Usiogope mumeo kuibiwa dada.. baada ya wiki sita waweza rudi mchezoni lakini iwe kistaarabu sio kukomeshana.. na mkikunjana ka mnataka kuigiza muvi hiyo pesa ya kushonea mnipe ntakushona tena.
hili tatizo naona lipo kweli,, watu pm ni shida hii tu,, mkuu nikipata nafasi nitajaribu kuweka ninachojua juu ya hili maana siku hizi si hosp si humu ndani hii imekua mada ya taifa.. Poleni nyote
Sawa kuna mengi ila nilikua na haraka... iko hivi,,
Maini ndipo sehemu ambapo Iron toka kwenye breakdown ya Red blood cell hutuzwa hivo, maini ni chanzo kikubwa cha iron ambayo husaidia katika uzalishaji wa chembe hai nyekundu za damu.
Maini pia ni chanzo kikubwa cha folate, Maini ni chanzo...
Lakini si vizuri kujipeleka kwa mwanaume wakati hajajitambulisha kwenu.. kwann unakubali kuishi kinyumba ktk hali kama hiyo..? wanasema hivi PT.. PIGA TU
asidi ile haina madhara mama.. tena wakati huu inabidi atumie sana matunda kama tikiti, chungwa, ndizi na maji ya kutosha.. Huyo mtu amepoteza hamu ya chakula toka lini na ni me/ke..?
Hahahah.. BS,, umenikumbusha mbali sana.. enzi zile nilikua nakipenda sana hiki kitabu.. ila kwa facts za reproduction hasa namna ya kupata mtt hakipo vzr
yani wanawake wengi wa mijini wanamatatizo sana.. wengine wanadiriki kutumia pesa ili tu wapasuliwe na wengne wanashindwa kuzaa kawaida kwasabab za kujitakia na za kijinga.. visu vtawauwa wamama
Huwezi kuziona sperm zilizo bora kwa macho,, lakini rangi yake inaweza kukupa muelekeo fulani.. ili ujue ubora wa shahawa zako ni lazima uende hosp kwaajili ya vipimo.
Mara nyingi vipimo vina base ktk Quantinty, Motility, na Quality. Vipi mkuu una tatizo kwani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.