Recent content by Dr am 4 real PhD

  1. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Kwanini unaenda bar na maeneo ya starehe?

    Hakika
  2. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Kwanini unaenda bar na maeneo ya starehe?

    Sisi ni watu waamani
  3. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula aitaka Serikali ya Tanzania itoe maelezo kuhusu tuhuma dhidi yake kupeleka watu kusaidia kupora Zambia!

    😁🗞️😀 ulazwe pema peponi... ila wewe ni NYOKO😁 KUDADADEKI
  4. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Afariki dunia baada ya kugongwa Na lori lililo beba Ciment

    Shuhudiaga hizi ajari tukiwa kwenye uzima tujiulize tuna jali nini? Maisha fumbo hakuna anae ijua Leo yake... Though naishi na ulemavu wangu na maumivu yangu ya ajariii yangu Asante Mungu nipo hai Leo
  5. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Brother angu una makasiriko sanaa sanaa sanaa Ngoja nianze kupiga JIBAPA HAPA BAADA YA KULA UGALI NA KUKU WA KIENYEJIII
  6. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    Yes, Mimi pia first time nilikutana na majanga no English no service aiseee siku iyo nili fluent kiwingereza kama mtoto wa malkia
  7. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    Kuna ma askari walipiga watu na kuwavunja miguu na mikono mbele ya mahakama na hawakufanywa kitu. NB. Mahakama za kidunia kwenye utoaji haki ziliaminikaga... Kwa Sasa mahakama ya TANZANIA NI KAMA TOILET PAPER 🗞️ UNAITUMIA KUFUTIA KINYESI NA KUITUPA.. MAANA JAJI, HAKIMU NI MAKADA WA CCM BPP...
  8. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    Ivii Mbona tuna watu WAJINGA WAJINGA NAMNA HII IVII MADEREKA KAONGEA BAYA GANIII??!
  9. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    Hapa nimekuelewa vyema Hana budii kujifunza kwa bidii Kingereza ni lugha kama lugha zinginee
  10. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    Leo nimepiga ngeli kidogo na wazambia wawili Binafsi nakosaga wa kuongea nao umombo maana Huku usukumani hukawii kuambiwa unajimwambafy ☺️😁
  11. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    Mkuu naona una mvimbia mtoa thread naomba tuanze debate Mimi na wewe kwa umombo☺️😁😁☺️
  12. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    Mkuu naona una mvimbia mtoa thread naomba tuanze debate Mimi na wewe kwa umombo
Back
Top Bottom