Baraka za Mungu hazichagui mtu, bali yeyote aliyetayari kuzipata na kuzitumikia basi Mungu humpa bila hiana. Isitoshe hakuna mwenye haki dhidi ya mwingine hapa duniani sote ni wenye dhambi, huyu ni rais wetu sasa hatuna budi tumwombee
Katika historia ya dunia hajawahi kutokea rais dhaifu kama Mh. JK.Kikwete sijawahi kupata hata mfano wake kwakweli, watz tumedharaulika mno kwa sababu yake
Nimejikaza nisiseme lakini ngoja niseme tu. Yani sipati picha namna angeanzaje anzaje kuzirudisha zile fedha alizokuwa anagawa makanisani, misikitini na kwa vijana wetu wa boda boda kama anatupia kuku mchele. Sijui angewafanya nini Mwakyembe, Dr. Slaa, Kikwete, viherehere wote na wajumbe wa...
kujitia najisi, ubaradhuli wake kujionyesha mzalendo kwa kupanda daladala Tandale ndio uzalendo kweli??? Alikua wapi pindi vyama vingi vimeanzishwa hadi sasa? Kama alifikiri IKULU yetu inapewa watu mashuhuri Mr. Nice angeingia magogoni 2005
Kushindwa kuonyesha uwezo wake kiutendaji kama mbunge wa Monduli kwa kipindi chote cha uongozi wake kwa miaka 25
Pamoja na kuwa kada wa CCM kwa muda mrefu alidiriki kuitupia uchafu CCM ambayo imemlea kwa miaka zaidi ya arobaini akiwa kama mmoja wa waliofaidika nayo.
Kutoonyesha makeke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.