Recent content by Dr am 4 real PhD

  1. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Niweke wazi mlezi mkuu ni Mungu pekeake Wengine tumejilea wenyewe na kujionea hili baya hili zurii... Kuna dogo baba Yao alikua mkali sana ukitoka shule saa nane unakula then kulala mchana baadae tution jioni Walikua wanabanwa sana ila mbona mzee hakutoboa Wengine tumejilea wenyewe mpaka...
  2. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania No case to answer"

    Kwa nini Sasa, ila naona the same. Itakua Kuna MAELEKEZO kutoka juu. Ila hakuna haja ya mivutano haki ionekane na itekelezwe
  3. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Baada ya Lissu kuachiwa Huru Ijumaa tuelekezwe njia za kupita zitakazohimili Maandamano Makubwa

    CCM WAPO HUMU WANACHUKUA NOTES..
  4. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Je, mwanaume ulishawahi kugeuzwa mchepuko na ukachukulia poa?

    Wese jingi... Usisahau wese jingii
  5. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Lissu Inatakiwa Afunguliwe Mashtaka Mapya Kabisa na kufanya Uchunguzi Juu ya Kauli zake zilizotolewa Mwaka jana kabla ya Uchaguzi.

    Thlaatlaa na Lucas ni PWAGU NA PWAGUZII😁😁😁😀😂
  6. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Lissu Inatakiwa Afunguliwe Mashtaka Mapya Kabisa na kufanya Uchunguzi Juu ya Kauli zake zilizotolewa Mwaka jana kabla ya Uchaguzi.

    Badala ya kupambana na maadui wa TAIFA tulio aminishwa toka uhuru ambao ni UJINGA UMASKINI NA MARADHI wewe unapambana na LISSU NB. MPAKA LEO LICHA YA MIAKA 60'S YA UHURU BADO KUNA SEHEMU WANA SHARE MAJI NA FISI, BADO SHULE HAINA MADAWATI NA MASHIMO YA CHOO LUCAS MWASHAMBWA NI UBWA (MUMBWA)
  7. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Kwa Tabia hizi za kuacha kazi nina matatizo au?

    Pole sana ndugu yangu... Ukweli ni kwamba wewe HUJAWAI KUPATA KAAZI kwenye orodha yote uliyo iweka.. Wewe unapata ""SURVIVAL JOB"" izo zotee ni survival job Hizo unafanya ukiwa una chase dreams zako "SURVIVAL JOBS"" NB. SIKU UKIPATA KAZI HUWEZI KUA NA MAWAZO KAMA HAYO TENA NA HAUTO ACHA...
  8. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Kwa Tabia hizi za kuacha kazi nina matatizo au?

    Pole sana ndugu yangu... Ukweli ni kwamba wewe HUJAWAI KUPATA KAAZI kwenye orodha yote uliyo iweka.. Wewe unapata ""SURVIVAL JOB"" izo zotee ni survival job Hizo unafanya ukiwa una chase dreams zako "SURVIVAL JOBS"" NB. SIKU UKIPATA KAZI HUWEZI KUA NA MAWAZO KAMA HAYO TENA NA HAUTO ACHA...
  9. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Lissu kuachiwa Agosti 21?

    Natangaza kreti 5 za bia kwa Wana mabadiliko woteeeeeee watakao kua viunga vya mahakama kujipongeza.. NB. TUNDU LISU AKIACHIWA INABIDI AWE MPOLE KWA SASA AKIANZA KUWABAGAZA NA KUSEMA AMEWAGALAGAZA KINA LUCAS NA THLAATLAA WATA NUNA SANAA HAKUNA NAMNA Cc. min -me
  10. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa Mama Mjane aliyehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kosa la kununua mihogo ya wizi ya shilingi elfu kumi .

    Watakua labda kaibiwa sana mpaka ku ghafirika ila for sure 😃 Mimi kama jaji ninge futa kesi maana kesi zingine ni za kumalizia kwa balozi wa nyumba kumikumi
  11. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Kwanini unaenda bar na maeneo ya starehe?

    Hakika
  12. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Kwanini unaenda bar na maeneo ya starehe?

    Sisi ni watu waamani
  13. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula aitaka Serikali ya Tanzania itoe maelezo kuhusu tuhuma dhidi yake kupeleka watu kusaidia kupora Zambia!

    😁🗞️😀 ulazwe pema peponi... ila wewe ni NYOKO😁 KUDADADEKI
Back
Top Bottom