Chadema wafanya maamuzi

Chadema wafanya maamuzi

MH; ZITTO: NA WENZAKO MMEJIVURUGANA KUISALITI DEMOKRASIA MNAYODAI KUIPIGANIAMwanadiplomasia wataifa la Amerika, Danieli Webster(1782-1852, aliyejipambanua kupitia vipaji lukuki kama,mnenaji, mwandishi na mwanasheriamashuhuri aliwahi kuandika maneno yenye kubeba ujumbe muhimu sana kwa wanasiasa wa kizazi hiki. Tunukuu,"Good intention will always be pleaded for every assumption of authority. It ishardly too strong to say that the constitution was made to guard the peopleagainst the danger of good intention. There are men in all ages who mean to governwell but they mean to govern. They promise to be good masters but they mean tobe masters." Tafsili isiyo rasmi. Wakati wote makusudio mazuri yatatumika kama kisingizio kwa ajili ya kiu ya mamlaka.Si kutia chumvi kusema kuwa katibailitengenezwa ili kuwalinda wanadamu dhidi ya hatari ya makusudio mazuri.Katika wakati wote kuna watu wanaomaanisha kutawala vizuri lakini wana maana yakutawala. Wanaahidi kuwa mabwana wazuri lakini wana maana ya kuwa mabwana. Kwa kuzingatiamshehenezo huo mwanana, wachambuzi wa mwenendo wa siasa ndani ya viunga vyachama kikuu cha upinzani chenye kujizolea wafusi wengi nchini na hivyo kuwatishio kwa chama tawala, wanalitafsili saga linaloendelea kusaga bongo zawatafiti wa mienendo ya siasa, kitaifana kimataifa, ndani ya muktadha wa vita vya kugombea madaraka ya kushikiliausukani wa chama hiki. Ni mapambano ya kutawala dhidi ya kuongoza. Ni vita vyanani anafaa kuwa kiongozi na wala sio mtawala, mtu mwenye visheni, misuli napumzi ya kutosha kuhimili upigaji mbizi ndani ya dimbwi taka la siasa shindani kiasi cha kustahili kuvikwa taji ya uchampionidhidi ya mikiki-mikiki ya siasa za maji taka! Kwa sababu hiyo, na kwa kuzingatia muktadha wavita hiyo, mtikisiko unaoendelea ndani ya viunga hivi, kwa hakika hauwezikumalizwa kwa kuchukua hatua nyepesi, na za muda mfupi ili kupata muda wakuvuta pumzi kwa ajili ya kuikabili vita mfufuka pale itakapofumka tena. Nimtikisiko unaohitaji uwekevu wa misuli ya hekima na upeo mpevu unaokwenda maili nyingikimaamuzi juu ya usalama wa chama husika, ambapo kimustakabali, kukosekana kwa utulivu ndaniyake kwaweza kunyong'onyeza vyama vyote vya siasa nchini Tanzania. Hii ni kwasababu kutikisika kwa CHADEMA ni kutikisika kwa taifa, na kwa hakika hakuwezikuwa na tija kwa vyama vingine. Kwa maana nyinginetwaweza kuseme kwamba, vita hii si ya kichama, kama wengi wanavyowezakuitazama;na hakuna raia wa Tanzania atakayesalimika kutokana na msambaratikowa chama hiki kwani msambao wa athari yavita hii una matawi yaliyojieneza kwamadaha kila kona mithili ya pweza huku ukihandisi mifumo yote inayotegemeza mwelekeo wa nchi yetu kisiasa. Naam, mtandao wake unavuka mipaka hadi kuingiandani ya viunga vya chama tawala, na hata ndani ya taasisi nyingine nyetikitaifa na hivyo kuifanya vita hii kuwa moja ya vita mtambuka, inayohita hitimisholenye mikito sahihi kimaamuzi kwa ajiliya mustakabali wenye heri kitaifa. Tutajilidhisha kwa hilo.Kwa vile wahusika wakuundani ya sakata hili. Kambi ya CHADEMA asili na kambi ya CHADEMA mpya, Kilakambi kwa nafasi yake inajaribu kujitengenezea taswira ya kizalendo yenyekuonesha kujali masilahi mapana ya kichama na kitaifa, uchambuzi huru, kwamaana ya kutopofushwa na ushabiki wa kichama waweza kutoa mwanga juu yamwelekeo ulio sahihi kichama na kitaifa, na hiyo yaweza kuwa miongoni mwa tiba stahiki.Tuingia ndani ya viungavya udadavuzi kwa kupitia maneno ya hekima yaliyopata kunenwa na mwanaharakatimashuhuri, Malcolm X. Mwanaharakati huyu aliuawa kwa kupigwa risasi wakati akiwa kwenye harakati kupigani haki zawatu weusi nchini Marekani. Katika siku za uhai wake aliwahi kutamka hivi,You're not to be so blind with patriotism that you can't face reality. Wrong iswrong, no matter who do it. Tafsiri,hupaswi kupofushwa na uzalendo kiasi cha kushindwa kubaini huhalisia wa mambo,Kosa ni kosa, haijalishi ni nani amefanya kosa hilo. Kwa kuzingatia ukweli huo,uchambuzi huu umejikita katika kuutazama mgogoro huu kwa jicho pevu lisiloegemeaupande wowote ule.Mheshimiwa Zitto, kwakauli yako mwenyewe unadai kuwa chama chako, kinakutuhumu kwa usaliti. Na nikwa kauli yako mwenyewe umedai kuwa kuna maeneo uliyojikwaa. Ni maeneo gani hayo? Hujatujuza na kuuanikaukweli huo bayana. Je, maeneo hayounayodai kujikwaa, hayakuwa ni maeneo yenye mkwao wa kiusaliti? Wachunguziwanahoji. Uamuzi wako wa kutoweka bayana makosa uliyoyafanyandani ya chama chako, na ikiwezekana kuomba msamaha, unafungua mlango wa hisiaza kila aina katika muktadha wa usaliti,unaoruhusu kila aina ya tuhuma kukuangukia wewe. Hebu tukunukuu. " kamamwanasiasa kijana niliyekaa katika siasa sasa yapo mengi mazuri nimeyafanya.Lakini kuna maeneo niliyojikwaa na yapo makosa niliyoyafanya kisiasa katikamaisha yangu ya siasa" Mwisho wa kunukuu. Ni wapi hapo ulipojikwaa kisiasa? Nikimya kitulivu! Kwa vile umenyamazakimya, naomba unipatie nafasi ya kuogelea ndani ya dimbwi hilo la hisia kwakutoa baadhi ya mifano dhahili li kujaribu kufutilia mbali ukungu wa kihisia uliotanda juu yako. Nikiri kwamba, kwa muda mrefusasa nimekuwa mfutiliaji wa karibu wa mwenendo wako kisiasa. Mnamo mwaka 2006ndipo niliopoanza kutilia wasiwasi misimamo yako kisiasa. Nilifikia kuamini kuwa kwa stahili yako yakutaka kupendwa na wote utahafifisha na hatimaye kuizima kabisa ndoto ya hatimayako kisiasa. Nianze kwa kuwekabayana kuwa, Chama cha siasa ni kama jeshi kubwa la watu wenye malengo mamojakwa ajili ya kufikia lengo fulani. Jeshi lolote lile lisilo na nidhamu, kamwe haliwezikuhimili mashambulizi ya adui. Kwa maana nyingine, katikamuktadha wa chama kama jeshi lenye nidhamu, uhuru na demokrasia ya kwelivyapaswa kuyazamwa kupitia mkondo wa sheria na kanuni zinazoongoza chama hicho.Tuseme kwamba, demokrasia na uhuru wamawazo ni watoto mapacha wasiowezakuendelea kunawili bila kunyweshwa maziwa ya nidhamu isiyoghoshiwa. Katika hili, CullenHightower ana mshehenezo huu wenye hekima, anasema, "Displine without freedomis tyranny, freedom without discipline is anarchy", akiwa na maana kuwa, Nidhamu bila uhuru niunyama, na uhuru bila nidhamu ni machafuko. Pamoja Elimu bora uliyoipata, mimi binafsi nikiwammoja wa watu wanaokutunuku kwa ubongo wako wenye msheheni wa hazina bora kwaajili ya taifa hili, nasikitika kusema kuwa ufifi kitaswira unatia giza tunuhiyo. Moja ya taswira fifi uliyojichorea machoni mwa jamii ni ile ya utovu wanidhamu kwa viongozi wako. Albert Camus anasema, "A man without ethics is a wild beastloosed upon this world." Akiwa na maana kuwa mtu asiye na miiko ni sawa namnyama wa mwitu aliyeachiwa huru duniani. Kwa mfano, wakati wa kampeni za mwaka2010, halikuwa ni tendo la nidhamu ya kichama kutamka kuwa mwaka 2015 utagombeanafasi ya urais. Hicho hakikuwa kipindi mwafaka kwako kutoa tamko hilo, kwanikwa akili za kawaida tamko hilo lilikutengenezautando wa usaliti wa kampeni husika. Kwa nini utoetamko hilo tata katika kipindi hicho? Una