Ujumbe kwa wanaume wanachuo

Ujumbe kwa wanaume wanachuo

Mbona mnatupia lawama upande mmoja tu, hivi wanaume mkiacha kutongoza na mkakataa kutongozwa na hawa wanawake kuna kitakachoendelea? Mabadiliko yanatakiwa kwa wote na si kwa jinsia moja.
Ngono kwa wanafunz haitakiwi, tuchukue hatua.!
 
Lakini si vizuri kujipeleka kwa mwanaume wakati hajajitambulisha kwenu.. kwann unakubali kuishi kinyumba ktk hali kama hiyo..? wanasema hivi PT.. PIGA TU
 
Mnaacha kufanya kilichowapeleka huko chuoni kazi Ni mapenzi shenzi Sana nyie.
 
Wazazi wanachangia sana kuharibu watoto wao malezi ya uzungu mwingi haya-suite mazingira ya hapa nyumbani ndo sababu wakienda vyuoni wanafanywa vile ma boyfriend wanataka. Nyumbani walihakarishiwa u-boy friend na u-girlfriend na hayo ndo matokeo lkn wakati mwingine kufuata mkumbo ni tatizo, wanafunzi fanyeni kilichowapeleka chuoni. Good time zinawaponza sana!
 
wamezidi kujirahisi mno sijui shida nn na mtgongwa mpaka mtoke sugu kwann mnaendekeza ziki tulieni msome au mtafute eanaume wa hadhi yenu
 
Inauma sana na nawa hurumia sana hawa wanawake...
ILA ACHA WACHAPWE NA KUFUNDISHWA ADABU,,
ASIYE FUNZWA NA MAMAYE HUFUNZWA NA ULIMWENGU,,
Pumbaff kabisa..
 
sasa na wew mdada ulienda chuo kusoma ama kuwekwa kinyumba....? safi sana kwa wanaume wanaofanya hivyo......maana wanachukua nafasi za baba zao kuwapiga vibao kwa upuuzi wanaoufanya.......na muwanyanyase mpaka wakumbuke kilichowapeleka chuoni......

Exactly!!
 
Mmezidi na nyie wacha mugongwe, inamana ao wadada ni watoto wadogo kias cha kwamba awajitambui ni wapumbavu wenyewe kama mtu mzma timamu awez kukubali kufanywa mke. Tena nawaasa wanaume wenzangu pigen pumbu mpk wakome.
 
Wao wanakubalije kukaa na wanaume ambao hawajawalipia mahari!!!!!
 
Hapa ndipo ninapoona wanawake wengine ni ajabu hivi unawezaje kuishi na mwanaume ambae hajakutolea mahali? Hebu badilikeni ndiyo maana mnaachwa mnawadekeza mno hao vidume wenu loooo!
 
Mmezidi na nyie wacha mugongwe, inamana ao wadada ni watoto wadogo kias cha kwamba awajitambui ni wapumbavu wenyewe kama mtu mzma timamu awez kukubali kufanywa mke. Tena nawaasa wanaume wenzangu pigen pumbu mpk wakome.

...nilichokiona kigambonino, sikuwahi kukifikiria but labda ndo maisha walioyachagua.!
 
Sasa kama ni kifront front chao kwa nini wasinyanyaswe...

Chuo umeenda kusoma au kugawa kipochi manyoya???
 
Kwa mabinti.

Kiherehere chenu ndio kinawasababishia haya.

Hata JK anajua hilo.ndio maana hakumumunya maneno alipoulizwa kuhusu mimba mashuleni.

Mna viherehere sana nyinyi.kwani mmeenda kuolewa huko!!!!!!!??????
 
...nilichokiona kigambonino, sikuwahi kukifikiria but labda ndo maisha walioyachagua.!

Mkuu mimi mshikaji wangu kabsa kpindi tupo chuo aliweka mtoto ndani yan alikuwa kama ameoa vile matokeo yake amepiga mimba kwao mtoto kafukuzwa alafu alikiwa certificate ilikuwa ni shida kwa iyo ao wadada awajielewi wacha wanyooshwe na ulimwengu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom