Niweke wazi mlezi mkuu ni Mungu pekeake
Wengine tumejilea wenyewe na kujionea hili baya hili zurii...
Kuna dogo baba Yao alikua mkali sana ukitoka shule saa nane unakula then kulala mchana baadae tution jioni
Walikua wanabanwa sana ila mbona mzee hakutoboa
Wengine tumejilea wenyewe mpaka...
Badala ya kupambana na maadui wa TAIFA tulio aminishwa toka uhuru ambao ni UJINGA UMASKINI NA MARADHI wewe unapambana na LISSU
NB. MPAKA LEO LICHA YA MIAKA 60'S YA UHURU BADO KUNA SEHEMU WANA SHARE MAJI NA FISI, BADO SHULE HAINA MADAWATI NA MASHIMO YA CHOO
LUCAS MWASHAMBWA NI UBWA (MUMBWA)
Pole sana ndugu yangu...
Ukweli ni kwamba wewe HUJAWAI KUPATA KAAZI kwenye orodha yote uliyo iweka..
Wewe unapata ""SURVIVAL JOB"" izo zotee ni survival job
Hizo unafanya ukiwa una chase dreams zako "SURVIVAL JOBS""
NB. SIKU UKIPATA KAZI HUWEZI KUA NA MAWAZO KAMA HAYO TENA NA HAUTO ACHA...
Pole sana ndugu yangu...
Ukweli ni kwamba wewe HUJAWAI KUPATA KAAZI kwenye orodha yote uliyo iweka..
Wewe unapata ""SURVIVAL JOB"" izo zotee ni survival job
Hizo unafanya ukiwa una chase dreams zako "SURVIVAL JOBS""
NB. SIKU UKIPATA KAZI HUWEZI KUA NA MAWAZO KAMA HAYO TENA NA HAUTO ACHA...
Natangaza kreti 5 za bia kwa Wana mabadiliko woteeeeeee watakao kua viunga vya mahakama kujipongeza..
NB. TUNDU LISU AKIACHIWA INABIDI AWE MPOLE KWA SASA
AKIANZA KUWABAGAZA NA KUSEMA AMEWAGALAGAZA KINA LUCAS NA THLAATLAA WATA NUNA SANAA HAKUNA NAMNA
Cc. min -me
Watakua labda kaibiwa sana mpaka ku ghafirika ila for sure 😃
Mimi kama jaji ninge futa kesi maana kesi zingine ni za kumalizia kwa balozi wa nyumba kumikumi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.