Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania

Ukimya ni mbaya saana. Nilimgundua huyu jamaa.
Ukitaka kujua ni mpigaji
Tafuta hizi Id
1. Britanicca
2. DR RWEYENDERA
3. Katelelo
Tena utakuta sehemu Katelelo anamsifu britanicca saana.

Baadae DR.RWEYENDERA anaanzisha uzi anampa pasi Britanicca britanicca anarudisha pasi kwa Katelelo halafu britanicca akamaliza mchezo. Kapiga zaidi ya usd 670
Aiseee...

Huyu jamaa huwezi dhania kule mwanzoni anavyoelezea na kuonya watu wasipende vya kuunganishiwa!
 
Sijawai kuchangiaga mada hizi ila naona Watanganyika mnataka kumkimbia mama Tanzania (kwa sauti ya Mbatia) Ok si vibaya nikawamba mbinu nyepesi sana ya kufanikisha ndoto zenu coz naona wengi mnatamani kuja au kwenda Ulaya na US lakini njia mnayotumia ni ndefu na ambayo ni ngumu kwa sasa hv kwani siasa za sasa ni siasa za utengano na kufunga mipaka dhidi ya wageni

Ok njia ya kwanza ni kuingia nchi ya Malta ,Malta ndio nchi inayomkaribisha mgeni yeyote na yenye sheria nyepesi sana za uhamiaji kwa wananchi wanaotoka nchi za Commonwealth ( British colonisation)

So ukishafika Malta ukiweza kukaa ndani ya Malta ndani ya mwaka mmoja bila ya kufanya jinai huna haki ya kuomba uraia so kama utakuwa umekwenda kusoma , kufanya kazi, kutembea au kwenda kufanya kazi ya kujitolea (kazi za bila ya malipo)

Ukishapata uraia wa Malta unakuwa na uwezo wa kwenda kufanya kazi nchi yeyote ya Ulaya kwani Malta ni nchi iliyo kwenye jumuhiya ya Ulaya

So kama unabahati unaweza kupata lakini nchi nying za ulaya au nchi za dunia ya kwanza kupata kazi kwa elimu uliyosomea Africa ni ngumu sana mpaka usome kwao ndio wanakuamini

Owk kama utakuwa uko vizuri kiafya unaweza kwenda Jeshini ,nchi nyingi za ulaya zinachukua raia wa nchi za ulaya kama wanajeshi au kama umetoka nje ya jumuhiya ya ulaya ni lazima upate parmanent resident kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kwa nyinyi mnaokuja huku kiujanja janja

Nchi zinazochukua raia wa nchi nyingine kwenye majeshi yao nitakuja na list yao muda si mrefu
lakini ni nchi ambazo zipo kwenye kundi la A list duniani zikiwamo nchi zote za Scandinavian

Ushaingia jeshini ,majeshi mengi ya Ulaya wanapaga watu ambao si raia wa nchi hyo mkataba miaka mitano mitano ndani ya hyo miaka mitano unaruhusiwa kusoma chochote utakachopenda gharama ni za jeshi so utachagua cha kusoma kama umetoka bongo na ka degree chako utasoma masters kama umetoka manyoya utatafuta cha kusoma ndani ya miaka mitano ni mingi sana na unapata faida mbili moja kulipwa mshahara ,huduma za Afya na uhakika wa kupata uraia kama utaitaji

So ukimaliza miaka mitano tu usiongeze tena mkataba ongeza tena kama umeipenda kazi ya jeshi so kama umeona ni manyoya unaiacha so unalipwa mafao yako na unakwenda kuomba uraia na unapata hata bila ya kufanya mtihani wa kuomba uraia na hii kuna nchi hawataki uraia pacha kama Germany au Norway so kama nchi hawataki uraia pacha basi unachagua mmoja ukishamaliza kupata uraia wa nchi hyo uliyoichagua ww from there unatafuta kazi kwa vyeti ulivyosomea jeshini na tena wakijua ulikuwa mwanajeshi wanakuheshimu sana kwani unaonekana umejitoa kwa nchi so unapata kazi na maisha yanaendelea ndani ya miaka 6 tu mission inakuwa imekwisha ukipita Airport ukionyesha gamba la mzungu unapita tu hupekuliwi pekuliwi kama mwenye passport ya Bongo

