Recent content by Dr am 4 real PhD

  1. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanauke: Mbinu za kupata utajiri usioyumba [Kushuka yaani ni Kupanda tu hadharani]

    Nikwambie kitu wewe na ukoo wako wote yaani MJIJUMLISHE WOTEEEEEEE Hamna kitu chochote yaani chochote mnacho nizidii kwenye all sphere of life. Kwanza unapata favor/bahati kuchat au kujibu comment zako.
  2. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanauke: Mbinu za kupata utajiri usioyumba [Kushuka yaani ni Kupanda tu hadharani]

    Mimi na vingi vya kuonyesha niliviomba pale...japo sisali pale ila mara ELFU niende kwa mwamposa ibadani kawe nikiwa na Imani na SADAKA YaNGU kuliko kwenda kwa waganga wa Dunia
  3. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanauke: Mbinu za kupata utajiri usioyumba [Kushuka yaani ni Kupanda tu hadharani]

    Sina muda wa kubishana humu..kwa kifupi manabii wa Mungu na mitume wake Wana uwezo wa kufanya mengi kwa jina la Mungu mkuu muumba wa mbingu na ardhi na vyoteee vilivyomo. Kwa kifupi, ahadi kuu za Mungu kwa Sulemani zilikuwa: hekima, ufahamu, utajiri, heshima, utukufu, na maisha marefu (kwa...
  4. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

    Kuna siku nimepeleka kambale kagoma kupika 😊😁
  5. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanauke: Mbinu za kupata utajiri usioyumba [Kushuka yaani ni Kupanda tu hadharani]

    Pale Kuna upako japo Mimi ni mlokole mambo Leo. Naandika nikiwa na akili timamu Mimi nikiwa na jambo lolote Huwa naenda pale.. Unajua Huwa nafanya nini..KUNA SADAKA MOJA HII HUWA INAFUNGUA NEEMA, BAHATI, NYOTA KUNG'AA, CONNECTION, DEALS, KAZI, MAFANIKIO KWA JAMBO NALO LITAKA. HUWA NATOA...
  6. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

    Nawaonaga kwa mbali na sijawai tamani kula nikama wale wanakula ngoziiii za wanyama
  7. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanauke: Mbinu za kupata utajiri usioyumba [Kushuka yaani ni Kupanda tu hadharani]

    Nenda pm upate utajiri...Mimi mambo ya Mali za dawa/ ushirikina mwisho wake Huwa ni mbaya sanaa refer yule pedjeshe wa ki Botswana na kina chief godlove
  8. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanauke: Mbinu za kupata utajiri usioyumba [Kushuka yaani ni Kupanda tu hadharani]

    Hakuna kitu kigumu kama kuishi kwa masharti yaani ni jambo la muda utakosea TU. Ni Bora mara mia uende kwa mwamposa kuliko mambo ya uganga na Mali za kichawiii
  9. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

    Inabidi kula ukiwa na njaa ndio ujifunze...kama Wala ashua za MBUZI,KONDOO E.T.C Kuna wanakula mpaka Ngozi za n'gombe
  10. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

    Binafsi sijawai kula hao papa, nguru ila nasikiaga wanadaresalama wakisema n'gonda Huwaga na harufu Kali sana akivunda JE? Kuna ukweli wowote
  11. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

    Hao nawasikiaga TU. Siwajui ila NIMEWAI kula PRONZE wale wakubwaa umewai kula PRONZE WANAUZWAGWA MAHOTEL MAKUBWA YA WATALII BEI GHALI SANA
  12. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania LIVE UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Arsenal akishinda nipewe ban ya siku 3, nimechoka kelele zao😵‍💫

    Arsenal bingwa... Kuna mbuzii Nimenunua pombe bureeeee kabisaa.. Kesho iyoo mwenye mudaa kesho nimpe location 😊 madee atakua mgeni rasmi
  13. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana unaetaka kuanzisha familia kwa mara ya kwanza, achana na single mother

    Uzi ufungwe umemaliza kula kitu 😊
  14. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

    Naonaga nikiwa naenda chamazi hapo mbagala wanauzaga...Leo ndio nimejua kua ni papa japo sijawai kulaagaa
  15. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

    Tupe utofauti wake
Back
Top Bottom