Nikwambie kitu wewe na ukoo wako wote yaani MJIJUMLISHE WOTEEEEEEE
Hamna kitu chochote yaani chochote mnacho nizidii kwenye all sphere of life.
Kwanza unapata favor/bahati kuchat au kujibu comment zako.
Mimi na vingi vya kuonyesha niliviomba pale...japo sisali pale ila mara ELFU niende kwa mwamposa ibadani kawe nikiwa na Imani na SADAKA YaNGU kuliko kwenda kwa waganga wa Dunia
Sina muda wa kubishana humu..kwa kifupi manabii wa Mungu na mitume wake Wana uwezo wa kufanya mengi kwa jina la Mungu mkuu muumba wa mbingu na ardhi na vyoteee vilivyomo.
Kwa kifupi, ahadi kuu za Mungu kwa Sulemani zilikuwa: hekima, ufahamu, utajiri, heshima, utukufu, na maisha marefu (kwa...
Pale Kuna upako japo Mimi ni mlokole mambo Leo.
Naandika nikiwa na akili timamu Mimi nikiwa na jambo lolote Huwa naenda pale..
Unajua Huwa nafanya nini..KUNA SADAKA MOJA HII HUWA INAFUNGUA NEEMA, BAHATI, NYOTA KUNG'AA, CONNECTION, DEALS, KAZI, MAFANIKIO KWA JAMBO NALO LITAKA.
HUWA NATOA...
Nenda pm upate utajiri...Mimi mambo ya Mali za dawa/ ushirikina mwisho wake Huwa ni mbaya sanaa refer yule pedjeshe wa ki Botswana na kina chief godlove
Hakuna kitu kigumu kama kuishi kwa masharti yaani ni jambo la muda utakosea TU.
Ni Bora mara mia uende kwa mwamposa kuliko mambo ya uganga na Mali za kichawiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.