Kuna thread aliweka Dumelang ile ndio njia nyepesi sana lakini watu wameikimbia pale unatafuta mtu wa kuja kumfanyia kazi ya kujitolea mwaka mmoja tu ndani ya Malta bhasi
Maelezo mazuri sana asante
 
Sijawai kuchangiaga mada hizi ila naona Watanganyika mnataka kumkimbia mama Tanzania (kwa sauti ya Mbatia) Ok si vibaya nikawamba mbinu nyepesi sana ya kufanikisha ndoto zenu coz naona wengi mnatamani kuja au kwenda Ulaya na US lakini njia mnayotumia ni ndefu na ambayo ni ngumu kwa sasa hv kwani siasa za sasa ni siasa za utengano na kufunga mipaka dhidi ya wageni

Ok njia ya kwanza ni kuingia nchi ya Malta ,Malta ndio nchi inayomkaribisha mgeni yeyote na yenye sheria nyepesi sana za uhamiaji kwa wananchi wanaotoka nchi za Commonwealth ( British colonisation)

So ukishafika Malta ukiweza kukaa ndani ya Malta ndani ya mwaka mmoja bila ya kufanya jinai huna haki ya kuomba uraia so kama utakuwa umekwenda kusoma , kufanya kazi, kutembea au kwenda kufanya kazi ya kujitolea (kazi za bila ya malipo)

Ukishapata uraia wa Malta unakuwa na uwezo wa kwenda kufanya kazi nchi yeyote ya Ulaya kwani Malta ni nchi iliyo kwenye jumuhiya ya Ulaya

So kama unabahati unaweza kupata lakini nchi nying za ulaya au nchi za dunia ya kwanza kupata kazi kwa elimu uliyosomea Africa ni ngumu sana mpaka usome kwao ndio wanakuamini

Owk kama utakuwa uko vizuri kiafya unaweza kwenda Jeshini ,nchi nyingi za ulaya zinachukua raia wa nchi za ulaya kama wanajeshi au kama umetoka nje ya jumuhiya ya ulaya ni lazima upate parmanent resident kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kwa nyinyi mnaokuja huku kiujanja janja

Nchi zinazochukua raia wa nchi nyingine kwenye majeshi yao nitakuja na list yao muda si mrefu
lakini ni nchi ambazo zipo kwenye kundi la A list duniani zikiwamo nchi zote za Scandinavian

Ushaingia jeshini ,majeshi mengi ya Ulaya wanapaga watu ambao si raia wa nchi hyo mkataba miaka mitano mitano ndani ya hyo miaka mitano unaruhusiwa kusoma chochote utakachopenda gharama ni za jeshi so utachagua cha kusoma kama umetoka bongo na ka degree chako utasoma masters kama umetoka manyoya utatafuta cha kusoma ndani ya miaka mitano ni mingi sana na unapata faida mbili moja kulipwa mshahara ,huduma za Afya na uhakika wa kupata uraia kama utaitaji

So ukimaliza miaka mitano tu usiongeze tena mkataba ongeza tena kama umeipenda kazi ya jeshi so kama umeona ni manyoya unaiacha so unalipwa mafao yako na unakwenda kuomba uraia na unapata hata bila ya kufanya mtihani wa kuomba uraia na hii kuna nchi hawataki uraia pacha kama Germany au Norway so kama nchi hawataki uraia pacha basi unachagua mmoja ukishamaliza kupata uraia wa nchi hyo uliyoichagua ww from there unatafuta kazi kwa vyeti ulivyosomea jeshini na tena wakijua ulikuwa mwanajeshi wanakuheshimu sana kwani unaonekana umejitoa kwa nchi so unapata kazi na maisha yanaendelea ndani ya miaka 6 tu mission inakuwa imekwisha ukipita Airport ukionyesha gamba la mzungu unapita tu hupekuliwi pekuliwi kama mwenye passport ya Bongo

Kuna thread aliweka Dumelang ile ndio njia nyepesi sana lakini watu wameikimbia pale unatafuta mtu wa kuja kumfanyia kazi ya kujitolea mwaka mmoja tu ndani ya Malta bhasi

Lakini leo kumambia sijui mnapanga kuondoka kwenda nchi ambayo huna mwenyeji naona mnacheza nyinyi na mnadanganyana Ulaya na US ya sasa si kama ya zamani utaishia jela au kufa pia sidhani kama eti mtu anayetaka kuwasaidia mwezie na yeye anataka kwenda huko huko unaweza kusaidia hiyo ndo blueprint na njia nyepesi kabsa ndani ya miaka 6 tu umefanikisha mwaka mmoja Malta miaka 5 jeshini mwka wa sita umapassport ya mzungu

Na hii ni kwa wanawake na wanaume sehemu pekee ni kufika Malta tu mwaka mmoja tatizo nililogundua Waafrica wengi akili yetu tunawaza ulaya tena zile nchi tajiri tu lakini mmeshindwa kujua dunia nzima wanawaza hvyo hvyo njia hii ya malta bado wengi hawajajua nendeni kwenye thread ya Dumelang then tafuta mtu wa malta kafanye kazi ya kujitolea kwa mwaka mmoja kwanza unapata pa kukaa kula na mwenyeji lakini kwenda sehemu kwa mipango mipango mtakuwa mnadanganyana tu
Ushauri mzuri
 
Kinachoendelea watu wanataka kwenda mbele wengine kufanya kazi, wengine kusoma, wengine kushangaaa. Sasa akajitokeza kubwa la maadui anaitwa britanicca akaanzisha uzi na kueleza kila kitu kama ulivyoona pale nyuma.

Wenye uhitaji wakaona sio vibaya waunge kwa jamaa. Kumbe jamaa mpigaji yupo tandale kwa tumbo.

Baada ya hapo ndiyo kelele za kuibiwa za wana jamaa katokomea kaikacha I'd yake mpaka leo wana wanasubiri. Ila bado wana hawajakata tamaa wanasema hata itokee nini lazima waende mbele.
Kinachoendelea watu wanataka kwenda mbele wengine kufanya kazi, wengine kusoma, wengine kushangaaa. Sasa akajitokeza kubwa la maadui anaitwa britanicca akaanzisha uzi na kueleza kila kitu kama ulivyoona pale nyuma.

Wenye uhitaji wakaona sio vibaya waunge kwa jamaa. Kumbe jamaa mpigaji yupo tandale kwa tumbo.

Baada ya hapo ndiyo kelele za kuibiwa za wana jamaa katokomea kaikacha I'd yake mpaka leo wana wanasubiri. Ila bado wana hawajakata tamaa wanasema hata itokee nini lazima waende mbele.
Aisee leo ndio nimerudi kwenye huu uzi baada ya mawiki mengi kupita,kumbe kuna watu walilizwa humu. Nakumbuka watu walionya sana humu,na kuna member alipinga maelezo ya brittani,na majibu yake yalikuwa kama ya mtu anayetafuta sympathy,nikahisi hatari mbeleni
 
Sijawai kuchangiaga mada hizi ila naona Watanganyika mnataka kumkimbia mama Tanzania (kwa sauti ya Mbatia) Ok si vibaya nikawamba mbinu nyepesi sana ya kufanikisha ndoto zenu coz naona wengi mnatamani kuja au kwenda Ulaya na US lakini njia mnayotumia ni ndefu na ambayo ni ngumu kwa sasa hv kwani siasa za sasa ni siasa za utengano na kufunga mipaka dhidi ya wageni

Ok njia ya kwanza ni kuingia nchi ya Malta ,Malta ndio nchi inayomkaribisha mgeni yeyote na yenye sheria nyepesi sana za uhamiaji kwa wananchi wanaotoka nchi za Commonwealth ( British colonisation)

So ukishafika Malta ukiweza kukaa ndani ya Malta ndani ya mwaka mmoja bila ya kufanya jinai huna haki ya kuomba uraia so kama utakuwa umekwenda kusoma , kufanya kazi, kutembea au kwenda kufanya kazi ya kujitolea (kazi za bila ya malipo)

Ukishapata uraia wa Malta unakuwa na uwezo wa kwenda kufanya kazi nchi yeyote ya Ulaya kwani Malta ni nchi iliyo kwenye jumuhiya ya Ulaya

So kama unabahati unaweza kupata lakini nchi nying za ulaya au nchi za dunia ya kwanza kupata kazi kwa elimu uliyosomea Africa ni ngumu sana mpaka usome kwao ndio wanakuamini

