Shuhudiaga hizi ajari tukiwa kwenye uzima tujiulize tuna jali nini?
Maisha fumbo hakuna anae ijua Leo yake...
Though naishi na ulemavu wangu na maumivu yangu ya ajariii yangu Asante Mungu nipo hai Leo
Kuna ma askari walipiga watu na kuwavunja miguu na mikono mbele ya mahakama na hawakufanywa kitu.
NB. Mahakama za kidunia kwenye utoaji haki ziliaminikaga... Kwa Sasa mahakama ya TANZANIA NI KAMA TOILET PAPER 🗞️
UNAITUMIA KUFUTIA KINYESI NA KUITUPA.. MAANA JAJI, HAKIMU NI MAKADA WA CCM
BPP...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.