jibu mwenyewe. Lakini kinachotiawasiwasi zaidi ni kwamba mwaka 2015 utakuwa ujatimiza miaka 40 iyonakupatiakete kisheria kugombea nafasi hiyo. Je, iwapo ndoto yako ipo palepale utatumiambinu gani kujiongezea umri wako? Hakunamaduka yanayochuuza umri. Kama kweli hutumiki, kwa nini tusiseme una pupailiyokosa hekima? Ni kizungumkuti! Je hiyo ndiyo kambi yako ya shule ya mawazo kuhusu huru na demokrasia unavyovipigania? Kwa hakika, kuendeleakuishi ndani ya kambi ya shule ya mawazo ya namna hiyo ni sawa na kuelea ndaniya anga la demokrasia na uhuru wakufikirika; vinavyoweza kufananishwana dege la kufikirika linaloongozwa nalubani wa kufikirika aliyebeba abiria wa kufikirika na kisha kusababisha ajali ya kufikirikailiyopelekea misiba maombolezo na mzishi ya kufikirika na hatimaye kuhitimisha kwa ufufuo wa demokrasia na uhuruya kufikirika, isiyolingana na uhalisia wa mahitaji ya hivi sasa ya demokrasiahuru na shindani. Lakini, kuna hili.Chama chako kinakutuhumu ya kuwa una utovu wa nidhamu wa kutoshiriki kikamilifu vikao vya kichama nawakati huohuo ukionekana kuwa mwanaharakati mwenye kusigana na mtazamo wa chamaunachokiongoza kuhusu harakati za kukijenga chama chako kisiasa. Waweza kuwa sahihi kimtazamo, kwamaana ya kuwa na fikra huru zilizopitiliza upeo wa watanzania walio wengi,lakini waweza usiwe sahihi kiprotokali juu ya kipi kianze na kipi kifuate, na ni katika kipindi kipi, na wapi, jambo lipilitendeke ili chama chako unachodai kukipigania kisitetemeshwe na mirindimo ya maamuzi yako. Kwa mtazamo wanguyakinifu, ukiwa kama mwanasiasa mwenyevipaji lukuki na mvuto kisiasa,umeshindwa kusimama upande mmoja na husomeki kwa maana ya kuonesha nidhamukichama. Unaonekana kujenga dola yako ndani ya dola iliyopo, kwa maana yakuhandisi kambi yako ya mawazo nje yautaratibu wa kawaida kupitia vikao halali. Wewe na kundi lako mmefanya mtandaokuwa ofisi rasmi ya kuendesha masuala ya kichama, huku mkijichorea taswira yavijana wenye fikra huru na usasa usio na mipaka na siri za kichama, na hivyokupelekea chama chako kukosa mfumo imara wa kutunza siri zake.Ni mfumo huo wa usasawenye makengeza, ndiyo uliopelekea kundi la watu wachache walio upande wako kuandaa waraka wa siri kwa lengo lakukuandalia njia ya kuuondoa uongozi wa juu uliopo madarakani. Kwa mujibu wakambi yako ya shule ya mawazo, kupitia utetezi wa Dr Kitilla hilo sitatizo. Mfano wa rais Barack Obama,kwamba wapambe wake waliandaa waraka wa siri bila yeye kufahamu, unasigana kwakiasi kikubwa kimkutadha na hali ya sasa.Wakati Barack Obama alionesha utendaji uliotukuka katika nafasi ya usenetakwenye chama na jimbo lake kiasi chakuaminiwa na wanachama wa demokratiki, Zitto, hana sifa hizo ndani ya chamachake.Dr Kitilla anasema kuwakusudi lao lilikuwa ni zuri tu. Je, iwapo kwa nia hiyo anayoibatiza jina la nianzuri, wachama wa Chadema watajenga tabia kuhandisi kambi nyingi zenye watuwanaofanya michakato ya kuandaa nyaraka za siri kwa ajili ya kumpigia chapuomtu wa kwao kama ilivyo hivi sasa ndani ya chama tawala tutegemee nini? Niukweli usiopingika ya kwamba suala la makundi ndilo linalokitafuna chama tawala.Kwa nini ugonjwa huu huu unapoanza kutoa uvundo ndani ya chama kikuu cha upinzani upakwe mafuta ya nadro safi ili kuficha harufu yakehalisi? Hata hivyo, mchakato wowote wa siri unaojaribukuliahafifisha kundi la viongozi waliopo madarakani kwa maneno au kwa taadhila yoyote ile, tena , ndani yachama kilele, hauwezi kubatizwa jina lingine zaidi ya kuupatia jina stahiki,yaani jina la uhaini wa kisasa. Na, kwa hakika inahitajika akili yamwendawazimu kuamini kuwa uandishi wa waraka huo wa siri haukupata baraka zamhusika mwenyewe, ambaye, hata kabla ya hapo ndoto yake kubwa ni kukalika kiticha Mwenyekiti wa chama hicho. Kosa lako si kuutaka uenyekiti wa chama,tatizo ni taswira fifi unayojijengea na unayokijengea chama chako na kuwapafaida ya bure maadui wa chama chako. Kwa kufanya hivyo, si tu unajiweka kwenyeupande wa kutoaminika, bali pia Unajivuruga mwenyewe kitaswira mbele ya jamiiinayokuzunguka. Taswira hiyo ya usalitiinawafanya baadhi ya watafiti kukuona kuwa yawezekana ukawa unatumika nakutumiwa na maadui wa chama chako kwakutambua au bila wewe binafsi kutambua. Na ndiyo maana umekuwa na harufuinayowavutia hata wale wanakesha kuhakikisha chama chako kinasambaratika. Naam,wanatamani uwe kiongozi wa chama wasichokitakia mema! Najua wewe ni kijanabado. Damu yako inachemka. Naam, una matamanio makubwa siku za usoni; na kwa hakika nakubaliana nawe kwa asilimia mia moja ya kwamba viongozi wa CHADEMA walipaswa kuipitia rufaa yako ili kukupatia fursa ya kutumia haki yako ya kujitetea. Tatizo kuu ni taswira yako fifi!Kwa hilo, nakuhakikishia kuwa kwa taswiraya kipopo unayoionesha ni vigumu sana kufanikiwa kufika huko uendako hadiutakapobadilika. Ili uweze kufika huko, pengine, ni salama zaida kamautakubaliana na nukuu ya hekima toka kwa Francis Bacon anayesema kuwa Young menare fitter to invent than to judge; fitter for execution than for council;fitter for new project than for settled business. Ukiwa kama kijana, yapomaeneo unayofaa kuyasimamia. Ungefaa kujikita katika kuvumbua mbinu mpya zakukijenga chama chako unachodai unakipenda kuliko kuwa mfanya maamuzi ya mwishokuhusu hatima ya chama, ungefaa kuwa kwenye jopo la watekelezaj wa visheni namaazimio ya chama chako kuliko kuwa miongoni mwa jopo la mshauri wakuu; Kwa maoni yangu, kutokanana ukweli ya kwamba bado akili zako hazijaonesha utulivu na ukomavu, nakutokana na ukweli kwamba chini ya uongozi wa mwenyekiti aliyepo sasa chamakimepata ustawi wa haraka, na kutokana na ukweli kwamba watu wenye fikra huru,ikiwemo idadi kubwa ya wanachama wa chama chako hawakuamini, si salama ukapewausukani wa kuongoza chama kilichobeba matumaini ya watanzania wengi. Kama nisuala la mabadiliko ya uongozi, chama hakina budi kumteua mtu mwenye surainayosomeka wazi kuwa hawezi kununulika kwa urahisi, sifa ambazo kwa wewezinapelea. Ninasema hivyo kwa sababu matendo yako badoyayajakufanya uonekane ni mjenzi wa chama. Utafiti wa haraka ndani ya mtandaowa Jamii forum, unaonesha kuwa jamii ya watanzania inakusoma ndivyo sivyo. Takwimuza haraka zinaonesha kwamba kati ya watu kumi waliotoa maoni yao juu ya hatimaya kufukuzwa kwako, wawili tu ndio waliopenda ubaki chamani. Kwa maana nyinginematendo yako yanakufanya usisomeke kama mwanachama mzalendo.Msanii maarufu wa Sanaaza uchoraji na uchongaji wa karne ya ishirini nchini Hispania, mwenye jinarefu, pengine kupita yote, ndugu Pablo Diego Jose Francisco de Paul JuanNepomuceno Maria de lose Remedios Cipriano de la Santisima Trinidad Clito RuleyPicasso, kwa kifupi Pablo Picasso anasema kuwa katika Sanaa kusudio tu halitoshi, na kama tusemavyo katikakihispaniola, upendo wapaswa kuthibitishwa kwa matendo na si kwa hoja, kile mtuafanyacho ndicho chenye uzito na si kile ambacho mhusika anapania kufanya! Waziri wa Uingerezahayati Margeret Thatcher anaongezea maneno haya ya hekima akisema No one wouldremember