Hivi Dr. Omar Ali Juma alifariki 2005?

Hivi Dr. Omar Ali Juma alifariki 2005?

wazanzibar wamepga kura 5 lkn sasa hv kura 4 kati
ya 5 zimekuwa batili na kura 1 tu ya Urais wa
Jamhuri imekuwa halali? Kura zimepgwa na mtu 1,
kituo ki1, kitambulisho 1 na mda m1 hlf 4 ziwe feki
na 1 iwe halali? ONLY POSSIBLE IN TANZANIA
Mkuu nlimuona makamba akiongea nikasema duh, hata kama ni siasa hii imepitiliza
 
wazanzibar wamepga kura 5 lkn sasa hv kura 4 kati
ya 5 zimekuwa batili na kura 1 tu ya Urais wa
Jamhuri imekuwa halali? Kura zimepgwa na mtu 1,
kituo ki1, kitambulisho 1 na mda m1 hlf 4 ziwe feki
na 1 iwe halali? ONLY POSSIBLE IN TANZANIA

Watu wa bara kama wewe hawapigi kura tano. wanapiga 2 za raisi na wabunge wa jamhuri. Hawa nao kura zao zifutwe ?
 
Ni kweli hata mimi nakumbuka jana yake alikua sabasaba nadhani ni kati ya tarehe 3-6 july 2001...

Mi nakumbuka nilikua namshawasha wa saba saba kipindi hicho bila mzee kutupa hela ya sabasaba nanuuunaa....utoto raha
 
dah kweli uchaguzi wa Tanzania inabidi wauingize kwenye moja ya maajabu ya dunia
 
Mi nakumbuka 2001..july....nilikua form one...kilikua ni msimu wa saba saba ...lol
tofali unakumbukumbu sana wewe binti,alikuwa ametoka kuangalia mabanda ya maonyesho sabasaba ndio maccm yakafanya yao yakampumzisha
 
Kama ntakuwa sijakosea, Lubuva nimemsikia akisema Dr. Omar ali Juma alifariki 2005. Hivi ni kweli, sio wakati ule wa rais mkapa?
Inawezekana ulimi unamteleza tu Jaji Lubuva...Aliyekufa mwaka 2005 ni Mgombea mwenza wa Mgombea Urais wa CHADEMA wakati huo Freeman Aikael Mbowe....Na ulimi kuteleza hakubadilishi ukweli/dhana aliyoizungumza Jaji Lubuva

Kifo cha mgombea mwenza huyo kilipelekea kuahirishwa kwa uchaguzi wa Rais Wa JMT lakini Urais wa Zanzibar uliendelea kama kawa...
 
Mi nakumbuka 2001..july....nilikua form one...kilikua ni msimu wa saba saba ...lol

Hapo ulikuwa na miaka 14 au 15, ukijumlisha 14 mingine kwa sasa utakuwa na miaka 28/29.
 
Wakuu hapa JF ni kama jungu kuu hivyo haliwezi kosa ukoko.

Naombeni mnijuze nini kilimkuta Makamu wa Rais Omary Ali Juma mpaka kupelekea kifo chake?

Na kwanini hatajwi katika vitabu vya kumbukumbu wala historia? Ina maana hamna mazuri aliyofanya?

Karibuni kwa mjadala.
 
Back
Top Bottom