Owk kama utakuwa uko vizuri kiafya unaweza kwenda Jeshini ,nchi nyingi za ulaya zinachukua raia wa nchi za ulaya kama wanajeshi au kama umetoka nje ya jumuhiya ya ulaya ni lazima upate parmanent resident kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kwa nyinyi mnaokuja huku kiujanja janja

Nchi zinazochukua raia wa nchi nyingine kwenye majeshi yao nitakuja na list yao muda si mrefu
lakini ni nchi ambazo zipo kwenye kundi la A list duniani zikiwamo nchi zote za Scandinavian

Ushaingia jeshini ,majeshi mengi ya Ulaya wanapaga watu ambao si raia wa nchi hyo mkataba miaka mitano mitano ndani ya hyo miaka mitano unaruhusiwa kusoma chochote utakachopenda gharama ni za jeshi so utachagua cha kusoma kama umetoka bongo na ka degree chako utasoma masters kama umetoka manyoya utatafuta cha kusoma ndani ya miaka mitano ni mingi sana na unapata faida mbili moja kulipwa mshahara ,huduma za Afya na uhakika wa kupata uraia kama utaitaji

So ukimaliza miaka mitano tu usiongeze tena mkataba ongeza tena kama umeipenda kazi ya jeshi so kama umeona ni manyoya unaiacha so unalipwa mafao yako na unakwenda kuomba uraia na unapata hata bila ya kufanya mtihani wa kuomba uraia na hii kuna nchi hawataki uraia pacha kama Germany au Norway so kama nchi hawataki uraia pacha basi unachagua mmoja ukishamaliza kupata uraia wa nchi hyo uliyoichagua ww from there unatafuta kazi kwa vyeti ulivyosomea jeshini na tena wakijua ulikuwa mwanajeshi wanakuheshimu sana kwani unaonekana umejitoa kwa nchi so unapata kazi na maisha yanaendelea ndani ya miaka 6 tu mission inakuwa imekwisha ukipita Airport ukionyesha gamba la mzungu unapita tu hupekuliwi pekuliwi kama mwenye passport ya Bongo

Kuna thread aliweka Dumelang ile ndio njia nyepesi sana lakini watu wameikimbia pale unatafuta mtu wa kuja kumfanyia kazi ya kujitolea mwaka mmoja tu ndani ya Malta bhasi

Lakini leo kunambia sijui mnapanga kuondoka kwenda nchi ambayo huna mwenyeji naona mnacheza nyinyi na mnadanganyana Ulaya na US ya sasa si kama ya zamani utaishia jela au kufa tena na balozi zenu zilivyo ngumu kwa raia wake utakoma na kujuta kuja tena mkuu wenu amesema muachwe tu ,pia sidhani kama eti mtu anayetaka kuwasaidia mwenzie na yeye anataka kwenda huko huko unaweza kusaidia vipi hapo zaidi ya kudanganyana ?hiyo ndo blueprint na njia nyepesi kabsa ndani ya miaka 6 tu umefanikisha mwaka mmoja Malta miaka 5 jeshini mwaka wa sita unapassport ya mzungu

Na hii ni kwa wanawake na wanaume sehemu pekee ni kufika Malta tu mwaka mmoja tatizo nililogundua Waafrica wengi akili yetu tunawaza ulaya tena zile nchi tajiri tu lakini mmeshindwa kujua dunia nzima wanawaza hvyo hvyo njia hii ya malta bado wengi hawajajua nendeni kwenye thread ya Dumelang then tafuta mtu wa malta kafanye kazi ya kujitolea kwa mwaka mmoja kwanza unapata pa kukaa kula na mwenyeji lakini kwenda sehemu kwa mipango mipango mtakuwa mnadanganyana tu wanawake hasa wa Tanganyika wamekuwa wanaogapa sana kuchukua maamuzi ya kuondoka lakini nataka kuwambia tena wanawake ndio njia nyepesi sana kwani wazungu wanawaheshimu sana wanawake cha kwanza kwa heshima kwa wazungu
1 Wanawake
2 Mbwa au wanyama
3 Mwanaume
So kwa dada zangu kwa njia hii ya Jeshi ni bora sana kwao tena sana naongea hv kwa kujua ninachosema
Mkuu umefafanua vizuri hadi nimependa
 
