Recent content by Dragon eyes

  1. D

    Kwa walioko Dodoma tafadhali, natafuta kazi iwe ya stationary, dukani au Kiwandani

    Natafuta kazi iwe ya stationary ..dukani... Kiwandani.... Nina elimu ya CHUO ngazi ya diploma (Ed. Biology and geography) Mawasiliano;0752343038
  2. D

    Kwa walioko Dodoma tafadhali, natafuta kazi iwe ya stationary, dukani au Kiwandani

    Nimehitimu Diploma of Education in Biology and Geography. Nipo vyema katika ufundishaji. Mawasiliano: 0752343038
  3. D

    Nina shahada ya ualimu natafuta kazi

    Me nipo dodoma kaka 0752343038...tutaftane nimesoma lakin ajira amna
  4. D

    Kwa walioko Dodoma tafadhali, natafuta kazi iwe ya stationary, dukani au Kiwandani

    Ambayo naweza kuyamudu ....uwez kuomba Kaz sehemu ya mbali dhen ukaja kuwa shida kufika....
  5. D

    Kwa walioko Dodoma tafadhali, natafuta kazi iwe ya stationary, dukani au Kiwandani

    Natafuta kazi, nimehitimu Diploma ya Ualimu wa Sayansi, Biology na Geography. Napatikana Dodoma. Kwa mawasiliano namba yangu ni 0752 343 038.
  6. D

    Simulizi: Nilipanga nyumba moja na majini

    Unamoyo baba ingekua Mimi baada tyu ya kusikia maneno kitaani ningeondoka
  7. D

    Mambo haya yamekuwa yakinitokea sana Usiku wa manane..

    kunakua na majini au kundi la wachawi kwani wanakua na madawa na nguvu za ajabu hivyo mtu wa kawaida lazma usisimke
  8. D

    Movies, Movies , Series, vitabu, na Documentary

    Nikitaka unitumie WhatsApp movie na audio books inawezekana
  9. D

    Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

    The nun nyepesi hainitishi Ile nauangalia hata juu ya mbuyu saa 8 usiku ngoma drag me to hell hatariiiii
  10. D

    Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

    Mwogaaaaaa wewe hahayahah
  11. D

    Hii ni kwa wataalamu wa biology???

    Inabidi utafune msugusugu na mlimbombo alafu na kucha za nyoka pamoja na jasho la bundi unaweza kupata
Back
Top Bottom