kisheria hana kosa lolote na akikamatwa au kufungwa ni kukosa weledi wa kazi, ila kiubinadamu kakosea, mtu hawezi kufungwa kwa kukosa kusymphatize na mtu mwengine aliye matatizoni. ni sawa na mtu kukataa kumsaidia mtu ombaomba ambaye ajala siku nzima alafu atokee mtu aseme ufungwe kwa kukataa...
Rushwa ndio tatizo kubwa Bongo, ndio maana we never progress. Sio kila mtu ana uwezo wa kuhonga pesa kwa sababu moja au nyingine, kupitia rushwa vijana wengine wa kitanzania wamekosa fursa nyingi ndani na nje ya nchi ambazo zingeweza kuja inua uchumi wa taifa lao. Hakuna watu wanaonikwaza kama...
mimi ni mgeni in JF, but ninachoweza shauri ni kuwa its always had to break love attachments, huyo mtoto mtakuja msumbua kisaikolojia huko mbele, so think about this too. its not about you parents, its about the child.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.