Habari wananchi na wasio wananchi lakin mko Tanzania,

Kwa makusudi nimeamua kuanzisha thread hii iwape mwongozo vijana wanaosaka ajira Nje ya Tanzania na Nje ya Africa kwa ujimla,

Ili upate ajira nchi yoyote au fursa zingatia yafuatayo kabla hujakurupuka kwenda uko,
1. GDP na money circulation katika nchi husika na mzunguko Wa fedha ,
Hapa patakusaidia kujua je uko uendako uwezekano Wa kupata ajira itakayokulipa vema upo?

2. Employment and un employment rate,
Hii itakusaidia kujua kama huendi kuzurula na bahasha kwa muda mrefu bila mafanikio. Hii itakupa mwanga kama uende au lah,

3. Life expenses and earnings , hii pia itakupa mwanga kujua kama utakachopata kama ujira na ukatumia , utaweza kubakiza kuja kuwekeza kwenu?
Mfano
A. Gharama ya bed spaces au vyumba vya kupanga
B. Usafiri
C. Chakula
D. Matumizi mengine

Watu wengi hupata sifa kuwa anaish ulaya wakati anachopata akilipa matumizi anazidiwa na MTU anayeish Tanzania, na akija likizo anawakimbia aliowaacha maana kimaendeleo wanakuwa mbali,

4. Employment policy for foreigners,
Hapo chunguza , yafuatayo
A. Kodi ya wageni kufanya Kazi katika nchi hiyo
B. Mishahara ya wageni
C. Muda Wa kupata working permit kwa wageni na gharama Zake kwa mwaka,
D. Mikataba kwa wageni,

5. Gharama za kufika nchi husika na gharama za kuishi wakati ukisaka ajira, ni muhimu kujua gharama husika za kusafiri na kuishi,

6. Aina ya Visa unayohitaji kwenda nchi hiyo,

Wengi huwa na visiting visa, MUHIMU VISA IWE MIEZ MITATU NA ZAID NDO UTAFANIKIWA , ya mwezi mmoja haitasaidia labda urudi na uende upya, inaweza kukuchukua miez 4 kupata Kazi, yaan visa ikaisha ukarudi au ukafanya RUN VISA SYSTEM,

7. Epuka kuwa na one way ticket , utarudishiwa uwanja Wa ndege maana wanataka wajue ni lini utarudi kwenu , japo zipo airports ambazo hawasumbui kuwa na one way or onward ticket, kama vile Kuala Lumpur. Changi Singapore, bole Ethiopia, Kathmandu's Nepal, alander Sweden, lakin ili kujiweka Vema kuwa na outbound tickets,

8. Epuka ma agents Wa online, jiandae ufike eneo husika , usiwaamini ma agents Wa online watakula hela yako na utaishia kulia tu. Hasa ma agent Wa Dubai na uarabuni wengi ni wanaigeria wahuni sana, USHAURI chukua visa yako, ticket yako pata utakapofikia , saka ajira Mwenyewe zipo sana na inahitaji uvumilivu kama miezi mitatu, japo kuna wanaopata ndani ya wiki moja,

9. UBAGUZI
Haikwepeki muafrica dunian huwa anabaguliwa ila cha muhimu ni kuchagua sehem nzuri ya ubaguzi Wa kawaida, napendelea MTU kama anaenda asiende Urusi, India , Nepal, German , Spain, huko ubaguzi ni Nje Nje, ambao hauvumiliki. Hata Kazi kupata ni ngumu sana,

10. Maeneo hatarishi
A.Nepal, sri Lanka, na Bangladesh wanatoa kafara watu wehusi
B. India hasa Mumbai wanaua waafrica
C. Syria,turkey,ukraine kuna mapigano makali huwez pata kazi


11. Maeneo mazuri kufanya Kazi
A. Malaysia
B. Sweden
C. USA, earnings ni kubwa
D. Denmark
E. Estonia
F. Singapore
G. New Zealand
H. Australia
I. Canada, hapa visa yake ngumu kupata
J. Finland ila mshahara Mdogo
K. Japan
L. Norway
M. Luxembourg
N. Botswana
O. Seychelles
P. England japo ngumu kupata Kazi