the Good Samaritan if he only had good intention, he had money aswell. Kwamba kisa cha Msamaria mwema kinaendelea kuwa gumzo mijini na mavueni,kutokana na matendo yake, na wala sio nia yake nzuri ya kusaidia. MheshimiwaZitto pamoja nakufanya mambo mengi ya kuigwa ndani ya viunga vya siasa, baadhiya matendo yako ya kila siku yenye suraya usaliti ndiyo adui wako mkuu. Kuhusu suala la uzalendo, George Bernard Show,anasema kwamba, Patriotism is yourconviction that this country is superior to all other countries because youwere born in it. Nukuu hii twaweza kuifanya ifae kichama kwa kubadili neno nchina kuwa chama na ikasomeka hivi; Uzalendo ni Imani yako ya moyoni kwamba chama chakoni bora zaidi kuliko vingine kwa sababu ulizaliwa kwenye chama hicho. Matendoyako yanapaza sauti yakikutambulisha kuwa una uzalendo uliogubikwa nautusitusi. Una uzalendo wa kutilia mashaka. Waziri Mkuu wa zamaniwa Uingereza hayati Margeret Thatcher aliwahi kunena kwamba " if you set out tobe liked, you would be prepared to compromise on anything at any time, and youwould achieve nothing! Kwa Kiswahili chetu, ni kwamba, kama unatafuta kupendwana wote ungepaswa kujiandaa kukubaliana na kila kitu katika wakati wote ule, nahatimaye hutafanikiwa chochote. Ndugu Zitto, unapaswa kujijengea taswiraisiyokuwa na ukungu ndani ya chama chochote kile utakachokitumikia. Msemo waBwana Yesu, huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja.Kama nilivyodokeza hukonyuma, Mheshimiwa Zitto, umejichoreataswira ya kipopo mbele ya jamii. Hujaonesha wazi kama uko upande gani. Hujajipambanua kama wewe ni popo au ndege yawezekanapengine ni katika jitihada zako za kutafuta uungwaji mkono toka makundi yote. Akizungumzia kuhusu hatari ya tabia yakutoonesha msimamo na mwelekeo halisi, rais wa Marekani, Hayati JF Kennedyaliwahi kutamka kwamba "the hottest place in hell are recerved for those, inthe times of great moral crisis maintain their neutrality. Kwa Kiswahili nawezatafsili hivi: mahali palipo na joto kalisana huko jehanam pamehifadhiwa kwa wale ambao, katika kipindi cha cha dhahamakimaadili wanadumisha hali ya kutokuwa upande wowote. Naomba nitohoe kauli yamke wa rais wa zamani wa Marekani Bi Theodore Roosevelt ili ifae ndani yamkutadha huu. The things that will destroy Zitto kabwe and CHADEMA areprosperity….at any price, peace-at-any price, safety-first instead ofduty-first, the love of soft living, and the get-rich-quick theory of life!Hatari na atharizinazoambatana na mafanikio ya haraka ni kubwa kuliko hatari ya mdororokimafanikio. Kubeba kikombe kilichojaa maji pomoni kwa usalama bila tonekumwagika ni jambo gumu sana kuliko kikombe chenye maji shinda. Ni ukweli yakwamba kasi ya kukua kwa umaarufu wa Zitto na chama chake ni kubwa, namafanikio haya ya haraka yana hatari yenye uwiano sawia. Kwa wanateolojiawabobevu watakubaliana na ukweli huu ya kuwa, ni kiburi cha Lusifakilichotokana ulevi wa kutaka kuwa juu zaidiya nafasi aliyotunukiwa na Muumba ndicho kilichomwangusha chini. Na sasaanaitwa shetani. Kiburi cha mafanikio ni hatari kuliko ukimwi. Tukichukulia kauli hiyo, ya Bi TheodoreRoosevelt, kutafuta mafanikio kwa gharama yoyote ile, kutafuta Amani kwagharama yoyote ile, kutafuta usalama kwanza badala ya wajibu kwanza na kupendamaisha mepesi na nadharia ya maisha ya tajirika haraka, ndiyo maadui wakuuwanaohatarisha hatima ya Zitto Kabwe na chama chake.
 
Mkuu Kibirizi vp dagaa kigoma wamefika kilo bei gani. Hilo jina Kibirizi limenikumbisha kwetu Kwitanga.
Kilo ni TZS. 14,000/- wale waliokaushwa kwa chanja na kuwekwa chumvi na TZS. 12,000/- kwa wale waliokaushwa kwenye mchanga.
 
MH; ZITTO: NA WENZAKO MMEJIVURUGANA KUISALITI DEMOKRASIA MNAYODAI KUIPIGANIAMwanadiplomasia wataifa la Amerika, Danieli Webster(1782-1852, aliyejipambanua kupitia vipaji lukuki kama,mnenaji, mwandishi na mwanasheriamashuhuri aliwahi kuandika maneno yenye kubeba ujumbe muhimu sana kwa wanasiasa wa kizazi hiki. Tunukuu,“Good intention will always be pleaded for every assumption of authority. It ishardly too strong to say that the constitution was made to guard the peopleagainst the danger of good intention. There are men in all ages who mean to governwell but they mean to govern. They promise to be good masters but they mean tobe masters.” Tafsili isiyo rasmi. Wakati wote makusudio mazuri yatatumika kama kisingizio kwa ajili ya kiu ya mamlaka.Si kutia chumvi kusema kuwa katibailitengenezwa ili kuwalinda wanadamu dhidi ya hatari ya makusudio mazuri.Katika wakati wote kuna watu wanaomaanisha kutawala vizuri lakini wana maana yakutawala. Wanaahidi kuwa mabwana wazuri lakini wana maana ya kuwa mabwana. Kwa kuzingatiamshehenezo huo mwanana, wachambuzi wa mwenendo wa siasa ndani ya viunga vyachama kikuu cha upinzani chenye kujizolea wafusi wengi nchini na hivyo kuwatishio kwa chama tawala, wanalitafsili saga linaloendelea kusaga bongo zawatafiti wa mienendo ya siasa, kitaifana kimataifa, ndani ya muktadha wa vita vya kugombea madaraka ya kushikiliausukani wa chama hiki. Ni mapambano ya kutawala dhidi ya kuongoza. Ni vita vyanani anafaa kuwa kiongozi na wala sio mtawala, mtu mwenye visheni, misuli napumzi ya kutosha kuhimili upigaji mbizi ndani ya dimbwi taka la siasa shindani kiasi cha kustahili kuvikwa taji ya uchampionidhidi ya mikiki-mikiki ya siasa za maji taka! Kwa sababu hiyo, na kwa kuzingatia muktadha wavita hiyo, mtikisiko unaoendelea ndani ya viunga hivi, kwa hakika hauwezikumalizwa kwa kuchukua hatua nyepesi, na za muda mfupi ili kupata muda wakuvuta pumzi kwa ajili ya kuikabili vita mfufuka pale itakapofumka tena. Nimtikisiko unaohitaji uwekevu wa misuli ya hekima na upeo mpevu unaokwenda maili nyingikimaamuzi juu ya usalama wa chama husika, ambapo kimustakabali, kukosekana kwa utulivu ndaniyake kwaweza kunyong’onyeza vyama vyote vya siasa nchini Tanzania. Hii ni kwasababu kutikisika kwa CHADEMA ni kutikisika kwa taifa, na kwa hakika hakuwezikuwa na tija kwa vyama vingine. Kwa maana nyinginetwaweza kuseme kwamba, vita hii si ya kichama, kama wengi wanavyowezakuitazama;na hakuna raia wa Tanzania atakayesalimika kutokana na msambaratikowa chama hiki kwani msambao wa athari yavita hii una matawi yaliyojieneza kwamadaha kila kona mithili ya pweza huku ukihandisi mifumo yote inayotegemeza mwelekeo wa nchi yetu kisiasa. Naam, mtandao wake unavuka mipaka hadi kuingiandani ya viunga vya chama tawala, na hata ndani ya taasisi nyingine nyetikitaifa na hivyo kuifanya vita hii kuwa moja ya vita mtambuka, inayohita hitimisholenye mikito sahihi kimaamuzi kwa ajiliya mustakabali wenye heri kitaifa. Tutajilidhisha kwa hilo.Kwa vile wahusika wakuundani ya sakata hili. Kambi ya CHADEMA asili na kambi ya CHADEMA mpya, Kilakambi kwa nafasi yake inajaribu kujitengenezea taswira ya kizalendo yenyekuonesha kujali masilahi mapana ya kichama na kitaifa, uchambuzi huru, kwamaana ya kutopofushwa na ushabiki wa kichama waweza kutoa mwanga juu yamwelekeo ulio sahihi kichama na kitaifa, na hiyo