bamia inakuwaje uiite mashine tena!? Mashine huwa inafanya kazi effectively bila kukosea. Ila kuna dawa mdogo wangu za kuongeza icho kibamia ila be ready incase of side effects....,
 
Unajishtukia bure tu,kuna wanawake wengine wanajishtukia kama wewe kwa kuwa na uke mdogo.
Tafuta mwanamke mwenye mbunye ndogo ili mwende sawa.
Atamjuaje sasa kama ana mbunye ndogo?!au kwa kumtazama tu usoni?!
 
Atamjuaje sasa kama ana mbunye ndogo?!au kwa kumtazama tu usoni?!
Kumtazama usoni huwezi gundua.
Utajua wakati wa kufanya tendo la ndoa,utamgunduaje?,atapiga makelele unamuumiza au utaona tu kitu kinabana.
 
Sex Shouldn't last for more than 25 mins
if she doesn't cum ,she can cum on her way home .
Dont kill urself my brothers.
 
Kuna demu Malaya tu wa hapa mtaa alishawahi kuniambia mboo yangu ndogo ila akanisifu eti ni mjuzi halafu nina nguvu... Nishakula na rafiki yake na washagombana..... Mm Naendelea kummega tu naona anakubali show
 
Back
Top Bottom