12. MWISHO NA MUHIMU set mind set yako kupata Kazi yeyote, andaa CV za Kazi mbali mbali, yaan CV tofauti tofauti kama tano, yaan hata za kudanganya ila uhakikishe unakuwa na kumbu kumbu ya ni CV aina gan umepeleka wapi usije kujichanganya wakati Wa interview, kwa kazi nyingi hawajali umesomea nini, ila kwa udaktari , ualimu, engineer , lazima uwe umespecialize, ila kwa nyinginezo ngazi za chini wanajali experience uliyoandika kwenye CV husika,

Ushauri watanzania jaribuni hata Nje ya Tanzania inawezekana, tafteni hata kufagia na kufanya mauzo supermarket inalipa, mshahara wao si chini ya 1500 dollars per month take Home,

Watanzania wanaogopa kuonekana ana degree lakin anafagia, au analinda au anafua mashuka au analea wazee au anasajili lain mtaani hapana unachohesabu ni umeingiza ngapi

Aina ya Kazi zinazopatikana ulaya na mshahara waka
1. Sales and marketing 2500 USD per month
2. Security guard huyu ni Wa kuchezea camera za usalama kwenye mitaa na nyumba. 3000 USD
3. Watchman 1800 USD
4. Teachers ni 20,000 USD ila huwez pata kama ni mwafrica Kazi ya ualimu ni kitu sensitive sana,
5. Kitchen helper 1500 USD free transport, house allowance na food
6. Steward 2000 USD
7. Gardner 1700 USD
8. Room attendants kwenye hotels 2000 USD
9. House keeping 2300 USD
10. Waiter and waitress 2000 usd
11. Dish washer. 1600 USD wanaosha vyombo kwa Mashine maalum
12. Laundry and dry cleaner 1200 USD
13. Tax Driver 5000 usd hawa ni nchi chache lakin waganda wakenye na Wa Nigeria wanapata hizi Kazi
14. Cashier and accountants 6000 USD
15. Cleaners wanaooperate Mashine za usafi mtaani 2000 USD
16. Cook walio specialize 3000 USD
17. Houseboy / housegirls and nany ni 1300 USD , malazi na chakula bule,


Note that anayekulipia work permit ni mwajiri wako
Kaka nasikia ma agent wa USA Mara nyingi ni wa kweli kulingana na security ya inchi hiyo?
Maana kuna kijana aliona post ya mama mmoja yupo USA anahitaji wapishi, watumishi wa ndani, madereva nk. Yeye aliomba udereva.
Akafanikiwa baada ya kupeleka cv yake, kijana akaletewa na mama makubaliano kama mshahara $4000 na benefits nyingineNa yuke mama alimkabidhi kwa agency iliyopo huko, akatumiwa forms akajaza
Yule mama(host family) alimpatia kijana namba ya land line na mobile namba yake.
Wale maagent wanataka fee ya $700 kwa ajili ya registration na documents processing.
Na wanawasiliana na ile host family kwa simu Mara kwa Mara.
Je vipi kijana anaweza kufanikiwa na hawa ma agent inawezekana matapeli, au kuwa na mobile namba ya host family inawezekana kuwa ni ishu ya kweli?? Naomba msaada kujua
Host family itampa offer kijana free ticket, work permit, free medical, free licence, free accommodation nk
 
Ukiachana na hao matapeli njaa njaa!! Kwa ufupi ninaheshimu mawazo ya kila mmoja aliyochangia hapo lakini kwa upande wangu ninaona kabla haujafikiria kwenda nje hakikisha unatafuta pesa ya kutosha ukitoa nauli ya kukuwezesha kufika huko.. Siyo rahisi kuishi na kupata kazi kama tunavyodhania na ukilinganisha kwa wenzetu hawazitambui elimu zetu hizi za madafu..
... Mimi binafsi nina marafiki wengi wa kizungu wapo nje ya nchi na wapo tayari kunitumia mualiko pamoja na sehemu ya malazi lakini siwezi kwenda kichwa kichwa lolote linaweza likatokea hakikisha una pesa ya kutosha hata mambo yakibuma uwe na uwezo wa kurudi bongo
 