yaweza kuwa miongoni mwa tiba stahiki.Tuingia ndani ya viungavya udadavuzi kwa kupitia maneno ya hekima yaliyopata kunenwa na mwanaharakatimashuhuri, Malcolm X. Mwanaharakati huyu aliuawa kwa kupigwa risasi wakati akiwa kwenye harakati kupigani haki zawatu weusi nchini Marekani. Katika siku za uhai wake aliwahi kutamka hivi,You’re not to be so blind with patriotism that you can’t face reality. Wrong iswrong, no matter who do it. Tafsiri,hupaswi kupofushwa na uzalendo kiasi cha kushindwa kubaini huhalisia wa mambo,Kosa ni kosa, haijalishi ni nani amefanya kosa hilo. Kwa kuzingatia ukweli huo,uchambuzi huu umejikita katika kuutazama mgogoro huu kwa jicho pevu lisiloegemeaupande wowote ule.Mheshimiwa Zitto, kwakauli yako mwenyewe unadai kuwa chama chako, kinakutuhumu kwa usaliti. Na nikwa kauli yako mwenyewe umedai kuwa kuna maeneo uliyojikwaa. Ni maeneo gani hayo? Hujatujuza na kuuanikaukweli huo bayana. Je, maeneo hayounayodai kujikwaa, hayakuwa ni maeneo yenye mkwao wa kiusaliti? Wachunguziwanahoji. Uamuzi wako wa kutoweka bayana makosa uliyoyafanyandani ya chama chako, na ikiwezekana kuomba msamaha, unafungua mlango wa hisiaza kila aina katika muktadha wa usaliti,unaoruhusu kila aina ya tuhuma kukuangukia wewe. Hebu tukunukuu. “ kamamwanasiasa kijana niliyekaa katika siasa sasa yapo mengi mazuri nimeyafanya.Lakini kuna maeneo niliyojikwaa na yapo makosa niliyoyafanya kisiasa katikamaisha yangu ya siasa” Mwisho wa kunukuu. Ni wapi hapo ulipojikwaa kisiasa? Nikimya kitulivu! Kwa vile umenyamazakimya, naomba unipatie nafasi ya kuogelea ndani ya dimbwi hilo la hisia kwakutoa baadhi ya mifano dhahili li kujaribu kufutilia mbali ukungu wa kihisia uliotanda juu yako. Nikiri kwamba, kwa muda mrefusasa nimekuwa mfutiliaji wa karibu wa mwenendo wako kisiasa. Mnamo mwaka 2006ndipo niliopoanza kutilia wasiwasi misimamo yako kisiasa. Nilifikia kuamini kuwa kwa stahili yako yakutaka kupendwa na wote utahafifisha na hatimaye kuizima kabisa ndoto ya hatimayako kisiasa. Nianze kwa kuwekabayana kuwa, Chama cha siasa ni kama jeshi kubwa la watu wenye malengo mamojakwa ajili ya kufikia lengo fulani. Jeshi lolote lile lisilo na nidhamu, kamwe haliwezikuhimili mashambulizi ya adui. Kwa maana nyingine, katikamuktadha wa chama kama jeshi lenye nidhamu, uhuru na demokrasia ya kwelivyapaswa kuyazamwa kupitia mkondo wa sheria na kanuni zinazoongoza chama hicho.Tuseme kwamba, demokrasia na uhuru wamawazo ni watoto mapacha wasiowezakuendelea kunawili bila kunyweshwa maziwa ya nidhamu isiyoghoshiwa. Katika hili, CullenHightower ana mshehenezo huu wenye hekima, anasema, “Displine without freedomis tyranny, freedom without discipline is anarchy”, akiwa na maana kuwa, Nidhamu bila uhuru niunyama, na uhuru bila nidhamu ni machafuko. Pamoja Elimu bora uliyoipata, mimi binafsi nikiwammoja wa watu wanaokutunuku kwa ubongo wako wenye msheheni wa hazina bora kwaajili ya taifa hili, nasikitika kusema kuwa ufifi kitaswira unatia giza tunuhiyo. Moja ya taswira fifi uliyojichorea machoni mwa jamii ni ile ya utovu wanidhamu kwa viongozi wako. Albert Camus anasema, “A man without ethics is a wild beastloosed upon this world.” Akiwa na maana kuwa mtu asiye na miiko ni sawa namnyama wa mwitu aliyeachiwa huru duniani. Kwa mfano, wakati wa kampeni za mwaka2010, halikuwa ni tendo la nidhamu ya kichama kutamka kuwa mwaka 2015 utagombeanafasi ya urais. Hicho hakikuwa kipindi mwafaka kwako kutoa tamko hilo, kwanikwa akili za kawaida tamko hilo lilikutengenezautando wa usaliti wa kampeni husika. Kwa nini utoetamko hilo tata katika kipindi hicho? Una jibu mwenyewe. Lakini kinachotiawasiwasi zaidi ni kwamba mwaka 2015 utakuwa ujatimiza miaka 40 iyonakupatiakete kisheria kugombea nafasi hiyo. Je, iwapo ndoto yako ipo palepale utatumiambinu gani kujiongezea umri wako? Hakunamaduka yanayochuuza umri. Kama kweli hutumiki, kwa nini tusiseme una pupailiyokosa hekima? Ni kizungumkuti! Je hiyo ndiyo kambi yako ya shule ya mawazo kuhusu huru na demokrasia unavyovipigania? Kwa hakika, kuendeleakuishi ndani ya kambi ya shule ya mawazo ya namna hiyo ni sawa na kuelea ndaniya anga la demokrasia na uhuru wakufikirika; vinavyoweza kufananishwana dege la kufikirika linaloongozwa nalubani wa kufikirika aliyebeba abiria wa kufikirika na kisha kusababisha ajali ya kufikirikailiyopelekea misiba maombolezo na mzishi ya kufikirika na hatimaye kuhitimisha kwa ufufuo wa demokrasia na uhuruya kufikirika, isiyolingana na uhalisia wa mahitaji ya hivi sasa ya demokrasiahuru na shindani. Lakini, kuna hili.Chama chako kinakutuhumu ya kuwa una utovu wa nidhamu wa kutoshiriki kikamilifu vikao vya kichama nawakati huohuo ukionekana kuwa mwanaharakati mwenye kusigana na mtazamo wa chamaunachokiongoza kuhusu harakati za kukijenga chama chako kisiasa. Waweza kuwa sahihi kimtazamo, kwamaana ya kuwa na fikra huru zilizopitiliza upeo wa watanzania walio wengi,lakini waweza usiwe sahihi kiprotokali juu ya kipi kianze na kipi kifuate, na ni katika kipindi kipi, na wapi, jambo lipilitendeke ili chama chako unachodai kukipigania kisitetemeshwe na mirindimo ya maamuzi yako. Kwa mtazamo wanguyakinifu, ukiwa kama mwanasiasa mwenyevipaji lukuki na mvuto kisiasa,umeshindwa kusimama upande mmoja na husomeki kwa maana ya kuonesha nidhamukichama. Unaonekana kujenga dola yako ndani ya dola iliyopo, kwa maana yakuhandisi kambi yako ya mawazo nje yautaratibu wa kawaida kupitia vikao halali. Wewe na kundi lako mmefanya mtandaokuwa ofisi rasmi ya kuendesha masuala ya kichama, huku mkijichorea taswira yavijana wenye fikra huru na usasa usio na mipaka na siri za kichama, na hivyokupelekea chama chako kukosa mfumo imara wa kutunza siri zake.Ni mfumo huo wa usasawenye makengeza, ndiyo uliopelekea kundi la watu wachache walio upande wako kuandaa waraka wa siri kwa lengo lakukuandalia njia ya kuuondoa uongozi wa juu uliopo madarakani. Kwa mujibu wakambi yako ya shule ya mawazo, kupitia utetezi wa Dr Kitilla hilo sitatizo. Mfano wa rais Barack Obama,kwamba wapambe wake waliandaa waraka wa siri bila yeye kufahamu, unasigana kwakiasi kikubwa kimkutadha na hali ya sasa.Wakati Barack Obama alionesha utendaji uliotukuka katika nafasi ya usenetakwenye chama na jimbo lake kiasi chakuaminiwa na wanachama wa demokratiki, Zitto, hana sifa hizo ndani ya chamachake.Dr Kitilla anasema kuwakusudi lao lilikuwa ni zuri tu. Je, iwapo kwa nia hiyo anayoibatiza jina la nianzuri, wachama wa Chadema watajenga tabia kuhandisi kambi nyingi zenye watuwanaofanya michakato ya kuandaa nyaraka za siri kwa ajili ya kumpigia chapuomtu wa kwao kama ilivyo hivi sasa ndani ya chama tawala tutegemee nini? Niukweli usiopingika ya kwamba suala la makundi ndilo linalokitafuna chama tawala.Kwa nini ugonjwa huu huu unapoanza kutoa uvundo ndani ya chama kikuu cha upinzani upakwe mafuta ya nadro safi ili kuficha harufu yakehalisi? Hata hivyo, mchakato wowote wa siri unaojaribukuliahafifisha kundi la viongozi waliopo madarakani kwa maneno au kwa taadhila yoyote