Kwa uzoefu,wanawake ni headache japo naona wanajitutumua kujitetea ila vichwa vyao vinapenda kuwaza vya kusadikika.
Japo wanaume nasi ni pasua kichwa ila kinamana ni fumua kichwa kwani duh!
Hawa maprofesa wetu wakienda nchi za wenzetu watapewa kazi za kufagia barabara tu kwani nahisi uwezo wao wa kufikiri ni finyu sana.
Yeye ameangalia kigezo cha "NOTI KUCHAKAA HARAKA"bila kujali kigezo cha "KUISHUSHA THAMANI SHILINGI"na "KUZIDI KUPOROMOSHA UCHUMI WA NCHI"
Hopeless kabisa!!
South Africa inapokuja suala la majeshi,kuna chombo kinaitwa SANDU(South Africa National Defence Union) ambacho ndicho kimewasaidia hao Askari Jeshi wanne!
Ni kweli inauma sana!!
Ila ni kada ya viongozi gani ambao ni mizigo kwa tatizo kama hilo?Sitegemei ukaniambia mkuu wa trafiki(RTO),mbunge,waziri,ama raisi katika hili!!
Tatizo si weledi wala utashi,majeshi ni cohhesive apparatus ambayo wakati mwingine hufanya maamuzi magumu kuhakikisha wanailinda amani na usalama uliopo.Let us not judge kana kwamba tayari tumekwisha jua ukweli uko wapi!!Kesho patakucha na kila kitu kitakuwa wazi!!Patient,calm down amigos!!
Mimi nimekataa!!Hizi picha ni bankuch-bankav.Siamini moja kwa moja kwamba the captain,choir master,mh.John Komba a.k.k.a kipipa Ayubu anaweza kuwaita maparazi mpaka chumbani wapigwe picha za namna hii!
1.Watazame vizuri kwenye hiyo picha,ni kana kwamba kuna mtu mbele yao anawaambie"enhee,hapo...
Yawezekana wajumbe wengine toka CDM na vyama vingine vya upinzani walipata wasaa wa kwenda kumuona marehem wakati yu mgonjwa hospitalini sema tu,hawakuwa na mapaparazi wa kuwanadi kwenye vyombo vya habari;ama yawezekana ni kinyume chake!!
Tusubiri Mh.Zitto mwenyewe aweke comment juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.