Recent content by Dr.Mo

  1. Dr.Mo

    Hivi kwanini watu wengi wenye akili nyingi (genious)siyo waongeaji/huwa hawajui kujieleza?

    Google INTJ personality usome maelezo kwaumakini utajijua wewe ni mtu wa aina gani. Ndo maana huwezikuchangia huu ujinga ujinga wa kwenye mitandao maana unatazama mambo kwa uwezo na angle tofauti sana ukilinganisha na watu wengine wa kawaida.
  2. Dr.Mo

    Hivi kwanini watu wengi wenye akili nyingi (genious)siyo waongeaji/huwa hawajui kujieleza?

    Wabongo ujuaji mwingii.halafu patupu kabisa Mkuu google 1.INTJ personality 2.Famous people who wereINTJs Utapata jibu, achana na majibu ya kisasa na kijuaji ya wabongo hapa jf.
  3. Dr.Mo

    Serikali yapiga marufuku matangazo ya tiba za asili na tiba mbadala

    Watanzania sijui tuna shida gani kufikiri. Yaani watu waendelee kuchezea afya zawatu kisa ajira za shigongo. Huuujinga unaudhi sana
  4. Dr.Mo

    Nahisi nina IQ kubwa

    wabongo bwana kwa ujuaji. Inawezekana dogo una. Ufahamu mkubwa. Na una INTJ personality ambayo wanakua nayo watu wakimya na wenye akili sana.. Google INTJ personality utaelewa zaidi.
  5. Dr.Mo

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Mpumbavu na lofa si mimi. Mpumbavu na lofa ni wewe unaesota hapo bongo kwenye lindi la umaskini huku ukishangalia watu wakipiga hela za wananchi .. Watanzania tuna safari ndefu..
  6. Dr.Mo

    Kikwete is a nice president ever: Kaibuliwa na Mh. Lowassa na katiba mpya

    Kikwete ni mtu wa kujikosha kosha. Ndo maana kagame akamwambia huna tofauti na nkurunzunza au kabila. Sema yeye anafanya kinafki tu
  7. Dr.Mo

    Mbatia: Hauwezi ukafuta uchaguzi wa Zanzibar ukaacha uchaguzi wa Jamhuri ya muungano

    Mimi tanzania nliondoka siku nyingi mno. Nashangaa tu maskini wanavyoshabikia ujinga wa kina january. Huku wanaishi maisha ya tabu.
  8. Dr.Mo

    Maalim Seif akataa maamuzi ya ZEC, atoa tamko zito

    Unajua wakati mwingine sipendi ku-argue kwasababu naonaga ni ujinga ujinga tu kutoka watu wa ccm. Hasa wanapokimbiliaga mambo mawili-kutii mamlaka na neno amani- mimi nakumbuka siku ya kwanza NEC imetangaza majimbo kumi lakini januari katweet ccm imeshinda majimbo 176. Kwa hiyo january yeye...
  9. Dr.Mo

    Edward Lowassa aongea na vyombo vya habari, Amesema hatokubali matokeo ya uchaguzi mkuu

    NEC waache kuwasikiliza akina january. Waachane na huo uchakachuaji wa kijinga kabisa ambo hata mtoto mdogo anaona.!
  10. Dr.Mo

    Jaji lubuva Chondechonde na matokeo ya rais wa JMT!

    Naona kula kulala wanavyoweweseka. Mimi huwa nawaambia tafuteni kazi za halali mlipe kodi ka watu wengine. ccm itafika mwisho kama huko zanzibar ilipofika mwisho watu hawamini. Huu ulaji ipo siku utakatika.!
  11. Dr.Mo

    Stop Order mchakato wa uchaguzi wote Tanzania na Court intepretation

    Huu ushabiki wa kijinga jinga huu. unafanya ccm waonekane ka mazuzu. mihemko imezidi mno.!
  12. Dr.Mo

    Maalim Seif akataa maamuzi ya ZEC, atoa tamko zito

    Sisi kila siku tunapiga kelele hapa hamtuelewi. Mimi nasema hata kama ni siasa au kuiba, au ulazimishe kijanja basi lakini hii ya wazi kabisa inaudhi na kuleta hasira. Kama bara kwa hali ya kisiasa ilivyokuwa. Ule mchongo wa makamba na tume kutangaza kila jimbo magufuli kashinda kwa asilimia...
  13. Dr.Mo

    Hivi Dr. Omar Ali Juma alifariki 2005?

    Mkuu nlimuona makamba akiongea nikasema duh, hata kama ni siasa hii imepitiliza
  14. Dr.Mo

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Wapiga kura zipi mbona mnakua ka mna vinyesi vichwani.!!?
  15. Dr.Mo

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Poleni sana. Nchi inaondoka hiyo. Kama mlizoea kula bure kupitia ccm ulaji utakatika soon. Eti unajenga taifa naamini asilimia 95 ya vijana wanaishabikia ccm ni kula kulala na watu wa kujipendekeza.
Back
Top Bottom