Nan kakwambia kuwa nyege ni tusi? Nyege ni hali ya kutama kufanya mapenzi. Nasio tendo ili liwe tusi ni lazima lihusishwe na kitendo. Matusi mengi unaojua wew ni vitenzi. Ila nyege sio kitenzi ni hali
Bora unge kaka kimya uzi wako haulewek nan kakwambia cash ndo kipimo cha ubilionea? Et hana cash ana mali sasa hzo mali zimetokana na nn kama co cash. Utajili unapimwa kutokana na asset ulizonazo pamoja cash. Et mali alizonazo ni zetu au kwa sabab unaona ngoz nyeupe ndo unahis co mtanzania ...
Habar yako haielewek af pia acha kufua jina la kampuni hcho kicha cha habari yako akiendan na ulichoandika kwann huyo mtuumiwa ucmtaje kwa majina ake had utaje CRDB?
Mkuuu we ni mshabiki mtazamaji wa mafaniko ya wenzako. Sasa hayo magari na majumba mazur we binafsi unanufaika vip nayo. We binafsi unamirik nn. Au ndo wafurahia kuona hayo magari na majumba ya bakharesa. Think out the box
Mkuu heb jtahid uelewa kujua huko hana kiwembe wala Silaha ni baada ya kuwa tayari kachezea risas. Hoja ya msingi unajuaje sasa kama hana silaha na wakatimhuo anakimbia kukufuata. Af hili ni jeshi na jeshi halina mtuumiwa wala mhalifu Lina ADUI TU
Mkuu heb tofautisha kati ya magerez, polisi na jeshi(JWTZ) hzo sheria unazosema sidhan kama iko applicable na JWTZ. Labda wataalam wa mambo ya usalama waje watueleze .Pili kumbuka kwamba ilikuwa mda wa usiku je kama ulikuwa ana bomu. Unapata wap ujasili kumkamata mtu husiku kwa mbinu nyngne mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.