Sa unachukuaje mkopo kwenda kujenga boss!
moja ya ushauri unapohitaji kuchukua mkopo, pesa unayoomba iwe sawa na ulionayo au iwe ndogo kuliko ulonayo, ukiona dalili za kushindwa kulipa, unachukua pesa yako unalipa,
Pesa usikope kwenda kununua vitu ambavyo havizalishi, mfano samani za ndani...
Sisi hua tunaiga mitindo ya mavazi na tabia za ajabu ajabu, Ila hatuigi mifano ya kuinuka na kupinga mambo yanayo anzishwa na viongozi yenye maslahi kwao huku yakimkandamiza mwananchi. ✍️🧠
😔😔Nikiwa na Miaka 18, nilipata shavu Kwa kampuni moja, nilipata pes nyingi, ktk account nilikuw na kama M 3 hapo nina miez m 7 ktk kaz. Na ulikuwa ni mwaka 1 tangu nimehitimu Kidato cha 4
Sas sijui nizifanyie kitu gan, Nikamshirikish mzee, cha kwanz alinisihi ninunue kiwanja, Daaah..!! Mm akil...
Ilikuwa ni zamani, ambapo viongozi walikuw wazalendo,sio zama hizi !. Unajua kwa nn nyerere alipiga marufuku matajiri wasigombee nafasi za uongozi au kupewa uongozi. Think twice Mr ✍️🧠
Huyo hakusoma hiyo miswaada iliopitishwa na kuwa sheria ktk tume ya uchaguzi ndio maana anakurupuka, angesom vizuri asinge andika asichokijua.
Watanzanzia wengi hatuna tabia ya kujifunza mambo ya msingi au kusoma, ili kuepuka kufuata mkumbo, ukweli simshangai maana kama "Huijui akiba ni...
Africa yetu wananchi washashtuka, Viongozi wanatengeneza mifumo ya kuwanufaisha watu wachache, Hasahasa wao na nafamilia zao, huku maisha ya wananchi yakibakia kuwa magumu
Tunahitaji mabadiliko ndio tiba 🙏
✍️🧠Nimesoma vizuri huo uzi, nilichogundua viongozi wetu ni walafi wa madaraka, yaani uongozi umegeuzwa mitaji, Sasa hivi kiongozi hatafuti uongozi ili kusimama badala ya wananchi ni kwa maslahi yake binafsi.
Ukichunguza vizuri hiyo miswaada iliopitishwa na kuwa sheria, kilichobadirika ni maneno...
Johannesburg Ni miongoni mwa majiji hatari duniani, inashika nafasi ya 5
Ndugu yangu aliwahi kunusulika mara 3 kupigwa risasi, aliwahi sema hatowaza au kutamani kuishi south africa pamoja na kuwa alikuwa na ajira ya kulipwa pesa nyingi yupo TZ na anaendele vizuri na maisha yake😔
Pole sana kwa...
Mpendwa dini gani inamlazimisha mtu kutii mafundisho au maagizo yake, dini inakufundisha kutii mafundisho juu imani hiyo, Maana yake unaweza ukayafanyia kazi au usiyafanyie kazi utakayofundishwa
Ingekuwa ni lazima watu wengi hadi sasa wangekuwa hawana dini Maana imani hailazimishwi, hilo ni...
✍️🧠Linapokuja swala la kulazimisha mtu afuate unachokiamini ktk imani, inamaanisha hakuna maana ya kungoja hiyo hukumu unayo ihubiri kwa watu ktk kuingoja, mana tayari umeshaanza kuitoa wewe na sio Mungu kama unavyohubiri watu
kwa Mungu kuna pande mbili tu,
1.kumkubali/kumkiri
2.Au kumkataaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.