Recent content by Dr Che Guevara

  1. Dr Che Guevara

    Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

    Hahahah... Muhuni tu huyo,,
  2. Dr Che Guevara

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Nenda hospitali yoyote ya wilaya.. Kuna wataalamu wengi na wazuri,, mambo yasipokua mazuri wao watakupa Rufaa ya kwenda hosp ya juu.
  3. Dr Che Guevara

    Nisaidie jamani, nina hamu ya kufanya mapenzi

    Usiogope mumeo kuibiwa dada.. baada ya wiki sita waweza rudi mchezoni lakini iwe kistaarabu sio kukomeshana.. na mkikunjana ka mnataka kuigiza muvi hiyo pesa ya kushonea mnipe ntakushona tena.
  4. Dr Che Guevara

    Dawa ya upungufu wa nguvu za kiume jamani

    hili tatizo naona lipo kweli,, watu pm ni shida hii tu,, mkuu nikipata nafasi nitajaribu kuweka ninachojua juu ya hili maana siku hizi si hosp si humu ndani hii imekua mada ya taifa.. Poleni nyote
  5. Dr Che Guevara

    Ulaji wa maini!

    Sawa kuna mengi ila nilikua na haraka... iko hivi,, Maini ndipo sehemu ambapo Iron toka kwenye breakdown ya Red blood cell hutuzwa hivo, maini ni chanzo kikubwa cha iron ambayo husaidia katika uzalishaji wa chembe hai nyekundu za damu. Maini pia ni chanzo kikubwa cha folate, Maini ni chanzo...
  6. Dr Che Guevara

    Ujumbe kwa wanaume wanachuo

    Lakini si vizuri kujipeleka kwa mwanaume wakati hajajitambulisha kwenu.. kwann unakubali kuishi kinyumba ktk hali kama hiyo..? wanasema hivi PT.. PIGA TU
  7. Dr Che Guevara

    Nijulisheni dawa ya kuleta njaa

    asidi ile haina madhara mama.. tena wakati huu inabidi atumie sana matunda kama tikiti, chungwa, ndizi na maji ya kutosha.. Huyo mtu amepoteza hamu ya chakula toka lini na ni me/ke..?
  8. Dr Che Guevara

    Ulaji wa maini!

    maini yanafaida nyingi sana tena sana hasa kwa waliopungukiwa damu inachohoea erthropoiesis.. kula maini kwa afya yako..
  9. Dr Che Guevara

    Tatizo la kuzidi kwa kiwango cha damu mwilini

    Umejuaje mkuu..? umeshafanya vpimo au ndo zle prove za asili..?
  10. Dr Che Guevara

    Kutafuta jinsia ya mtoto kabla hajazaliwa

    Hahahah.. BS,, umenikumbusha mbali sana.. enzi zile nilikua nakipenda sana hiki kitabu.. ila kwa facts za reproduction hasa namna ya kupata mtt hakipo vzr
  11. Dr Che Guevara

    Wanawake na style mpya ya kujifungua

    yani wanawake wengi wa mijini wanamatatizo sana.. wengine wanadiriki kutumia pesa ili tu wapasuliwe na wengne wanashindwa kuzaa kawaida kwasabab za kujitakia na za kijinga.. visu vtawauwa wamama
  12. Dr Che Guevara

    Naomba kufahamu kiwango cha mishahara kwa mtu mwenye Diploma ya Dentall Therapy

    mkuu unataka ukasome hiyo kitu au kuna jambo jingine.. mshahara wa mtu ni siri ila njoo PM
  13. Dr Che Guevara

    Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

    Huwezi kuziona sperm zilizo bora kwa macho,, lakini rangi yake inaweza kukupa muelekeo fulani.. ili ujue ubora wa shahawa zako ni lazima uende hosp kwaajili ya vipimo. Mara nyingi vipimo vina base ktk Quantinty, Motility, na Quality. Vipi mkuu una tatizo kwani?
Back
Top Bottom