Recent content by DR Joshua Lawrence

  1. D

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Rafiki yangu, nimeandika kuwa dozi inatumika siku tatu tu, soma vizuri maelezo hayo. lakini, pia, hiyo natharia yako ya kuwa vidonda vya tumbo haviwezi kutibika kwa siku tatu ina makengeza ya kiutafiti! Nakukaribisha ili uweze kuifanyia utafiti dawa hiyo, maana kuna madaktari wengi waliokuwa na...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Pole ndugu yangu kwa tatizo hilo, kupitia dawa ya Bhuponi 3, hivi sasa nimetibu watanzania wengi kupona ni asilimia mia moja! Wasiliana name kwa ajili ya tiba. Nitakutibu bure kama mfano kwa wengine, utakachopaswa kugharamia ni gharama za kusafirisha dawa www.drjoshualawrence.blogspot.com
  3. D

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Moja ya tafiti zilizofanikishwa na jopo letu la utafiti wa tiba mbadala ni i katika eneo la tiba ya vidonda vya tumbo. Kwa wale wote wenye tatizo hilo wasisite kuwasiliana nasi kupitia www.drjoshualawrence.blogspot.com atasaidiwa mara moja. kwani tunayo dawa ambayo dozi yake ni siku tatu tu
  4. D

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Wale wote wenye tatizo sugu la vidonda vya tumbo hakuna haja ya kukata tama, waweza kuwasiliana name kupitia www.drjoshualawrence.blogspot.com ili waweze kupata msaada wa uhakika. Tiba hiyo ni kwa asilimia mia moja unapona tatizo lako
  5. D

    JamiiForums Tanzania Tunahitaji chama kipya?

    Tatizo kuu la mwenendo usiotia matumaini ndani ya vyama hivi likowapi hasa? Je, tiba itakayoleta ahueni kwa raia wa Tanzania ni ipi? Hapa ndipo inapoanzaia njia panda baina yashule ya mawazo yangu na ya marafiki zangu. Tofauti yangu na wengine haijajengwa juuya tofauti ya kimtazamo juu ya...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

    Ugonjwa mkubwa wa CHADEMA utakaokiangamiza si mwingine bali ni kuwa na malengo madogo kisiasa na kuyafikia! Na wanapoyafikia wanalewa kiburi cha mafanikio kiduchu!
  7. D

    JamiiForums Tanzania Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

    Pamoja na ukweli kwamba Zitto aweza kufukuzwa CHADEMA, pamoja na ukweli kwamba mwenendo wake kichama una harufu ya usaliti, ni kujidanganya kuamini kwamba uongozi uliopo sasa unaendesha chama kisayansi. Ni kweli Zitto ametindikiwa na nidhamu kichama, lakini ukweli wake na wa marehemu Chacha...
  8. D

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni kijana mwenzenu nakufa wa Jf

    Kwa tatizo lako hilo, unatakiwa kuwasiliana nami kwa www.drjoshualawrence.blogspot.com ili tuangalie namna ya kukusaidia
  9. D

    JamiiForums Tanzania Tumbo kuunguruma, nini tatizo

    Iwapo utapima na kugundulika kuwa una Amiba sugu wasiliana nami kwa simu kupitia www.drjoshualawrence.blogspot.com nitakusaidia kwa tiba mbadala!
  10. D

    JamiiForums Tanzania Kwa wakatoliki tafadhali...

    Mkristo yeyote hana budi kuwa na furaha. Biblia inasema furahini siku zote tena nasema furahini. Hili la Mali na heshima lina utata pia, maana tunapaswa kutafuta heshima ya Mungu na wala sio ya wanadamu. Tatizo lingine ni mtazamo wenye ukakasi kuhusu mali. kwamba kuwa na mali ni dhambi! huu ni...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Jakaya foundation

    Hata hivyo ukisoma kwa makini tovuti ya matapeli hawa utagundua kuwa uhariri wa Kiswahili haukufanyika! Pamoja na hayo ni vigumu sana kwa taasisi kubwa yenye jina la Jakaya Foundation kugawa fedha kama njugu, pasipo utaratibu unaoeleweka kisheria, ikiwemo dhamana ya mali. Ni wachovu tu wa akili...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Jakaya foundation

    kwa vile jina la Rais linatumika kutapeli vijisenti vya walala hoi vyombo vya usalama viko wapi? Nchi imekuwa shamba la vilembwe na vilembwekeze, si la bibi tena
  13. D

    JamiiForums Tanzania Dk. Kitila Mkumbo, Kwanini watu makini wasianzishe chama chao?

    Mwanadiplomasia wataifa la Amerika, Danieli Webster(1782-1852, aliyejipambanua kupitia vipaji lukuki kama,mnenaji, mwandishi na mwanasheriamashuhuri aliwahi kuandika maneno yenye kubeba ujumbe muhimu sana kwa wanasiasa wa kizazi hiki. Tunukuu,“Good intention will always be pleaded for every...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Chadema wafanya maamuzi

    MH; ZITTO: NA WENZAKO MMEJIVURUGANA KUISALITI DEMOKRASIA MNAYODAI KUIPIGANIAMwanadiplomasia wataifa la Amerika, Danieli Webster(1782-1852, aliyejipambanua kupitia vipaji lukuki kama,mnenaji, mwandishi na mwanasheriamashuhuri aliwahi kuandika maneno yenye kubeba ujumbe muhimu sana kwa...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

    Vazi la utakatifu feki linalotuzuia kuona utupu wake kisiasa limetoboka, na avikwe jipya ndipo aingie harusini, tena kwa kADI SPESHO
Back
Top Bottom