Kama chama chenu fukuzen wabara au tujitenge , tena ninyi Wapwan ndo mnaturudisha nyuma kimaendeleo Kwanza wavivu, pili mnataka kula vya bure wapuuzi ninyi , Nendeni huko na little chama lenu kila mpwani akikamata nchi inayumba Nendeni huko mahayawani nyie
Ukipewa nafasi fanya kwa masirahi mapana kwa hyo wewe alitaka awaache hao mafisadi? tena hilo lichama linaenda kumalizikia tena ngoja muone badala ya kumshukuru Magufuli, Bashiru na Polepole mnawadharau hili lichama mnaenda kulizika rasimi , yaani mzee wa Twiga Qatar mnamrudisha saaaaawaa
Mkuu umeongea Ukweli mtupu ila inategemea na mtu, Kana mtu Kama mkapa, Magufuli, mbowe, Malim seif, Nyerere, Salim A Salim, sio mfano wa watu Kama Hangaya , kikwete ni kupoteza muda tyuu Bora kila mwaka mbadili
Nikiwa nawaeleza watu hili suala huwa hawanielewi, lakin ndo Ukweli suala la kufundishia kiswahili hadi chuo kikuu tulichelewa Sana haliwezi, kutimia , Nimezunguka SA, Kenya, Uganda, Zambia kiukweli Kama hujui kingereza utapata tabu Sana kuhudumiwa , wakenya wapo vizur Sana kiswahili wanajua na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.