ile, tena , ndani yachama kilele, hauwezi kubatizwa jina lingine zaidi ya kuupatia jina stahiki,yaani jina la uhaini wa kisasa. Na, kwa hakika inahitajika akili yamwendawazimu kuamini kuwa uandishi wa waraka huo wa siri haukupata baraka zamhusika mwenyewe, ambaye, hata kabla ya hapo ndoto yake kubwa ni kukalika kiticha Mwenyekiti wa chama hicho. Kosa lako si kuutaka uenyekiti wa chama,tatizo ni taswira fifi unayojijengea na unayokijengea chama chako na kuwapafaida ya bure maadui wa chama chako. Kwa kufanya hivyo, si tu unajiweka kwenyeupande wa kutoaminika, bali pia Unajivuruga mwenyewe kitaswira mbele ya jamiiinayokuzunguka. Taswira hiyo ya usalitiinawafanya baadhi ya watafiti kukuona kuwa yawezekana ukawa unatumika nakutumiwa na maadui wa chama chako kwakutambua au bila wewe binafsi kutambua. Na ndiyo maana umekuwa na harufuinayowavutia hata wale wanakesha kuhakikisha chama chako kinasambaratika. Naam,wanatamani uwe kiongozi wa chama wasichokitakia mema! Najua wewe ni kijanabado. Damu yako inachemka. Naam, una matamanio makubwa siku za usoni; na kwa hakika nakubaliana nawe kwa asilimia mia moja ya kwamba viongozi wa CHADEMA walipaswa kuipitia rufaa yako ili kukupatia fursa ya kutumia haki yako ya kujitetea. Tatizo kuu ni taswira yako fifi!Kwa hilo, nakuhakikishia kuwa kwa taswiraya kipopo unayoionesha ni vigumu sana kufanikiwa kufika huko uendako hadiutakapobadilika. Ili uweze kufika huko, pengine, ni salama zaida kamautakubaliana na nukuu ya hekima toka kwa Francis Bacon anayesema kuwa Young menare fitter to invent than to judge; fitter for execution than for council;fitter for new project than for settled business. Ukiwa kama kijana, yapomaeneo unayofaa kuyasimamia. Ungefaa kujikita katika kuvumbua mbinu mpya zakukijenga chama chako unachodai unakipenda kuliko kuwa mfanya maamuzi ya mwishokuhusu hatima ya chama, ungefaa kuwa kwenye jopo la watekelezaj wa visheni namaazimio ya chama chako kuliko kuwa miongoni mwa jopo la mshauri wakuu; Kwa maoni yangu, kutokanana ukweli ya kwamba bado akili zako hazijaonesha utulivu na ukomavu, nakutokana na ukweli kwamba chini ya uongozi wa mwenyekiti aliyepo sasa chamakimepata ustawi wa haraka, na kutokana na ukweli kwamba watu wenye fikra huru,ikiwemo idadi kubwa ya wanachama wa chama chako hawakuamini, si salama ukapewausukani wa kuongoza chama kilichobeba matumaini ya watanzania wengi. Kama nisuala la mabadiliko ya uongozi, chama hakina budi kumteua mtu mwenye surainayosomeka wazi kuwa hawezi kununulika kwa urahisi, sifa ambazo kwa wewezinapelea. Ninasema hivyo kwa sababu matendo yako badoyayajakufanya uonekane ni mjenzi wa chama. Utafiti wa haraka ndani ya mtandaowa Jamii forum, unaonesha kuwa jamii ya watanzania inakusoma ndivyo sivyo. Takwimuza haraka zinaonesha kwamba kati ya watu kumi waliotoa maoni yao juu ya hatimaya kufukuzwa kwako, wawili tu ndio waliopenda ubaki chamani. Kwa maana nyinginematendo yako yanakufanya usisomeke kama mwanachama mzalendo.Msanii maarufu wa Sanaaza uchoraji na uchongaji wa karne ya ishirini nchini Hispania, mwenye jinarefu, pengine kupita yote, ndugu Pablo Diego Jose Francisco de Paul JuanNepomuceno Maria de lose Remedios Cipriano de la Santisima Trinidad Clito RuleyPicasso, kwa kifupi Pablo Picasso anasema kuwa katika Sanaa kusudio tu halitoshi, na kama tusemavyo katikakihispaniola, upendo wapaswa kuthibitishwa kwa matendo na si kwa hoja, kile mtuafanyacho ndicho chenye uzito na si kile ambacho mhusika anapania kufanya! Waziri wa Uingerezahayati Margeret Thatcher anaongezea maneno haya ya hekima akisema No one wouldremember the Good Samaritan if he only had good intention, he had money aswell. Kwamba kisa cha Msamaria mwema kinaendelea kuwa gumzo mijini na mavueni,kutokana na matendo yake, na wala sio nia yake nzuri ya kusaidia. MheshimiwaZitto pamoja nakufanya mambo mengi ya kuigwa ndani ya viunga vya siasa, baadhiya matendo yako ya kila siku yenye suraya usaliti ndiyo adui wako mkuu. Kuhusu suala la uzalendo, George Bernard Show,anasema kwamba, Patriotism is yourconviction that this country is superior to all other countries because youwere born in it. Nukuu hii twaweza kuifanya ifae kichama kwa kubadili neno nchina kuwa chama na ikasomeka hivi; Uzalendo ni Imani yako ya moyoni kwamba chama chakoni bora zaidi kuliko vingine kwa sababu ulizaliwa kwenye chama hicho. Matendoyako yanapaza sauti yakikutambulisha kuwa una uzalendo uliogubikwa nautusitusi. Una uzalendo wa kutilia mashaka. Waziri Mkuu wa zamaniwa Uingereza hayati Margeret Thatcher aliwahi kunena kwamba “ if you set out tobe liked, you would be prepared to compromise on anything at any time, and youwould achieve nothing! Kwa Kiswahili chetu, ni kwamba, kama unatafuta kupendwana wote ungepaswa kujiandaa kukubaliana na kila kitu katika wakati wote ule, nahatimaye hutafanikiwa chochote. Ndugu Zitto, unapaswa kujijengea taswiraisiyokuwa na ukungu ndani ya chama chochote kile utakachokitumikia. Msemo waBwana Yesu, huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja.Kama nilivyodokeza hukonyuma, Mheshimiwa Zitto, umejichoreataswira ya kipopo mbele ya jamii. Hujaonesha wazi kama uko upande gani. Hujajipambanua kama wewe ni popo au ndege yawezekanapengine ni katika jitihada zako za kutafuta uungwaji mkono toka makundi yote. Akizungumzia kuhusu hatari ya tabia yakutoonesha msimamo na mwelekeo halisi, rais wa Marekani, Hayati JF Kennedyaliwahi kutamka kwamba “the hottest place in hell are recerved for those, inthe times of great moral crisis maintain their neutrality. Kwa Kiswahili nawezatafsili hivi: mahali palipo na joto kalisana huko jehanam pamehifadhiwa kwa wale ambao, katika kipindi cha cha dhahamakimaadili wanadumisha hali ya kutokuwa upande wowote. Naomba nitohoe kauli yamke wa rais wa zamani wa Marekani Bi Theodore Roosevelt ili ifae ndani yamkutadha huu. The things that will destroy Zitto kabwe and CHADEMA areprosperity….at any price, peace-at-any price, safety-first instead ofduty-first, the love of soft living, and the get-rich-quick theory of life!Hatari na atharizinazoambatana na mafanikio ya haraka ni kubwa kuliko hatari ya mdororokimafanikio. Kubeba kikombe kilichojaa maji pomoni kwa usalama bila tonekumwagika ni jambo gumu sana kuliko kikombe chenye maji shinda. Ni ukweli yakwamba kasi ya kukua kwa umaarufu wa Zitto na chama chake ni kubwa, namafanikio haya ya haraka yana hatari yenye uwiano sawia. Kwa wanateolojiawabobevu watakubaliana na ukweli huu ya kuwa, ni kiburi cha Lusifakilichotokana ulevi wa kutaka kuwa juu zaidiya nafasi aliyotunukiwa na Muumba ndicho kilichomwangusha chini. Na sasaanaitwa shetani. Kiburi cha mafanikio ni hatari kuliko ukimwi. Tukichukulia kauli hiyo, ya Bi TheodoreRoosevelt, kutafuta mafanikio kwa gharama yoyote ile, kutafuta Amani kwagharama yoyote ile, kutafuta usalama kwanza badala ya wajibu kwanza na kupendamaisha mepesi na nadharia ya maisha ya tajirika haraka, ndiyo maadui wakuuwanaohatarisha hatima ya Zitto Kabwe na chama chake.