Ukiachana na hao matapeli njaa njaa!! Kwa ufupi ninaheshimu mawazo ya kila mmoja aliyochangia hapo lakini kwa upande wangu ninaona kabla haujafikiria kwenda nje hakikisha unatafuta pesa ya kutosha ukitoa nauli ya kukuwezesha kufika huko.. Siyo rahisi kuishi na kupata kazi kama tunavyodhania na ukilinganisha kwa wenzetu hawazitambui elimu zetu hizi za madafu..
... Mimi binafsi nina marafiki wengi wa kizungu wapo nje ya nchi na wapo tayari kunitumia mualiko pamoja na sehemu ya malazi lakini siwezi kwenda kichwa kichwa lolote linaweza likatokea hakikisha una pesa ya kutosha hata mambo yakibuma uwe na uwezo wa kurudi bongo
Hiyo chance ya kualikwa nipe Mimi uone maana halisi ya kujitoa muhanga... Bora nikafie mbele huko
 
Hiyo chance ya kualikwa nipe Mimi uone maana halisi ya kujitoa muhanga... Bora nikafie mbele huko
ni jambo zuli kuonyesha kuwa una moyo wa kuhustle ila usifikiri rahisi kihivyo unaweza ukafika huko ukapata matatizo ukashindwa kurudi. siwezi kumuamini mtu kirahisi kiasi hivyo hata kama nina shida.
 
If you want to know how they spend 150, while others do shortcuts there is no any immigrant officer who will care about you and they will still keep you pending.
Rushwa ndio tatizo kubwa Bongo, ndio maana we never progress. Sio kila mtu ana uwezo wa kuhonga pesa kwa sababu moja au nyingine, kupitia rushwa vijana wengine wa kitanzania wamekosa fursa nyingi ndani na nje ya nchi ambazo zingeweza kuja inua uchumi wa taifa lao. Hakuna watu wanaonikwaza kama waomba rushwa tanzania. Yani ukienda popote na shida ambayo ni haki yako ya msingi kuipata kutokana na ulipaji wako wa kodi, watu wanakugeuza dili. Mungu atusaidie sana.
 
Sijawai kuchangiaga mada hizi ila naona Watanganyika mnataka kumkimbia mama Tanzania (kwa sauti ya Mbatia) Ok si vibaya nikawamba mbinu nyepesi sana ya kufanikisha ndoto zenu coz naona wengi mnatamani kuja au kwenda Ulaya na US lakini njia mnayotumia ni ndefu na ambayo ni ngumu kwa sasa hv kwani siasa za sasa ni siasa za utengano na kufunga mipaka dhidi ya wageni

Ok njia ya kwanza ni kuingia nchi ya Malta ,Malta ndio nchi inayomkaribisha mgeni yeyote na yenye sheria nyepesi sana za uhamiaji kwa wananchi wanaotoka nchi za Commonwealth ( British colonisation)

So ukishafika Malta ukiweza kukaa ndani ya Malta ndani ya mwaka mmoja bila ya kufanya jinai huna haki ya kuomba uraia so kama utakuwa umekwenda kusoma , kufanya kazi, kutembea au kwenda kufanya kazi ya kujitolea (kazi za bila ya malipo)

Ukishapata uraia wa Malta unakuwa na uwezo wa kwenda kufanya kazi nchi yeyote ya Ulaya kwani Malta ni nchi iliyo kwenye jumuhiya ya Ulaya

So kama unabahati unaweza kupata lakini nchi nying za ulaya au nchi za dunia ya kwanza kupata kazi kwa elimu uliyosomea Africa ni ngumu sana mpaka usome kwao ndio wanakuamini

Owk kama utakuwa uko vizuri kiafya unaweza kwenda Jeshini ,nchi nyingi za ulaya zinachukua raia wa nchi za ulaya kama wanajeshi au kama umetoka nje ya jumuhiya ya ulaya ni lazima upate parmanent resident kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kwa nyinyi mnaokuja huku kiujanja janja

Nchi zinazochukua raia wa nchi nyingine kwenye majeshi yao nitakuja na list yao muda si mrefu
lakini ni nchi ambazo zipo kwenye kundi la A list duniani zikiwamo nchi zote za Scandinavian

