Bro inawezekana unataka kutupa kitu KIMOJA cha maana sana👏👏👏👏
Tatizo umechanganya madesa hadi sijaelewa nini umekusudia mkuu.
Hebu andika paragraph moja na kile cha MSINGI unachotaka kusema 🙏
Umeandika vizuri mno.
My note.
Wazungu/Wamarekani wenzetu walishaondokana na hizi shida za kula,kulala na kivas. Pili ukifuatilia kwa ukaribu hayo unayoyaona yanafanyika MAREKANI kuna sisi(WAAFRIKA) wengi vichwa haswaaaaa sema hatutajwi? mfano highly paid robotic engineer wa dunia hii is...
Hii umeongelea kufanya mambo yasiyo ya SIRI ambayo yanamfaidisha moja kwa moja anayekufanyia. HAPA tunaongelea yale yanayokuhusu wewe binafsi na kukutoa hatua moja kwenda nyingine kimaisha sio issue za KUSHIBA, KUFIKA SOKONI, KUPONA MALARIA e.t.c 😂
Nianza kutumia iPhone 2010 sikurudi nyuma na kuamini Android hakuna kitu. 2019 nililazimika kutumia android baada ya kung'ang'anizwa nimpe apple[emoji6][emoji6]. Tangu hapo nikaanza kuidharau apple baada ya kuitest ANDROID after 9 years.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.