Recent content by Dozencut

  1. Dozencut

    Walimu wakuu na wakuu wa shule za Serikali wapewe mamlaka yakufukuza walimu wasiowajibika ipasavyo

    Kufukuzwa siyo kitu rahisi kama unavyozani, au unafikiri shule hiyo itakuwa na walimu wawili tu? Kuna walimu kibao watakuwepo hapo shule, siyo mkuu wa shule atafukuza bila walimu wenzake kujua, Mwalimu atafukuzwa baada ya walimu wote kutambua, kosa litaonekana, na kama anafindisha every thing...
  2. Dozencut

    Our man in New Delhi, Balozi John Kijazi aka flipflop, kama kazi imekushinda staafu

    Kama hili lingetokea kwa WANYARWANDA, nafikiri dunia ingekuwa imeshatambua KAGAME ni nani? Ndani ya masaa 24 balozi wa India angekuwa ameshandika barua ya maelezo isiyopungua kurasa 15 na angeiandika akiwa India.
  3. Dozencut

    Mbio za mwenge zifutwe ili Bunge lirushwe live.

    Mwenge gharama zake ni kubwa muno tena kwa muda mfupi. kama ni kweli wanataka kupunguza gharama za serikali kurusha bunge live, wafute mbio za mwenge then hiyo hela itumike kurusha matangazo ya bunge live.
  4. Dozencut

    Kama tabia za Wapinzani ni hizi, bora tusione kabisa Bunge

    Nchi hii inaendeshwa kihuni. Kama kweli lengo ni kuwahurumia wananchi juu ya kodi wanayolipa, basi wapunguziwe kodi pia ili ijulikane CCM wanania nzuri na wananchi. Kama kodi inabaki constant, basi hata tv iendelee kuwa live.
  5. Dozencut

    TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

    Kama wako tayari kupunguza kodi ninayolipa ya 13% kufikia 4% kwa mwezi, it is right. Lakini siyo sawa kama hakuna mabadiliko kwenye kodi ninayolipa monthly kama nilivyoeleza.
  6. Dozencut

    TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

    Kama tatizo ni gharama, basi wapunguze posho za wabunge, mawaziri na Makatibu, na mishahara yao pia japo kwa 5%. Itatosha na kubakiwa na kiasi kikubwa cha kuendelea kurusha live kwa miaka miwili mbele.
  7. Dozencut

    Tetesi: Tanzania kununua Ndege mpya 5(regional jets) aina ya Bombadier

    Huyu jamaa umemjibu vizuri, inaonesha hajajua madhara ya tanesco kukosa mshindani, (monopoly) kwa karne hii ni bora mchawi.
  8. Dozencut

    Kitila Mkumbo: Ndalichako amekosea

    JPM hana budi kuunda tume ichunguze aina ya Uprofesa alionao Kitila
  9. Dozencut

    Mishahara ya Marais wastaafu ipunguzwe

    Tatizo haujui kutofautisha kati ya Trillion na billion.
  10. Dozencut

    Kumjua mwanamke aliewahi kutoa mimba

    Eti muulize Gwajima! Hahaha
  11. Dozencut

    Shule imepewa Laki na Nusu ya Elimu Bure, hii ni haki kweli?

    Mimi naona hiyo inatosha coz chalk za 30,000 zinatosha mwaka mzima, matumizi mengine 120,000 inatosha.
  12. Dozencut

    Kwanini "Service charge" ya TANESCO ni tatizo linalohitaji utatuzi wa haraka!

    Kwani mafundi hao wa tanesco hawalipwi mishahara? Futeni kauli ya "bure" ndani ya kila unit ninayonunua kwa producer mimi kama mteja najua nalipia service charge, tax, na gharama zingine za usafirishajia(transport costs) hapo inakujaje nilipe service charge, VAT, REA etc. Wakati nimenunua units...
  13. Dozencut

    Kwanini "Service charge" ya TANESCO ni tatizo linalohitaji utatuzi wa haraka!

    nchi haina mfumo maalum wa kupiga pesa, kila mmoja ananjia yake, baadhi wanaita service charge, wengine sumatra, na rea. Sasa imetosha kama ni kuona tumeona, tuhurumien, 5,520 ya service charge ni kubwa sana, punguzeni mfanye hata 300
  14. Dozencut

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    USHAURI WA BURE! 1. FUTENI MADRASAA ZA KILA SIKU, IPE SIKU MOJA MAALUM AMBAYO SIYO SIKU ZA SHULE, EG. JUMAPILI. 2. ONDOENI SWALA TANO KWA KILA MWANAFUNZI, WAPANGIENI SWALA MOJA TENA JION SAA KUMI NA MBILI KILA SIKU YA IJUMAA. 3. WAFUNDISHENI "MSHIKENI SANA ELIMU MSIMUACHE AENDE ZAKE" ELIMU...
Back
Top Bottom