Ushaingia jeshini ,majeshi mengi ya Ulaya wanapaga watu ambao si raia wa nchi hyo mkataba miaka mitano mitano ndani ya hyo miaka mitano unaruhusiwa kusoma chochote utakachopenda gharama ni za jeshi so utachagua cha kusoma kama umetoka bongo na ka degree chako utasoma masters kama umetoka manyoya utatafuta cha kusoma ndani ya miaka mitano ni mingi sana na unapata faida mbili moja kulipwa mshahara ,huduma za Afya na uhakika wa kupata uraia kama utaitaji

So ukimaliza miaka mitano tu usiongeze tena mkataba ongeza tena kama umeipenda kazi ya jeshi so kama umeona ni manyoya unaiacha so unalipwa mafao yako na unakwenda kuomba uraia na unapata hata bila ya kufanya mtihani wa kuomba uraia na hii kuna nchi hawataki uraia pacha kama Germany au Norway so kama nchi hawataki uraia pacha basi unachagua mmoja ukishamaliza kupata uraia wa nchi hyo uliyoichagua ww from there unatafuta kazi kwa vyeti ulivyosomea jeshini na tena wakijua ulikuwa mwanajeshi wanakuheshimu sana kwani unaonekana umejitoa kwa nchi so unapata kazi na maisha yanaendelea ndani ya miaka 6 tu mission inakuwa imekwisha ukipita Airport ukionyesha gamba la mzungu unapita tu hupekuliwi pekuliwi kama mwenye passport ya Bongo

Kuna thread aliweka Dumelang ile ndio njia nyepesi sana lakini watu wameikimbia pale unatafuta mtu wa kuja kumfanyia kazi ya kujitolea mwaka mmoja tu ndani ya Malta bhasi

Lakini leo kunambia sijui mnapanga kuondoka kwenda nchi ambayo huna mwenyeji naona mnacheza nyinyi na mnadanganyana Ulaya na US ya sasa si kama ya zamani utaishia jela au kufa tena na balozi zenu zilivyo ngumu kwa raia wake utakoma na kujuta kuja tena mkuu wenu amesema muachwe tu ,pia sidhani kama eti mtu anayetaka kuwasaidia mwenzie na yeye anataka kwenda huko huko unaweza kusaidia vipi hapo zaidi ya kudanganyana ?hiyo ndo blueprint na njia nyepesi kabsa ndani ya miaka 6 tu umefanikisha mwaka mmoja Malta miaka 5 jeshini mwaka wa sita unapassport ya mzungu

Na hii ni kwa wanawake na wanaume sehemu pekee ni kufika Malta tu mwaka mmoja tatizo nililogundua Waafrica wengi akili yetu tunawaza ulaya tena zile nchi tajiri tu lakini mmeshindwa kujua dunia nzima wanawaza hvyo hvyo njia hii ya malta bado wengi hawajajua nendeni kwenye thread ya Dumelang then tafuta mtu wa malta kafanye kazi ya kujitolea kwa mwaka mmoja kwanza unapata pa kukaa kula na mwenyeji lakini kwenda sehemu kwa mipango mipango mtakuwa mnadanganyana tu wanawake hasa wa Tanganyika wamekuwa wanaogapa sana kuchukua maamuzi ya kuondoka lakini nataka kuwambia tena wanawake ndio njia nyepesi sana kwani wazungu wanawaheshimu sana wanawake cha kwanza kwa heshima kwa wazungu
1 Wanawake
2 Mbwa au wanyama
3 Mwanaume
So kwa dada zangu kwa njia hii ya Jeshi ni bora sana kwao tena sana naongea hv kwa kujua ninachosema
Broo thanks but mimi nasoma diploma of nursing ndo nipo last year so natamani kufanya kaz nje ya nchi kweli huwezekano utakuwepo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Botswana kulikua kuzuri miaka ya nyuma, ajira zilikua nyngi sana, na mshahara ulikua mzuri kwa kazi za kawaida kama ualimu, clinical officer an manesi walikua wanalipa around pula 20000, kwa mwezi sawa na 4m ya Tz, ila wazimbabwe wameshaharibu maana wameingia kwa windi sana na kusababisha ajira kuwa ngumu sana. Hata ajira za kada ya afya imekua ngumu sana kupata.
 
Back
Top Bottom