Umeeleweka mkuu,ila wanakuja wenyewe na maneno yao ya Shombo.
 
MH; ZITTO: NA WENZAKO MMEJIVURUGANA KUISALITI DEMOKRASIA MNAYODAI KUIPIGANIAMwanadiplomasia wataifa la Amerika, Danieli Webster(1782-1852, aliyejipambanua kupitia vipaji lukuki kama,mnenaji, mwandishi na mwanasheriamashuhuri aliwahi kuandika maneno yenye kubeba ujumbe muhimu sana kwa wanasiasa wa kizazi hiki. Tunukuu,“Good intention will always be pleaded for every assumption of authority. It ishardly too strong to say that the constitution was made to guard the peopleagainst the danger of good intention. There are men in all ages who mean to governwell but they mean to govern. They promise to be good masters but they mean tobe masters.” Tafsili isiyo rasmi. Wakati wote makusudio mazuri yatatumika kama kisingizio kwa ajili ya kiu ya mamlaka.Si kutia chumvi kusema kuwa katibailitengenezwa ili kuwalinda wanadamu dhidi ya hatari ya makusudio mazuri.Katika wakati wote kuna watu wanaomaanisha kutawala vizuri lakini wana maana yakutawala. Wanaahidi kuwa mabwana wazuri lakini wana maana ya kuwa mabwana. Kwa kuzingatiamshehenezo huo mwanana, wachambuzi wa mwenendo wa siasa ndani ya viunga vyachama kikuu cha upinzani chenye kujizolea wafusi wengi nchini na hivyo kuwatishio kwa chama tawala, wanalitafsili saga linaloendelea kusaga bongo zawatafiti wa mienendo ya siasa, kitaifana kimataifa, ndani ya muktadha wa vita vya kugombea madaraka ya kushikiliausukani wa chama hiki. Ni mapambano ya kutawala dhidi ya kuongoza. Ni vita vyanani anafaa kuwa kiongozi na wala sio mtawala, mtu mwenye visheni, misuli napumzi ya kutosha kuhimili upigaji mbizi ndani ya dimbwi taka la siasa shindani kiasi cha kustahili kuvikwa taji ya uchampionidhidi ya mikiki-mikiki ya siasa za maji taka! Kwa sababu hiyo, na kwa kuzingatia muktadha wavita hiyo, mtikisiko unaoendelea ndani ya viunga hivi, kwa hakika hauwezikumalizwa kwa kuchukua hatua nyepesi, na za muda mfupi ili kupata muda wakuvuta pumzi kwa ajili ya kuikabili vita mfufuka pale itakapofumka tena. Nimtikisiko unaohitaji uwekevu wa misuli ya hekima na upeo mpevu unaokwenda maili nyingikimaamuzi juu ya usalama wa chama husika, ambapo kimustakabali, kukosekana kwa utulivu ndaniyake kwaweza kunyong’onyeza vyama vyote vya siasa nchini Tanzania. Hii ni kwasababu kutikisika kwa CHADEMA ni kutikisika kwa taifa, na kwa hakika hakuwezikuwa na tija kwa vyama vingine. Kwa maana nyinginetwaweza kuseme kwamba, vita hii si ya kichama, kama wengi wanavyowezakuitazama;na hakuna raia wa Tanzania atakayesalimika kutokana na msambaratikowa chama hiki kwani msambao wa athari yavita hii una matawi yaliyojieneza kwamadaha kila kona mithili ya pweza huku ukihandisi mifumo yote inayotegemeza mwelekeo wa nchi yetu kisiasa. Naam, mtandao wake unavuka mipaka hadi kuingiandani ya viunga vya chama tawala, na hata ndani ya taasisi nyingine nyetikitaifa na hivyo kuifanya vita hii kuwa moja ya vita mtambuka, inayohita hitimisholenye mikito sahihi kimaamuzi kwa ajiliya mustakabali wenye heri kitaifa. Tutajilidhisha kwa hilo.Kwa vile wahusika wakuundani ya sakata hili. Kambi ya CHADEMA asili na kambi ya CHADEMA mpya, Kilakambi kwa nafasi yake inajaribu kujitengenezea taswira ya kizalendo yenyekuonesha kujali masilahi mapana ya kichama na kitaifa, uchambuzi huru, kwamaana ya kutopofushwa na ushabiki wa kichama waweza kutoa mwanga juu yamwelekeo ulio sahihi kichama na kitaifa, na hiyo yaweza kuwa miongoni mwa tiba stahiki.Tuingia ndani ya viungavya udadavuzi kwa kupitia maneno ya hekima yaliyopata kunenwa na mwanaharakatimashuhuri, Malcolm X. Mwanaharakati huyu aliuawa kwa kupigwa risasi wakati akiwa kwenye harakati kupigani haki zawatu weusi nchini Marekani. Katika siku za uhai wake aliwahi kutamka hivi,You’re not to be so blind with patriotism that you can’t face reality. Wrong iswrong, no matter who do it. Tafsiri,hupaswi kupofushwa na uzalendo kiasi cha kushindwa kubaini huhalisia wa mambo,Kosa ni kosa, haijalishi ni nani amefanya kosa hilo. Kwa kuzingatia ukweli huo,uchambuzi huu umejikita katika kuutazama mgogoro huu kwa jicho pevu lisiloegemeaupande wowote ule.Mheshimiwa Zitto, kwakauli yako mwenyewe unadai kuwa chama chako, kinakutuhumu kwa usaliti. Na nikwa kauli yako mwenyewe umedai kuwa kuna maeneo uliyojikwaa. Ni maeneo gani hayo? Hujatujuza na kuuanikaukweli huo bayana. Je, maeneo hayounayodai kujikwaa, hayakuwa ni maeneo yenye mkwao wa kiusaliti? Wachunguziwanahoji. Uamuzi wako wa kutoweka bayana makosa uliyoyafanyandani ya chama chako, na ikiwezekana kuomba msamaha, unafungua mlango wa hisiaza kila aina katika muktadha wa usaliti,unaoruhusu kila aina ya tuhuma kukuangukia wewe. Hebu tukunukuu. “ kamamwanasiasa kijana niliyekaa katika siasa sasa yapo mengi mazuri nimeyafanya.Lakini kuna maeneo niliyojikwaa na yapo makosa niliyoyafanya kisiasa katikamaisha yangu ya siasa” Mwisho wa kunukuu. Ni wapi hapo ulipojikwaa kisiasa? Nikimya kitulivu! Kwa vile umenyamazakimya, naomba unipatie nafasi ya kuogelea ndani ya dimbwi hilo la hisia kwakutoa baadhi ya mifano dhahili li kujaribu kufutilia mbali ukungu wa kihisia uliotanda juu yako. Nikiri kwamba, kwa muda mrefusasa nimekuwa mfutiliaji wa karibu wa mwenendo wako kisiasa. Mnamo mwaka 2006ndipo niliopoanza kutilia wasiwasi misimamo yako kisiasa. Nilifikia kuamini kuwa kwa stahili yako yakutaka kupendwa na wote utahafifisha na hatimaye kuizima kabisa ndoto ya hatimayako kisiasa. Nianze kwa kuwekabayana kuwa, Chama cha siasa ni kama jeshi kubwa la watu wenye malengo mamojakwa ajili ya kufikia lengo fulani. Jeshi lolote lile lisilo na nidhamu, kamwe haliwezikuhimili mashambulizi ya adui. Kwa maana nyingine, katikamuktadha wa chama kama jeshi lenye nidhamu, uhuru na demokrasia ya kwelivyapaswa kuyazamwa kupitia mkondo wa sheria na kanuni zinazoongoza chama hicho.Tuseme kwamba, demokrasia na uhuru wamawazo ni watoto mapacha wasiowezakuendelea kunawili bila kunyweshwa maziwa ya nidhamu isiyoghoshiwa. Katika hili, CullenHightower ana mshehenezo huu wenye hekima, anasema, “Displine without freedomis tyranny, freedom without discipline is anarchy”, akiwa na maana kuwa, Nidhamu bila uhuru niunyama, na uhuru bila nidhamu ni machafuko. Pamoja Elimu bora uliyoipata, mimi binafsi nikiwammoja wa watu wanaokutunuku kwa ubongo wako wenye msheheni wa hazina bora kwaajili ya taifa hili, nasikitika kusema kuwa ufifi kitaswira unatia giza tunuhiyo. Moja ya taswira fifi uliyojichorea machoni mwa jamii ni ile ya utovu wanidhamu kwa viongozi wako. Albert Camus anasema, “A man without ethics is a wild beastloosed upon this world.” Akiwa na maana kuwa mtu asiye na miiko ni sawa namnyama wa mwitu aliyeachiwa huru duniani. Kwa mfano, wakati wa kampeni za mwaka2010, halikuwa ni tendo la nidhamu ya kichama kutamka kuwa mwaka 2015 utagombeanafasi ya urais. Hicho hakikuwa kipindi mwafaka kwako kutoa tamko hilo, kwanikwa akili za kawaida tamko hilo lilikutengenezautando wa usaliti wa kampeni husika. Kwa nini utoetamko hilo tata katika kipindi hicho? Una jibu mwenyewe. Lakini kinachotiawasiwasi zaidi ni kwamba mwaka 2015 utakuwa ujatimiza miaka 40 iyonakupatiakete kisheria kugombea nafasi hiyo. Je, iwapo ndoto yako ipo palepale utatumiambinu gani kujiongezea umri wako? Hakunamaduka yanayochuuza umri. Kama kweli hutumiki, kwa nini tusiseme una pupailiyokosa hekima? Ni kizungumkuti! Je hiyo ndiyo kambi yako ya shule ya mawazo kuhusu huru na demokrasia unavyovipigania? Kwa hakika, kuendeleakuishi ndani ya kambi ya shule ya mawazo ya namna hiyo ni sawa na kuelea ndaniya anga la demokrasia na uhuru wakufikirika; vinavyoweza kufananishwana dege la kufikirika linaloongozwa nalubani wa kufikirika aliyebeba abiria wa kufikirika na kisha kusababisha ajali ya kufikirikailiyopelekea misiba maombolezo na mzishi ya kufikirika na hatimaye kuhitimisha kwa ufufuo wa demokrasia na uhuruya kufikirika, isiyolingana na uhalisia wa mahitaji ya hivi sasa ya demokrasiahuru na shindani. Lakini, kuna hili.Chama chako kinakutuhumu ya kuwa una utovu wa nidhamu wa kutoshiriki kikamilifu vikao vya kichama nawakati huohuo ukionekana kuwa mwanaharakati mwenye kusigana na mtazamo wa chamaunachokiongoza kuhusu harakati za kukijenga chama chako kisiasa. Waweza kuwa sahihi kimtazamo, kwamaana ya kuwa na fikra huru zilizopitiliza upeo wa watanzania walio wengi,lakini waweza usiwe sahihi kiprotokali juu ya kipi kianze na kipi kifuate, na ni katika kipindi kipi, na wapi, jambo lipilitendeke ili chama chako unachodai kukipigania kisitetemeshwe na mirindimo ya maamuzi yako. Kwa mtazamo wanguyakinifu, ukiwa kama mwanasiasa mwenyevipaji lukuki na mvuto kisiasa,umeshindwa kusimama upande mmoja na husomeki kwa maana ya kuonesha nidhamukichama. Unaonekana kujenga dola yako ndani ya dola iliyopo, kwa maana yakuhandisi kambi yako ya mawazo nje yautaratibu wa kawaida kupitia vikao halali. Wewe na kundi lako mmefanya mtandaokuwa ofisi rasmi ya kuendesha masuala ya kichama, huku mkijichorea taswira yavijana wenye fikra huru na usasa usio na mipaka na siri za kichama, na hivyokupelekea chama chako kukosa mfumo imara wa kutunza siri zake.Ni mfumo huo wa usasawenye makengeza, ndiyo uliopelekea kundi la watu wachache walio upande wako kuandaa waraka wa siri kwa lengo lakukuandalia njia ya kuuondoa uongozi wa juu uliopo madarakani. Kwa mujibu wakambi yako ya shule ya mawazo, kupitia utetezi wa Dr Kitilla hilo sitatizo. Mfano wa rais Barack Obama,kwamba wapambe wake waliandaa waraka wa siri bila yeye kufahamu, unasigana kwakiasi kikubwa kimkutadha na hali ya sasa.Wakati Barack Obama alionesha utendaji uliotukuka katika nafasi ya usenetakwenye chama na jimbo lake kiasi chakuaminiwa na wanachama wa demokratiki, Zitto, hana sifa hizo ndani ya chamachake.Dr Kitilla anasema kuwakusudi lao lilikuwa ni zuri tu. Je, iwapo kwa nia hiyo anayoibatiza jina la nianzuri, wachama wa Chadema watajenga tabia kuhandisi kambi nyingi zenye watuwanaofanya michakato ya kuandaa nyaraka za siri kwa ajili ya kumpigia chapuomtu wa kwao kama ilivyo hivi sasa ndani ya chama tawala tutegemee nini? Niukweli usiopingika ya kwamba suala la makundi ndilo linalokitafuna chama tawala.Kwa nini ugonjwa huu huu unapoanza kutoa uvundo ndani ya chama kikuu cha upinzani upakwe mafuta ya nadro safi ili kuficha harufu yakehalisi? Hata hivyo, mchakato wowote wa siri unaojaribukuliahafifisha kundi la viongozi waliopo madarakani kwa maneno au kwa taadhila yoyote ile, tena , ndani yachama kilele, hauwezi kubatizwa jina lingine zaidi ya kuupatia jina stahiki,yaani jina la uhaini wa kisasa. Na, kwa hakika inahitajika akili yamwendawazimu kuamini kuwa uandishi wa waraka huo wa siri haukupata baraka zamhusika mwenyewe, ambaye, hata kabla ya hapo ndoto yake kubwa ni kukalika kiticha Mwenyekiti wa chama hicho. Kosa lako si kuutaka uenyekiti wa chama,tatizo ni taswira fifi unayojijengea na unayokijengea chama chako na kuwapafaida ya bure maadui wa chama chako. Kwa kufanya hivyo, si tu unajiweka kwenyeupande wa kutoaminika, bali pia Unajivuruga mwenyewe kitaswira mbele ya jamiiinayokuzunguka. Taswira hiyo ya usalitiinawafanya baadhi ya watafiti kukuona kuwa yawezekana ukawa unatumika nakutumiwa na maadui wa chama chako kwakutambua au bila wewe binafsi kutambua. Na ndiyo maana umekuwa na harufuinayowavutia hata wale wanakesha kuhakikisha chama chako kinasambaratika. Naam,wanatamani uwe kiongozi wa chama wasichokitakia mema! Najua wewe ni kijanabado. Damu yako inachemka. Naam, una matamanio makubwa siku za usoni; na kwa hakika nakubaliana nawe kwa asilimia mia moja ya kwamba viongozi wa CHADEMA walipaswa kuipitia rufaa yako ili kukupatia fursa ya kutumia haki yako ya kujitetea. Tatizo kuu ni taswira yako fifi!Kwa hilo, nakuhakikishia kuwa kwa taswiraya kipopo unayoionesha ni vigumu sana kufanikiwa kufika huko uendako hadiutakapobadilika. Ili uweze kufika huko, pengine, ni salama zaida kamautakubaliana na nukuu ya hekima toka kwa Francis Bacon anayesema kuwa Young menare fitter to invent than to judge; fitter for execution than for council;fitter for new project than for settled business. Ukiwa kama kijana, yapomaeneo unayofaa kuyasimamia. Ungefaa kujikita katika kuvumbua mbinu mpya zakukijenga chama chako unachodai unakipenda kuliko kuwa mfanya maamuzi ya mwishokuhusu hatima ya chama, ungefaa kuwa kwenye jopo la watekelezaj wa visheni namaazimio ya chama chako kuliko kuwa miongoni mwa jopo la mshauri wakuu; Kwa maoni yangu, kutokanana ukweli ya kwamba bado akili zako hazijaonesha utulivu na ukomavu, nakutokana na ukweli kwamba chini ya uongozi wa mwenyekiti aliyepo sasa chamakimepata ustawi wa haraka, na kutokana na ukweli kwamba watu wenye fikra huru,ikiwemo idadi kubwa ya wanachama wa chama chako hawakuamini, si salama ukapewausukani wa kuongoza chama kilichobeba matumaini ya watanzania wengi. Kama nisuala la mabadiliko ya uongozi, chama hakina budi kumteua mtu mwenye surainayosomeka wazi kuwa hawezi kununulika kwa urahisi, sifa ambazo kwa wewezinapelea. Ninasema hivyo kwa sababu matendo yako badoyayajakufanya uonekane ni mjenzi wa chama. Utafiti wa haraka ndani ya mtandaowa Jamii forum, unaonesha kuwa jamii ya watanzania inakusoma ndivyo sivyo. Takwimuza haraka zinaonesha kwamba kati ya watu kumi waliotoa maoni yao juu ya hatimaya kufukuzwa kwako, wawili tu ndio waliopenda ubaki chamani. Kwa maana nyinginematendo yako yanakufanya usisomeke kama mwanachama mzalendo.Msanii maarufu wa Sanaaza uchoraji na uchongaji wa karne ya ishirini nchini Hispania, mwenye jinarefu, pengine kupita yote, ndugu Pablo Diego Jose Francisco de Paul JuanNepomuceno Maria de lose Remedios Cipriano de la Santisima Trinidad Clito RuleyPicasso, kwa kifupi Pablo Picasso anasema kuwa katika Sanaa kusudio tu halitoshi, na kama tusemavyo katikakihispaniola, upendo wapaswa kuthibitishwa kwa matendo na si kwa hoja, kile mtuafanyacho ndicho chenye uzito na si kile ambacho mhusika anapania kufanya! Waziri wa Uingerezahayati Margeret Thatcher anaongezea maneno haya ya hekima akisema No one wouldremember the Good Samaritan if he only had good intention, he had money aswell. Kwamba kisa cha Msamaria mwema kinaendelea kuwa gumzo mijini na mavueni,kutokana na matendo yake, na wala sio nia yake nzuri ya kusaidia. MheshimiwaZitto pamoja nakufanya mambo mengi ya kuigwa ndani ya viunga vya siasa, baadhiya matendo yako ya kila siku yenye suraya usaliti ndiyo adui wako mkuu. Kuhusu suala la uzalendo, George Bernard Show,anasema kwamba, Patriotism is yourconviction that this country is superior to all other countries because youwere born in it. Nukuu hii twaweza kuifanya ifae kichama kwa kubadili neno nchina kuwa chama na ikasomeka hivi; Uzalendo ni Imani yako ya moyoni kwamba chama chakoni bora zaidi kuliko vingine kwa sababu ulizaliwa kwenye chama hicho. Matendoyako yanapaza sauti yakikutambulisha kuwa una uzalendo uliogubikwa nautusitusi. Una uzalendo wa kutilia mashaka. Waziri Mkuu wa zamaniwa Uingereza hayati Margeret Thatcher aliwahi kunena kwamba “ if you set out tobe liked, you would be prepared to compromise on anything at any time, and youwould achieve nothing! Kwa Kiswahili chetu, ni kwamba, kama unatafuta kupendwana wote ungepaswa kujiandaa kukubaliana na kila kitu katika wakati wote ule, nahatimaye hutafanikiwa chochote. Ndugu Zitto, unapaswa kujijengea taswiraisiyokuwa na ukungu ndani ya chama chochote kile utakachokitumikia. Msemo waBwana Yesu, huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja.Kama nilivyodokeza hukonyuma, Mheshimiwa Zitto, umejichoreataswira ya kipopo mbele ya jamii. Hujaonesha wazi kama uko upande gani. Hujajipambanua kama wewe ni popo au ndege yawezekanapengine ni katika jitihada zako za kutafuta uungwaji mkono toka makundi yote. Akizungumzia kuhusu hatari ya tabia yakutoonesha msimamo na mwelekeo halisi, rais wa Marekani, Hayati JF Kennedyaliwahi kutamka kwamba “the hottest place in hell are recerved for those, inthe times of great moral crisis maintain their neutrality. Kwa Kiswahili nawezatafsili hivi: mahali palipo na joto kalisana huko jehanam pamehifadhiwa kwa wale ambao, katika kipindi cha cha dhahamakimaadili wanadumisha hali ya kutokuwa upande wowote. Naomba nitohoe kauli yamke wa rais wa zamani wa Marekani Bi Theodore Roosevelt ili ifae ndani yamkutadha huu. The things that will destroy Zitto kabwe and CHADEMA areprosperity….at any price, peace-at-any price, safety-first instead ofduty-first, the love of soft living, and the get-rich-quick theory of life!Hatari na atharizinazoambatana na mafanikio ya haraka ni kubwa kuliko hatari ya mdororokimafanikio. Kubeba kikombe kilichojaa maji pomoni kwa usalama bila tonekumwagika ni jambo gumu sana kuliko kikombe chenye maji shinda. Ni ukweli yakwamba kasi ya kukua kwa umaarufu wa Zitto na chama chake ni kubwa, namafanikio haya ya haraka yana hatari yenye uwiano sawia. Kwa wanateolojiawabobevu watakubaliana na ukweli huu ya kuwa, ni kiburi cha Lusifakilichotokana ulevi wa kutaka kuwa juu zaidiya nafasi aliyotunukiwa na Muumba ndicho kilichomwangusha chini. Na sasaanaitwa shetani. Kiburi cha mafanikio ni hatari kuliko ukimwi. Tukichukulia kauli hiyo, ya Bi TheodoreRoosevelt, kutafuta mafanikio kwa gharama yoyote ile, kutafuta Amani kwagharama yoyote ile, kutafuta usalama kwanza badala ya wajibu kwanza na kupendamaisha mepesi na nadharia ya maisha ya tajirika haraka, ndiyo maadui wakuuwanaohatarisha hatima ya Zitto Kabwe na chama chake.

Umeeleweka mkuu,ila wanakuja wenyewe na maneno yao ya Shombo.

Every one has the right to expression. Acha kuwa na mawazo mgandomwa kusupport mawazo ya watu. Jenga yako. Hao walijenga yao na ndio hayo ambayo mnayanukuu leo. Sio lazima wote tutumie chombo kimoja cha usafiri ili kuweza kufika tunakotaka kwenda, ni ruhusa kila mtu kutumia usafiri anaouona unamfaa, cha muhimu ni kufika kwenye destination tunayotakiwa kufika. Zitto anayo haki hake ya msingi ku-air out his thought kama ambavyo greater thinkers wengine wefanyavyo. Matatizo ya kushindwa kuvumilia fikra na mitazamo ya wengine imeipeleka dunia katika sehemu mbaya zaidi huku matokeo yake makuu yakiwa ni vita na umaskini. Tuliwachukia akina abdallahman babu kutokana na mawazo yaliyokuwa tofauti na kwetu, wakaondoka wakaenda ulaya wakakubalika na kuwa waalimu wazuri wa wazungu. The same ikatokea kwa watu kama lipumba, wenzetu wanawatumia na kusonga mbele. Sis tumebakia na fikra zetu ya kukaririshwa tu kwamba fulani ni bora kulipo fulani. Hayo ni mawazo mgando. Kubalini challenges muweze kusonga mbele.

Tujiuoize, kama wao ni bora zaidi kuliko wengine kwa nini walikimbia walikoanzia kazi zao. Wengine walikuwa viongozi wa kanisa, wengine wafanyabiashara. Kwa nini hawakubaki huko ili kuongoza wana kondoo pamoja, kwa nini hawakubaki huko kuendelez biashara zaomza madanguro walizozizoea. Wamegundua kuwa kwenye siasa kunalipa kwa sababu watu unaofanyanao kazi ni mambumbumbu. Wanachokijua na kushabikia wasiyoyajua. Huko unaweza hata kupeleka risiti za kughushi bila hata kufikishwa polisi. Huko unaweza ukafanya uzinzi na mke wa mtu bila hata kukamatwa ugoni. Huko unawez kusambaza chuki dhidi ya mtu fukani bila hata kuulizwa sababu. TUBADILIKE WATANZANIA.
 
anayesubiri zitto afukuzwe uanachama ili aondoke cdm kachelewa,namshauri aondoke tu,hatuwezi kuwa na watu kama zitto,sisi tunakaribia kushinda vita yeye anakaa upande wa adui na kutushambulia,ni siku nyingi zitto tunamjua kuwa si mwenzetu,bado shibuda,wote hawa wanatumika na tiss kuua chama,zitto alipewa pesa nyingi sana na ighondu,mkakati ukiwa ni angamiza chadema kabla ya 2015.lakini mambumbumbu yameng'ang'ania eti ni chama cha kikanda,ni zitto aliyetolewa shimoni na cdm,hakuna aliyemjua that time,kama ni chama cha kikanda kwa nini hawakumtafuta mtu wa kaskazini ili wampe nafasi hiyo? Issue ipo clear kwamba zitto aliasi chama chini ya uangalizi mkubwa wa kina nchemba,kwa kuwa cdm kuna intellectuals wengi,na intelligence yetu ni kubwa tulibaini mapema hivyo tukajipanga,ni ccm ndo inaeneza chuki za kidini na kikabila,inatapatapa,hailali,ikijua nchi inaondoka,ndivyo vilivyo vyama vingi afrika vilivyotawala muda mrefu,vina ndoto ya kutawala milele,maana watawala wake wana dhambi ya kujibu kwa wananchi.

(yarabi hao wahaini na wasaliti wangekuwa ndani ya ccm wasingekuwa hai leo hii tangu siku ile ya kukamatwa kwa uasi walokuwa wamepanga,mwenzao korea kaskazini issue kama hiyo hiyo kanyongwa fasta fasta.
 
Back
Top Bottom